Rais wa Uturuki aipa onyo Israel

Rais wa Uturuki aipa onyo Israel

Mkuu wayahudi ile ardhi yao ya asili,waarabu na waislamu wapende wasipende mkuu.Kuhusu ushahidi fuatilia huu mgogoro kati ya waarabu na wayahudi tokea mwaka 1935 ndio utapata huo ushahidi mkuu.
Hujajibu hoja yangu unazunguka Kaka.
North America wenyewe wapo South America je nao washike bunduki!?
Antalya iliokua ikiitwa Anatolia ni ya Mgiriki asahivi ya Mturuki je Mgiriki amshikie bunduki Mturuki!?
Basi sawa tuseme Palestine ya wayahudi je IDF ilifata Nini Sinai 1967?
IDF ilifata Nini Golan heights 1967?
Miaka ya 1960s na 2006 IDF ilifuata Nini Bint jubeir Lebanon na Syria na Jordan?
Kote huko ni ardhi ya myahudi?????
Kabla hata ya 1935 miaka ya nyuma Palestine ilikabidhiwa kwa Ottoman empire kutoka kwa Byazentine je Israel ilikua wapi???
Kwahiyo Mungu kampa haki Israel tu ya kupambania ardhi yake ya zamani???
 
Mkuu wayahudi ile ardhi yao ya asili,waarabu na waislamu wapende wasipende mkuu.Kuhusu ushahidi fuatilia huu mgogoro kati ya waarabu na wayahudi tokea mwaka 1935 ndio utapata huo ushahidi mkuu.
Halafu usiuhusishe uislam au ukristo katika hii mada utapotea.
Israel inaukana ukristo,Palestine Kuna watu wa dini zote na wanaouliwa wakristo wapo mathalan Sheerin Abu Akleh ni mkatoliki pure alipigwa shaba na IDF.
Occupied west bank makanisa yanavunjwa kila uchwao kupanua annexation.
 
Hivi Kaka uliona silaha waazotumia kurd?!
Wana mpaka MLRS hao wachovu!?
Hamas wanatumia vikombora vya masafa mafupi .
At least ungenambia Hizbollah ningekuelewa.
Kundi lipi sasa la wakurdi mkuu????Maana syria kuna makundi mengi ya wakurdi???
 
Hujajibu hoja yangu unazunguka Kaka.
North America wenyewe wapo South America je nao washike bunduki!?
Antalya iliokua ikiitwa Anatolia ni ya Mgiriki asahivi ya Mturuki je Mgiriki amshikie bunduki Mturuki!?
Basi sawa tuseme Palestine ya wayahudi je IDF ilifata Nini Sinai 1967?
IDF ilifata Nini Golan heights 1967?
Miaka ya 1960s na 2006 IDF ilifuata Nini Bint jubeir Lebanon na Syria na Jordan?
Kote huko ni ardhi ya myahudi?????
Kabla hata ya 1935 miaka ya nyuma Palestine ilikabidhiwa kwa Ottoman empire kutoka kwa Byazentine je Israel ilikua wapi???
Kwahiyo Mungu kampa haki Israel tu ya kupambania ardhi yake ya zamani???
Mkuu siwezi kujibu hoja yako sababu umeshaweka udini ndani yake.Kabla ya waajemi,warumi,makhalifa wa kiarabu,waturuki kuvamia hiyo aridhi,kabla ya waingereza kuiita palestina hilo eneo la mashariki ya kati,wayahudi walikuepo na himaya zao miaka mingi.Mkuu ukichanganya mambo ya historia za dunia na mambo ya propaganda za kidini huwezi kuujua ukweli.
 
Mkuu siwezi kujibu hoja yako sababu umeshaweka udini ndani yake.Kabla ya waajemi,warumi,makhalifa wa kiarabu,waturuki kuvamia hiyo aridhi,kabla ya waingereza kuiita palestina hilo eneo la mashariki ya kati,wayahudi walikuepo na himaya zao miaka mingi.Mkuu ukichanganya mambo ya historia za dunia na mambo ya propaganda za kidini huwezi kuujua ukweli.
Kaka unasoma na kuelewa au unasoma tuu!?
NITAJIE NILIPOWEKA UDINI NI WAPI?!
NIMEKUTAJIA MIFANO YA MATAIFA SIKUTAJIA MIFANO YA KIDINI.
SOMA uelewe Kaka.
 
Ukitaja kundi husika nitakujibu vizuri sababu mimi ni member wa PKK worldwide na kamanda wetu aliyeko jela Mtukufu Abdulah Ocalan###Free Abdulah Ocalan
Doh kaka ngoja nikuache maana unazunguka Sana mbuyu.
Nimekutajia YPG hujanielewa Kaka??
Wakurdi km wakurd wenyewe wanajiita hivyo hivyo wapo washika silaha na mwaka huu washafanya tukio kusini me Turkiye.
Me nimemaliza mjadala siku njema Kaka
 
Halafu usiuhusishe uislam au ukristo katika hii mada utapotea.
Israel inaukana ukristo,Palestine Kuna watu wa dini zote na wanaouliwa wakristo wapo mathalan Sheerin Abu Akleh ni mkatoliki pure alipigwa shaba na IDF.
Occupied west bank makanisa yanavunjwa kila uchwao kupanua annexation.
Mkuu dini lazima ihusike sababu wayahudi ni maadui wa waarabu na uislamu ndivyo waarabu na waislamu walivyoaminishwa toka enzi na enzi.Na kuna chuki ya waziwazi kutoka kwa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi.Hakuna kitu occupied bali wayahudi wanarudisha aridhi yao iliyotekwa na makhalifa wa kiarabu na waturuki karne nyingi zilizopita.
 
Kweli wewe ni kichaa! Unaamini kabisa hiko ulichokiandika paragraph ya mwisho kitatokea siku moja kwamba Mungu atatumia nguvu kubwa hivyo kuwaokoa hao Waisrael! Kweli jamaa wamefanikiwa sana kwenye propaganda za kidini.
Mapokeo ya kidini mkuu ni sawa na waislamu wanaamini muhamadi alikua nabii ila wengine tunamuona alikua opportunisty.Ni mapokeo ya kidini mkuu usishangae
 
Doh kaka ngoja nikuache maana unazunguka Sana mbuyu.
Nimekutajia YPG hujanielewa Kaka??
Wakurdi km wakurd wenyewe wanajiita hivyo hivyo wapo washika silaha na mwaka huu washafanya tukio kusini me Turkiye.
Me nimemaliza mjadala siku njema Kaka
Mwambie babu kizee edorgan asiwe na mawenge ya tetemeko la aridhi.FREE ABUDULAH OCALAN AND BIG UP TO PKK,
 
Ukitaja kundi husika nitakujibu vizuri sababu mimi ni member wa PKK worldwide na kamanda wetu aliyeko jela Mtukufu Abdulah Ocalan###Free Abdulah Ocalan

Ile story alisema yeye hakuna shahidi.Lakini ukitaka kumjua zaidi mtume mohamad kwa kiasi chake soma Adithi Idadi 16:245 ya Ibn Abu Sufyan
Huna hoja hata moja uliojibu Kesha unakimbilia kuudadavua utume wa Muhammad na inaonesha una elimu ndogo na ya kupandikizwa.
NAKUSHAURI ACHA UJUAJI MWINGI HULETA JOHO LA UPUMBAVU
 
Kaka unasoma na kuelewa au unasoma tuu!?
NITAJIE NILIPOWEKA UDINI NI WAPI?!
NIMEKUTAJIA MIFANO YA MATAIFA SIKUTAJIA MIFANO YA KIDINI.
SOMA uelewe Kaka.
Mtazamo wako si upo wazi ni wale watu wenye chuki na wayahudi.Na wanajitahidi kupoteza historia ya asili ya wayahudi duniani
 
Huna hoja hata moja uliojibu Kesha unakimbilia kuudadavua utume wa Muhammad na inaonesha una elimu ndogo na ya kupandikizwa.
NAKUSHAURI ACHA UJUAJI MWINGI HULETA JOHO LA UPUMBAVU
Mkuu nimejibu swali nililoulizwa.Kuhusu mzee EDORGAN nadhani tumemalizana aache mawenge ya tetemeko na kukataliwa EU hawawezi wayahudi na mwambie FREE ABDULAH OCALAN ####PKK FOR LIFE
 
Back
Top Bottom