Rais wa Yanga achia ngazi

Kama hujaona mpira basi sawa nyamaza hapa hatuleti ubishani wa kijinga OK? Potea hapa
Kanunue kamba ujinyonge.Mpira hautaki jazba.Mlipokuwa mnatamba ilikuwa sawa.Tulia dawa iwaingie.
 
Reactions: G4N
Hersi awajibike kwa hili

Hatutaki kesi wala nini

Akae tu pemben

Full stop
Hersi naanza kuamini wale waliokuwa wanasema alikuwa anatembelea nyota ya mshindo msola

Yaani mpaka sasa sielewi alitumia vigezo gani kumtimua Gamondi?

Huyu saidi kasema anahitaji week tatu au nne mpaka aisuke team!

Means ndani ya hizo weeks nne watu watakuwa wanajipigia sisi tu jumlisha na huku CAFCL..!

Tukubali kumtimua yule mzee tuliteleza, yeye alikuwa anatumia mabeki hawa hawa ambao leo wanaonekana uchochoro! Kwake walikuwa solid sana
 
Yanga mpate taaabuu sana,mna mdomo sana mbwa nyie(joking)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…