Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Ndege tu anazosafiri nazo zimetengenezwa na kampuni zoo. Teknolojia zote manazo wao!

Wakitaka kukufudisha wanaweza kukuzimia mitambo ndege yako ikiwa angani tu tukarudisha mpira kati!
Naona matarajio ya mwanzo yamegonga ukuta....
Sasa hapa sijui unayo maana gani. Kwani huyo unaye mpa ushauri kawavimbishia kifua hao unaowasema watazima mapipa yao adondoke toka huko angani?

Kwa nini wahangaike na kiongozi hafifu kama huyu; ambaye watamtuma balozi tu kumkaripia na kumnyoosha kwa maneno kimya kimya.
 
Mie nimemtahadharisha tu kuwa njia anayotumia sio salama sana!

Kwa sababu nampenda kweli. Asitafute ugomvi na wale wakubwa wa dunia. Ni heri aishi nao kinafiki tu!
 
😆😆😆😆😆
 
. Naona ameaza kuwafananisha na Akina mdude nyagali 🤔🤔?.

. Huyu bibi naona anaelekea kubaya kila kukicha.
 
Amezungukwa na machawa, hawamuelezi ukweli na yeye ana uelewa kiduchu
 
Ndiyo maana aliwahi kuonywa kuwa adui yako ni mvaa shati la kijani mwenzako,hiyo kauli ina code kali sana yeye aliichukulia poa.
Alafu kama anawakumbatia wasiompemda s gang.

Naona ananata na biti zao. Ajifunze kwa mwenzake. Alikuwa na pacemaker wametengeneza wazungu alafu akawa anawafokea. Kilichotokea wote tunajua
 
Kweli kabisa. Wale sio kina mdude na Mwabukusi.

Wanakuangalia alafu wanacheka hiiiiii
. Public speech za namna hiyo, huwezi jua nani amekukatisha pumzi, hata wale ambao walikuwa wanashindwa namna ya kuingia, huwa ni rahisi sana kukuumiza..

. Ukiwa kiongozi mkubwa akili zitumike zaidi kuliko kukurupuka hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…