Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu ni KE ?View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
😁😁😁Anawaza, hivi huyu atamshinda Sugu bila kubebwa?
Hakuna watu wabaguzi duniani kama waafrika na wahindi japo sio woteEndelea kujidanganya. Race zote ni wabaguzi wa rangi kasoro sisi waafrika tu ambao tumepumbazwa na hizi imani za kuletewa.
Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?Fikra zako ni za kiutumwa sana. Out of all countries, Russia is the most friendliest European country to Africans.
Sio Kila mwenye ngozi nyeupe has the Imperialist mindset.
Mkuu upo siriazi au unatania?Hakuna watu wabaguzi duniani kama waafrika na wahindi japo sio wote
Katika watu ambao kwa asilimia kubwa sio wabaguzi na wala hawana sifa ya kumfananisha binadamu na mnyama/Nyani basi ni waarabu
Nipo seriousMkuu upo siriazi au unatania?
Waafrika sio wabaguzi sisi akili zenu zishaalibiwa na imani za kuletewa. Mtu tangu akiwa mdogo anampogia magoti yesu mzungu, mama wa yesu mzungu malaika wazungu upande wa pili nao uko wanadai ardhi takatifu ipo mecca, waafrika tunajichukia na kuzitukuza race nyingine na moja ya sababu ni hizi imani hao waarabu uliowataja ndio balaa kwa ubaguzi usidanganyike na hawa wachache waliopo bongo bila kufuatilia yanayoendelea uko kwao uarabuniNipo serious
Azungumzae na asie na akili ni mpumbavu. Kama Sina akili ya Nini nikujibu wewe.Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?
Anaona ajabu sana ,,jinsi tz tumepiga hatuna mbele Yao ..hasa kuhusu 50 ) 50View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Ametulia,ana deserve kuwa Rais wa nchi hii