Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

Zanzibar inakuja juu sana kiutalii bwashee, Muda kidogo watakuwa matajiri wakupindukia
Watalii wengi wanaokwenda Zanzibar ni wataliano na wao malipo yote ya kustarehe Zanzibar wanayafanyia huko huko kwao kabla ya kuja hivyo jamaa zetu wanaambulia kiduchu!!
 
Na unapoizungumzia Tanzania tunaiweka kama Mvamizi, kuna siku na haipo mbali lazima mvamizi atakurupushwa.Wazenji hawapumui

Ila sababu kuu ,na mshukuru sana huu Muungano ,maana siku ukivurugika na kukatikia pabovu ,ndio mwanzo wa Tanganyika kugawika mapande mapande Kaskazini kwao ,Kusini kwao aafu zile kilometa kumi zote zinajiunga na Zanzibar,wabara mrudie kula perege maana samaki wa maji chunvi pweza ngisi chaza,kombe vibuwa dagaa ,itakuwa mnaletewa kama zawadi.
Unapowaza mgawanyiko wa Tanganyika katika kanda mbalimbali (ambalo si rahisi), waza pia mgawanyiko wa wapemba na waunguja (upo mpaka sasa), Mgawanyiko huu wa Zanzibar umefichwa tu na Muungano
 
unapowaza mgawanyiko wa Tanganyika katika kanda mbalimbali (ambalo si rahisi), waza pia mgawanyiko wa wapemba na waunguja (upo mpaka sasa), Mgawanyiko huu wa Zanzibar umefichwa tu na Muungano
Naunga mkono hoja yako
 
Rais wa Zanzibar na Mkt wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,

"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi

Safi sana Tanzania yangu nikupendaye sana,
 
Rais wa Zanzibar na Mkt wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,

"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi

Safi sana
 
286259F3-A1A3-4C5F-8DF1-4CEC106CEEDD.png
286259F3-A1A3-4C5F-8DF1-4CEC106CEEDD.png
Wakati wa ulipwaji wa mkopo huu utashangaa Bara wanaulipa mkopo wote 1.3 trilion na visiwani watapiga kimya

ara
Hiyo Tanganyika ipo Sehemu gani kwenye ramani ya nchi?
Sheria ya kuthibitisha TANGANYIKA KUWA JAMUHURI IMEFUTWA LINI na mpaka leo imo kwenye katiba.
Ushaiona tanganyika
Nchi ya mazuzu
 
unapowaza mgawanyiko wa Tanganyika katika kanda mbalimbali (ambalo si rahisi), waza pia mgawanyiko wa wapemba na waunguja (upo mpaka sasa), Mgawanyiko huu wa Zanzibar umefichwa tu na Muungano

Waunguja wameshaolewa na wapemba mkuu, hawawezi kufurukuta tena
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Wachapakazi
 
Zanzibar wamechukua 18% ya mkopo

Extremely unfair to Tanganyika

Zanzibar kuna watu wachache kuliko Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni yenye watu 1.7 million. Yani Wazanzibar hawawezi kujaza nyumba, viwanja na mashamba ya Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni.

Zanzibar kwa ukubwa inaingia Halmashauri ya Sikonge mara 14. Sikonge ni kipande tu cha wilaya mpya kilichomegwa kutoka wilaya ya Urambo.

Uchumi wa karafuu, uvuvi, utalii na kila kinachoendea Zanzibar ni mdogo kuliko uchumi wa mgodi mmoja wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama.

Zanzibar ni mfano wa wilaya, walipaswa wapewe nusu asilimia ya mkopo, 0.5%. Yani 1 gawanya kwa 180 (idadi ya wilaya) zidisha mara mia moja = 0.5% ya mkopo.

Zanzibar wanatunyonya sana Tanganyika. Nyerere alituuza kama mbuzi wa mnadani
 
Baba moja mama moja. Samia Ali Hassan Mwinyi na Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Neno la mtaani.

===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
muungano imara
 
Zanzibar wamechukua 18% ya hela

Extremely unfair to Tanganyika

Zanzibar kuna watu nusu ya waliopo Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni

Zanzibar kwa ukubwa inaingia Halmashauri ya Sikonge mara 14

Zanzibar ilibidi wapewe asilimia nusu ya mkopo, 0.5%

Zanzibar wanatunyonya sana Tanganyika

Nyerere alituuza kama mbuzi wa mnadani

Aliwauza kwa kuuwa zaidi ya watu elfu 10 ,Na mzimu Wake unaendelea kuuwa wa Zanzibar kila siku Za uchaguzi zikifika , uchaguzi wa 2020 mlikodi mpaka majeshi ya Burundi kuendeleza mauwaji
 
Back
Top Bottom