komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Mauaji, utekaji havistahili. Na ukemewe kwa nguvu zote. Lakini sidhanj hiyo kauli ya Mhe Rais, imekuwa na uzito mkubwa kiasi cha kuwasukuma kufanya uhaini huo.Ndo mana tunamsanua hapa. Anayoambiwa hapa hawezi ambivalent hata na hao TISS.
Huko CCM ndo wanasubiri aje mwingine makundi mengine wapate ulaji.
We Kilaza soma hii:Soma alichoandika huyo halafu fananisha na nilichomjibu.
Pia kuwepo kwa wanafunzi wa Kichina USA hakuondoi kuwa China sasa hivi ndio inaongoza kwa R&D.
Kwani akiwa na GDP kubwa ndio inatakiwa ampangie nani jinsi ya kuendesha Nchi?USA GDP 28.78 Trilion dollar
Tanzania gdp 78 billion
Iraq gdp 265 billion usd
Sasa yupi hapo mjinga
Kweli mjinga hajijui kuwa mjinga
Okay,kwani hizo ndege anapewa bure. Alicho kiongea ni sahihi sana maana wamekihuka kabisa mikataba ya mahusiano ya kimataifa.MWISHO TANZANIA IS A SOVEREIGN STATE. SAY NO NEO-COLONIALISMNdege tu anazosafiri nazo zimetengenezwa na kampuni zoo. Teknolojia zote wanazo wao!
Wakitaka kukufudisha wanaweza kukuzimia mitambo ndege yako ikiwa angani tu tukarudisha mpira kati!
Ngoja kabisa niandike LIKEChina hamtegemei kibiashara USA na wala hamuibii teknolojia USA.
Inaonekana uko mis informed sana.
Acha kukaa vijiweni fanya tafiti.
Hiyo China unayoibeza sasa hivi ndio inaongoza kwenye uwekezaji wa R&D.
Hiyo China ndio inaongoza kwa contribution of manufactured goods duniani.
Hiyo China unayoibeza ndio nchi pekee iliyokopesha fedha sawa na IMF/WB.Kitu ambacho USA akikifanya anafirisika on the spot.
Hiyo China unayoibeza ndio inayoongoza kwa gold reserves na dollar reserve duniani.
Embu kaeni msome msichukue stori za vijiweni.
Yaani mtoa mada ni mjinga mmja na jitu lioga kama demu.Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
KiveepeNyie ndiyo mnatakiwa kushughulikiwa
Hivi wewe una akili timamu kweli? Nchi zipi zinasonga mbele?Yaani mtoa mada ni mjinga mmja na jitu lioga kama demu.
Uganda,Rwanda,West Africa, Ethiopia nk kote huko wamekataa upumbavu wa kupelekeshwa na kupangiwa na wanasonga mbele na hakuna kilichofanyika.
Wapinzani wanyooshwe tuone kama bwana zao watawasaidia
Anaota huyu. MuacheHivi wewe una akili timamu kweli? Nchi zipi zinasonga mbele?
Hizo nilizokutajia zinarudi kinyume nyume? πππHivi wewe una akili timamu kweli? Nchi zipi zinasonga mbele?
Hivi wahamiaji haramu wanaosumbua nchini wanatoka nchi gani???Hizo nilizokutajia zinarudi kinyume nyume? πππ
Niger imewatimua Jeshi la Marekani umeona wanarudi kinyume nyume?
Nchi gani zilizochekelea vibaraka wa West (Wapinzani ) zikasonga mbele?
Wakati utaongea. Endeleeni kutiana ujingaWoga ni upumbavu, wewe ni mwoga
Huwa sijadiliani na watu waoga. Uoga ni upumbavu. Kama Nyerere angekuwa na akili kama zako mpaka leo tungekuwa chini ya wakoloni.W
Wakati utaongea. Endeleeni kutiana ujinga
Movement ya watu ipo all over the World.Hivi wahamiaji haramu wanaosumbua nchini wanatoka nchi gani???
Unajua hao Niger hata umeme hawana?
Kweli wewe bure kabisa!
Sawa usie muoga alafu unategemea hela za wafadhili kukujengea hadi vyoo vya shuleHuwa sijadiliani na watu waoga. Uoga ni upumbavu. Kama Nyerere angekuwa na akili kama zako mpaka leo tungekuwa chini ya wakoloni.
Uoga ni Upumbavu wewe ni muoga.
SawaMovement ya watu ipo all over the World.
Tanzania hatutoi Wahamiaji,hakuna mtu mjinga anaweza kimbia Nchi hii labda vibaraka
Acha mbwembwe za kishamba mdogo wangu. Yeye kasema ataongea na wale waliowatuma kuwawakilisha huku.Sawa usie muoga alafu unategemea hela za wafadhili kukujengea hadi vyoo vya shule