Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

Endelea kujidanganya. Race zote ni wabaguzi wa rangi kasoro sisi waafrika tu ambao tumepumbazwa na hizi imani za kuletewa.
Hakuna watu wabaguzi duniani kama waafrika na wahindi japo sio wote

Katika watu ambao kwa asilimia kubwa sio wabaguzi na wala hawana sifa ya kumfananisha binadamu na mnyama/Nyani basi ni waarabu
 
Fikra zako ni za kiutumwa sana. Out of all countries, Russia is the most friendliest European country to Africans.

Sio Kila mwenye ngozi nyeupe has the Imperialist mindset.
Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?
 
Nipo serious
Waafrika sio wabaguzi sisi akili zenu zishaalibiwa na imani za kuletewa. Mtu tangu akiwa mdogo anampogia magoti yesu mzungu, mama wa yesu mzungu malaika wazungu upande wa pili nao uko wanadai ardhi takatifu ipo mecca, waafrika tunajichukia na kuzitukuza race nyingine na moja ya sababu ni hizi imani hao waarabu uliowataja ndio balaa kwa ubaguzi usidanganyike na hawa wachache waliopo bongo bila kufuatilia yanayoendelea uko kwao uarabuni
 
Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?
Azungumzae na asie na akili ni mpumbavu. Kama Sina akili ya Nini nikujibu wewe.
 
Ametulia,ana deserve kuwa Rais wa nchi hii.
 
Hapo Urusi tuna heshima ya kambarage..tumshukuru sana Julia's.
 
Back
Top Bottom