Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

. Public speech za namna hiyo, huwezi jua nani amekukatisha pumzi, hata wale ambao walikuwa wanashindwa namna ya kuingia, huwa ni rahisi sana kukuumiza..

. Ukiwa kiongozi mkubwa akili zitumike zaidi kuliko kukurupuka hovyo hovyo.
Ndo mana tunamsanua hapa. Anayoambiwa hapa hawezi ambivalent hata na hao TISS.

Huko CCM ndo wanasubiri aje mwingine makundi mengine wapate ulaji.
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
una hoja
 
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Ile hotuba ni kichekesho chs kitoto sana
 
Ndege tu anazosafiri nazo zimetengenezwa na kampuni zoo. Teknolojia zote manazo wao!

Wakitaka kukufudisha wanaweza kukuzimia mitambo ndege yako ikiwa angani tu tukarudisha mpira kati!
Usiichukulie geopolitics kiwepesi hivyo we jamaa.
Unadhani hao unaowasemea hawana akili!?
Unajua wakifanya unachojaribu kuki implicate watapata matokeo gani asi!??
Usisahau kuna mbabe kuliko hao ndio huyo aliyemfanya Putin asimame dhidi ya EU na NATO kwenye vita ya Ukraine licha ya vikwazo vingi vya kiuchumi.
Kuna mbabe mmoja ameshaleta balance of power.
Na hao unaowasema hawatumishiwi wakiendelea kujitekenya wanaendelea kumpa credit huyo mbabe mwingine mpinzani wao.
 
Ndo mana tunamsanua hapa. Anayoambiwa hapa hawezi ambivalent hata na hao TISS.

Huko CCM ndo wanasubiri aje mwingine makundi mengine wapate ulaji.
1. Labda akiwa ndani ya ving'ora na kusindikizwa na msafara wa hali ya juu anaona amemaliza kila kitu.

2. Ajue kabisa hao washauri nao wanakitaka kiti cha ikulu.

3. Wana mdharau na

4. Hawachelewi kumpeleka chaka kila watakapo jiskia ili wapate upenyo wa kuzama ikulu.
 
Waulize Iran kikichotokea kwa Rais wao waliyemzika juzi kati
Usiichukulie geopolitics kiwepesi hivyo we jamaa.
Unadhani hao unaowasemea hawana akili!?
Unajua wakifanya unachojaribu kuki implicate watapata matokeo gani asi!??
Usisahau kuna mbabe kuliko hao ndio huyo aliyemfanya Putin asimame dhidi ya EU na NATO kwenye vita ya Ukraine licha ya vikwazo vingi vya kiuchumi.
Kuna mbabe mmoja ameshaleta balance of power.
Na hao unaowasema hawatumishiwi wakiendelea kujitekenya wanaendelea kumpa credit huyo mbabe mwingine mpinzani wao.
 
Huyu ambsye nae kibiashara anamtegemea Marekani? Hadi kiteknolojia anategemea kumuibia mmarekani?
China hamtegemei kibiashara USA na wala hamuibii teknolojia USA.
Inaonekana uko mis informed sana.
Acha kukaa vijiweni fanya tafiti.
Hiyo China unayoibeza sasa hivi ndio inaongoza kwenye uwekezaji wa R&D.
Hiyo China ndio inaongoza kwa contribution of manufactured goods duniani.
Hiyo China unayoibeza ndio nchi pekee iliyokopesha fedha sawa na IMF/WB.Kitu ambacho USA akikifanya anafirisika on the spot.
Hiyo China unayoibeza ndio inayoongoza kwa gold reserves na dollar reserve duniani.

Embu kaeni msome msichukue stori za vijiweni.
 
Back
Top Bottom