Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Achana na huyu mtu. Hili jabali linatisha.The United States of America .....
Rais wa Iran juzi walimzimia helicopter iliyombeba tu watu wakarudisha mpira kati!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyu mtu. Hili jabali linatisha.The United States of America .....
Naona matarajio ya mwanzo yamegonga ukuta....Ndege tu anazosafiri nazo zimetengenezwa na kampuni zoo. Teknolojia zote manazo wao!
Wakitaka kukufudisha wanaweza kukuzimia mitambo ndege yako ikiwa angani tu tukarudisha mpira kati!
Mie nimemtahadharisha tu kuwa njia anayotumia sio salama sana!Naona matarajio ya mwanzo yamegonga ukuta....
Sasa hapa sijui unayo maana gani. Kwani huyo unaye mpa ushauri kawavimbishia kifua hao unaowasema watazima mapipa yao adondoke toka huko angani?
Kwa nini wahangaike na kiongozi hafifu kama huyu; ambaye watamtuma balozi tu kumkaripia na kumnyoosha kwa maneno kimya kimya.
😆😆😆😆😆Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Nimekuelewa.Mie nimemtahadharisha tu kuwa njia anayotumia sio salama sana!
Kwa sababu nampenda kweli. Asitafute ugomvi na wale wakubwa wa dunia. Ni heri aishi nao kinafiki tu!
wasanii 200 na wana michezo wachache walio lambishwa asali wana mdanganya aone kama anapendwa
Usicheke. Putin saivi anaishwa silaha hadi anaenda kuomba silaha Iran na North Korea.😆😆😆😆😆
Nakuelewa sanaUsicheke. Putin saivi anaishwa silaha hadi anaenda kuomba silaha Iran na North Korea.
Wale watu sio wazuri kihivyo. Tumtahadharishe maza, ugomvi anaoununua bei yake ghali sana na wakimpigia rasmi lazima turudishe mpira kati maana anavyopenda kusafiri 🤣
. Naona ameaza kuwafananisha na Akina mdude nyagali 🤔🤔?.Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Amezungukwa na machawa, hawamuelezi ukweli na yeye ana uelewa kiduchuNaona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Ugomvi anaotaka kuununua una hatari sana. Hatutaki machafuko au kuwa na Rais wa Katiba mwingine saivi.Nakuelewa sana
Kweli kabisa. Wale sio kina mdude na Mwabukusi.. Naona ameaza kuwafananisha na Akina mdude nyagali 🤔🤔?.
. Huyu bibi naona anaelekea kubaya kila kukicha.
Akiona silaha za kichina zile za JWTZ anaona ana ulinzi. Angejua hata hao China wanawaogopa hao anaowapiga biti kwa silaha angetulia tuAmezungukwa na machawa, hawatuelezi ukweli na yeye ana uelewa kiduchu
Mwache ashupaze shingo tu. Naona ameaza kuwafananisha na Akina mdude nyagali 🤔🤔?.
. Huyu bibi naona anaelekea kubaya kila kukicha.
Anajivunia wale wabeba vigogo vya miti migongoni.Akiona silaha za kichina zile za JWTZ anaona ana ulinzi. Angejua hata hao China wanawaogopa hao anaowapiga biti kwa silaha angetulia tu
Hapana!Mwache ashupaze shingo tu
Ndiyo maana aliwahi kuonywa kuwa adui yako ni mvaa shati la kijani mwenzako,hiyo kauli ina code kali sana yeye aliichukulia poa.Hapana!
Kwa sababu tunampenda tumsanue tusikae kimya. Maana inaonekana huko TISS na CCM wamejaa vilaza tu! May be wanataka afeli arudi kwao Zenji
Alafu kama anawakumbatia wasiompemda s gang.Ndiyo maana aliwahi kuonywa kuwa adui yako ni mvaa shati la kijani mwenzako,hiyo kauli ina code kali sana yeye aliichukulia poa.
. Public speech za namna hiyo, huwezi jua nani amekukatisha pumzi, hata wale ambao walikuwa wanashindwa namna ya kuingia, huwa ni rahisi sana kukuumiza..Kweli kabisa. Wale sio kina mdude na Mwabukusi.
Wanakuangalia alafu wanacheka hiiiiii