Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....

Mpina mbona sijamuona hapa aniletee vibomu vya wamarekani na mambo yao? 😂 😂 😂 😂 😎 😎 😎 😎
 
Kuna kina Putin kama wanane hivi kumpata orijino ufanye shughuli haswa😂😂🙄si ajabu huyo aliyeonana na Rango ni katika hao Putin wengine wa kazi maalum
 
Putin: Hivi huyu si anatakiwa apiganie katiba nchini kwake, hata risasi hajawahi ifuta vumbi halafu anakuja huku Nye Nye nyee 😅
 
Hilo jicho linawaza kumpiga mheshimiwa spika na bomu Moja linaitwa Mr. ll a.ka sugu mwakani kipindi Cha mvua za vuli
 
View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....

Najua exactly anachofikiria, siwezi kukisema maana dah, hatuwezi wachagua wanawake tena wa Africa kwenye hizi position, tunaharibu!
 
View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Anamuangalia kama kikatuni fulani hivi. UN wameshindwa kumzuia Putin aje kuzuiwa na takataka moja inaitwa Tulia? Who the hell is she? Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom