Mtazamo wako si upo wazi ni wale watu wenye chuki na wayahudi.Na wanajitahidi kupoteza historia ya asili ya wayahudi duniani
Quran na Torati zote zina story za pauka pakawa mambo ya kufikirika upo sahii mkuu.Hata mimi siviamini naona porojo tu hapo nakubaliana na weweHistoria ya Pauka pakawa ya kwenye vitabu vyenu vya dini?
Thibitisha Kwanza hoja za juu badala ya kuzunguka mbuyu.
Hebu ongea chochote kuhusu like tetrmeko lililoua makumi Kwa maelfu ya waturukihilo ni onyo tu. uturuki ana nguvu ya kivita lakini hana uwezo kuipiga israel. magaidi wa kurdi tu wamemsumbua miongo mingi hadi leo hajawashinda. although kinabii kuna wakati uturuki na urusi wataungana kuipiga Israel, vita ya al magedon, na hakuan US wala wamagaribi watakaokuwa na uwezo kuisaidia Israel, ni Mungu mwenyewe atashuka kwa mvua ya mawe na matetemeko ya ardhi na silaha za asili, atateketeza 3/4 ya jesho lao lote na ndipo Israel watakokoka. hizo ni siku za mwisho na onyo kama hilo bila shaka ni ishara mojawapo.
Ila hawa waarabu weusi wanajizima data.Mkuu jinsi wayahudi wanavyozidi kuchukiwa ndio jinsi wanavyozidi kujiimarisha.Waarabu wanaujua shugjuli pevu za wayahudi mkuu.
Kwani yeye edorgan kafanya nini kwenye harg Sofia mkuu au kwasababu sisi hatusemi.
Kwani kuna Israel nyingine ukiondoa hii ya Netanyau ?Un
Anazungumzia Israel hii ya Ashkenazi ya Sinagogi la Shetani au ile nyingine tuitamiayo?
Ha ha ha ha haMkuu unaweza ukatukumbusha tu jinsi mtume modi alivyoupata utume kule mapangoni
Mkuu, ungetuwekea hapa link maana wengine hatujui pa kuipataIle story alisema yeye hakuna shahidi.Lakini ukitaka kumjua zaidi mtume mohamad na tabia yake kuu soma Adithi Idadi 16:245 ya Ibn Abu Sufyan,utajua tabia za huyo mtume muhamadi.
Ameanza kampeni za uchaguzi anaeweweseka tu.Katika kile kinachoonekana kama kuchoshwa na vitendo vya serikali ya Israel, Rais Erdogan ametoa onyo kali kwa israeli na kuwataka kutokuvuka red line wanapokuwa wanapamabana na wapigania Uhuru wa Palestine.
Onyo hili limekuja baada ya askari wa Israeli kuuvamia msikiti mtakatifu wa Alakisa na kuwauwa baadhi ya waumini waliokuwa wakifanya ibada zao hapo.
Ndio huyu huyu, uzee unamsumbua sana.Huyu edrogan si ndiooo aliruhusu kanisa la hagia Sofia kuwa msikiti
Dini yao imewakuza kwa chuki dhidi ya jamii nyingineIla hawa waarabu weusi wanajizima data.
Mkuu nitafanya hivyoMkuu, ungetuwekea hapa link maana wengine hatujui pa kuipata
Free Abudulah Ocalan#####Long live PKKNyinyi kina nani?wewe muisrael au mturuki??
Na ilikua na wanajeshi wa uturuki walivalia kiraia,wakiigiza kua wanaenda kutoa misaada gazaMeli ya Uturuki iliwahi zamishwa ila hakuna kilichotokea
🙏🙏Mkuu nitafanya hivyo
Baada ya Israel kuvamiwa na Ottoman empire wakati uislam ukishika kasi (after the fall of Roman empire) ndipo wayahudi wengi walikimbia middle East mpaka Europa,America na wengine kwenda Russia. Sasa kuanzia miaka ya 1940s ndipo walijikusanya na kurudi Middle East kwenye aridhi za babu zao.Hujajibu hoja yangu unazunguka Kaka.
North America wenyewe wapo South America je nao washike bunduki!?
Antalya iliokua ikiitwa Anatolia ni ya Mgiriki asahivi ya Mturuki je Mgiriki amshikie bunduki Mturuki!?
Basi sawa tuseme Palestine ya wayahudi je IDF ilifata Nini Sinai 1967?
IDF ilifata Nini Golan heights 1967?
Miaka ya 1960s na 2006 IDF ilifuata Nini Bint jubeir Lebanon na Syria na Jordan?
Kote huko ni ardhi ya myahudi?????
Kabla hata ya 1935 miaka ya nyuma Palestine ilikabidhiwa kwa Ottoman empire kutoka kwa Byazentine je Israel ilikua wapi???
Kwahiyo Mungu kampa haki Israel tu ya kupambania ardhi yake ya zamani???
Asante mkuu umenisaidia kumjibu,ila tatizo waarabu na waislamu waga hawauukubali huu ukweli.Wao wanaamini wayahudi hawana haki ya kuhodhi aridhi mashariki ya kati.Kabla ya ottoman empire,maeneo mengi ya wayahudi yalitekwa na makhalifa tofauti tofauti wa kiarabu wakayatawala baada ya kuwashinda warumi,na wao wakaondolewa na waturuki chini ya ottoman empire mpaka pake mwingereza alipochukua hatamu.Ila waarabu wanaujua huu ukweli,basi tu udini ndio unawafumbisha macho.Baada ya Israel kuvamiwa na Ottoman empire wakati uislam ukishika kasi (after the fall of Roman empire) ndipo wayahudi wengi walikimbia middle East mpaka Europa,America na wengine kwenda Russia. Sasa kuanzia miaka ya 1940s ndipo walijikusanya na kurudi Middle East kwenye aridhi za babu zao.
Israel ilipora maeneo uloyataja(Golan heights) baada ya kushinda vita dhidi yake na Warabu,baada ya vita ya siku sita mtawalia.