Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Ndo mana tunamsanua hapa. Anayoambiwa hapa hawezi ambivalent hata na hao TISS.. Public speech za namna hiyo, huwezi jua nani amekukatisha pumzi, hata wale ambao walikuwa wanashindwa namna ya kuingia, huwa ni rahisi sana kukuumiza..
. Ukiwa kiongozi mkubwa akili zitumike zaidi kuliko kukurupuka hovyo hovyo.
Huko CCM ndo wanasubiri aje mwingine makundi mengine wapate ulaji.