Rais wangu unajitahidi sana tatizo kubwa ni upigaji na rushwa vinatisha ! Wateule wako kwa sasa Wana ukwasi wa kutisha!

Rais wangu unajitahidi sana tatizo kubwa ni upigaji na rushwa vinatisha ! Wateule wako kwa sasa Wana ukwasi wa kutisha!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kama rais utafanikiwa kufuatilia nyendo na maisha ya wateule wako utashangaa !! Awamu hii Haina ufuatiliaji kwa wateule wako ! Haina ukali na usimamizi huru wa rasilimali za nchi ! Wewe unatafuta hela ,unakopa ,unakusanya Kodi lakini pesa inatumiwa vibaya sana na wateule wako !! Wateule wako wanaishi kama wako peponi ! Kiuhalisia ni kwamba wanakumudu ! Ni vyema viongozi wasikalie ofisi kwa muda mrefu ikiwezekana iwe mwaka mmoja mmoja ! Wanaingia wengine ! Serikali yako iruhusu ukaguzi huru na tume ya maadili iwe na meno ya kufuatilia utajiri wa kutupwa wa mawaziri wako !! Kuna waziri wako mmoja anajilipa ml 74 kwa mwezi na Bado amefungua makampuni makubwa yenye usajili unaoanzia na neno z!! Huko ndio kichaka Cha kutakatishia fedha ! Kwa nini wateule wako wanatumia mali za umma kama mali zao binafsi? Mimi nashauri hili Baraza lote lipumzike isipokuwa waziri mkuu na naibu waziri mkuu ifanyike rotation na sura mpya ziingie kazini !!
 
Kama rais utafanikiwa kufuatilia nyendo na maisha ya wateule wako utashangaa !! Awamu hii Haina ufuatiliaji kwa wateule wako ! Haina ukali na usimamizi huru wa rasilimali za nchi ! Wewe unatafuta hela ,unakopa ,unakusanya Kodi lakini pesa inatumiwa vibaya sana na wateule wako !! Wateule wako wanaishi kama wako peponi ! Kiuhalisia ni kwamba wanakumudu ! Ni vyema viongozi wasikalie ofisi kwa muda mrefu ikiwezekana iwe mwaka mmoja mmoja ! Wanaingia wengine ! Serikali yako iruhusu ukaguzi huru na tume ya maadili iwe na meno ya kufuatilia utajiri wa kutupwa wa mawaziri wako !! Kuna waziri wako mmoja anajilipa ml 74 kwa mwezi na Bado amefungua makampuni makubwa yenye usajili unaoanzia na neno z!! Huko ndio kichaka Cha kutakatishia fedha ! Kwa nini wateule wako wanatumia mali za umma kama mali zao binafsi? Mimi nashauri hili Baraza lote lipumzike isipokuwa waziri mkuu na naibu waziri mkuu ifanyike rotation na sura mpya ziingie kazini !!
Kwani wakipiga Kuna shida gani ikiwa Mapato yameongezeka na miradi inaonekana?

Ila Mimi binafsi sijajua watu wanapigaje labda kwenye tenda au Kwa kutokusanya pesa na Kodi ila hakuna anaeiba hela ya serikali ambayo Iko kwenye mfumo maana ni ngumu.

Lakini Rushwa mnazopeana mahakamani au kwenye tenda hizo peaneni haziathiri chochote yaani hata Mimi nikizopata napita nazo.

Wewe unaona wajumbe wanapewa hela wachague ,Sasa unaachaje kupokea hela?
 
Kama rais utafanikiwa kufuatilia nyendo na maisha ya wateule wako utashangaa !! Awamu hii Haina ufuatiliaji kwa wateule wako ! Haina ukali na usimamizi huru wa rasilimali za nchi ! Wewe unatafuta hela ,unakopa ,unakusanya Kodi lakini pesa inatumiwa vibaya sana na wateule wako !! Wateule wako wanaishi kama wako peponi ! Kiuhalisia ni kwamba wanakumudu ! Ni vyema viongozi wasikalie ofisi kwa muda mrefu ikiwezekana iwe mwaka mmoja mmoja ! Wanaingia wengine ! Serikali yako iruhusu ukaguzi huru na tume ya maadili iwe na meno ya kufuatilia utajiri wa kutupwa wa mawaziri wako !! Kuna waziri wako mmoja anajilipa ml 74 kwa mwezi na Bado amefungua makampuni makubwa yenye usajili unaoanzia na neno z!! Huko ndio kichaka Cha kutakatishia fedha ! Kwa nini wateule wako wanatumia mali za umma kama mali zao binafsi? Mimi nashauri hili Baraza lote lipumzike isipokuwa waziri mkuu na naibu waziri mkuu ifanyike rotation na sura mpya ziingie kazini !!

Meli imepoteza mwelekeo. Inaenda mwendo wa kutisha kwenye bahari ya kina kinene. Najiuliza tunafikaje salama kwa mwendo huu? Soon tutakuwa hatuna rafiki wa kutukopesha wala kutusaidia.
Huu sio mwendo salama. Njaa imekuwa kubwa mitaani. Mwenye macho, haambiwi tazama
 
Ni wazi kwamba kupambana na ufisadi na rushwa ni jukumu linalohitaji juhudi za pamoja na uthabiti wa kisiasa. Uongozi wa Raisi Samia Suluhu Hassan unakabiliwa na changamoto ya kudhibiti na kumaliza vitendo vya ufisadi na rushwa ili kujenga taifa lenye uwazi, uwajibikaji, na maendeleo endelevu.
 
Kwani wakipiga Kuna shida gani ikiwa Mapato yameongezeka na miradi inaonekana?

Ila Mimi binafsi sijajua watu wanapigaje labda kwenye tenda au Kwa kutokusanya pesa na Kodi ila hakuna anaeiba hela ya serikali ambayo Iko kwenye mfumo maana ni ngumu.

Lakini Rushwa mnazopeana mahakamani au kwenye tenda hizo peaneni haziathiri chochote yaani hata Mimi nikizopata napita nazo.

Wewe unaona wajumbe wanapewa hela wachague ,Sasa unaachaje kupokea hela?
Ndo wakati wa kula kwa urefu wa kamba yako asante mama ,,,,Samia hadi mwaka 5780
 
Watu wangekuwa wanakula mnavyozusha basi usingeona utitiri wa miradi,maelfu ya Ajira na mambo mazuri mengi.

Mnatishana na vitu ambavyo havipo 🤣🤣
Naona blaza unafata ile kauli ukila na kipofu usimshike mkono,,,,na bado tunangoja kula hizo za kampeni ,,,huu mwaka na mwakani lazima nishushe mjengo nanjilinji........mie nawasanua tu wana wapate kadi ya chama na waongeze uchawa kwa wingi ,huu uchaguzi hawatatoka kapa fursa ndo hio
 
Naona blaza unafata ile kauli ukila na kipofu usimshike mkono,,,,na bado tunangoja kula hizo za kampeni ,,,huu mwaka na mwakani lazima nishushe mjengo nanjilinji........mie nawasanua tu wana wapate kadi ya chama na waongeze uchawa kwa wingi ,huu uchaguzi hawatatoka kapa fursa ndo hio
Za kampeni zinaliwa kote kote tuu,nataka unionjeshe wanaokula hela za serikali ambazo ziko accounted.
 
Mama hana muda na habari ya ufuatiliaji na hana vikosi vya Siri vya kufuatilia mienendo ya wateule wake badala yake wameachiwa uhuru wa kupindukia
 
Mama hana muda na habari ya ufuatiliaji na hana vikosi vya Siri vya kufuatilia mienendo ya wateule wake badala yake wameachiwa uhuru wa kupindukia
Wewe hapo unawajua wanaokula wangapi? Mama ni TAKUKURU?

Kwani vikosi vya Siri huindwa na mtu binafsi? Wewe umeshakula kiasi gani ili tujidhihirishie?
 
Ni wazi kwamba kupambana na ufisadi na rushwa ni jukumu linalohitaji juhudi za pamoja na uthabiti wa kisiasa. Uongozi wa Raisi Samia Suluhu Hassan unakabiliwa na changamoto ya kudhibiti na kumaliza vitendo vya ufisadi na rushwa ili kujenga taifa lenye uwazi, uwajibikaji, na maendeleo endelevu.
Rushwa haijawahi Isha popote hapa Duniani,Hilo ni jukumu endelevu maana linaanza na Wananchi.

Chukulia mfanyabiashara Yuko tayari kuhonga kuliko kulipa adhabu ya serikali au Mapato ,unategemea nini?
 
Kwani wakipiga Kuna shida gani ikiwa Mapato yameongezeka na miradi inaonekana?

Ila Mimi binafsi sijajua watu wanapigaje labda kwenye tenda au Kwa kutokusanya pesa na Kodi ila hakuna anaeiba hela ya serikali ambayo Iko kwenye mfumo maana ni ngumu.

Lakini Rushwa mnazopeana mahakamani au kwenye tenda hizo peaneni haziathiri chochote yaani hata Mimi nikizopata napita nazo.

Wewe unaona wajumbe wanapewa hela wachague ,Sasa unaachaje kupokea hela?
Tukisema huna akili, tukisema machawa hayana akili ndio watu waelewe sasa. Hivi hii ni kauli ya mtu timamu kuongea mbele za watu, basi jaribu hata kujiambia mwenyewe...futseke kabisa!!
 
Kama rais utafanikiwa kufuatilia nyendo na maisha ya wateule wako utashangaa !! Awamu hii Haina ufuatiliaji kwa wateule wako ! Haina ukali na usimamizi huru wa rasilimali za nchi ! Wewe unatafuta hela ,unakopa ,unakusanya Kodi lakini pesa inatumiwa vibaya sana na wateule wako !! Wateule wako wanaishi kama wako peponi ! Kiuhalisia ni kwamba wanakumudu ! Ni vyema viongozi wasikalie ofisi kwa muda mrefu ikiwezekana iwe mwaka mmoja mmoja ! Wanaingia wengine ! Serikali yako iruhusu ukaguzi huru na tume ya maadili iwe na meno ya kufuatilia utajiri wa kutupwa wa mawaziri wako !! Kuna waziri wako mmoja anajilipa ml 74 kwa mwezi na Bado amefungua makampuni makubwa yenye usajili unaoanzia na neno z!! Huko ndio kichaka Cha kutakatishia fedha ! Kwa nini wateule wako wanatumia mali za umma kama mali zao binafsi? Mimi nashauri hili Baraza lote lipumzike isipokuwa waziri mkuu na naibu waziri mkuu ifanyike rotation na sura mpya ziingie kazini !!
Kama unauelewa ufisadi uweke wai, unagfikiri wote tunafahamu codes zako?

Watanzania mbona mnakuwa wajinga namna hiyo?

Si useme tu, waziri fulani, anajilipa hivi. Ana kampouni hii na hii na hii ambazo zinaendeshwa kwa mhgongo wa waziri kutumia madaraka yake serikalini.

Bila hivyo unabaki kuwa ni ujinga tu.
 
Tukisema huna akili, tukisema machawa hayana akili ndio watu waelewe sasa. Hivi hii ni kauli ya mtu timamu kuongea mbele za watu, basi jaribu hata kujiambia mwenyewe...futseke kabisa!!
Ndio ,Kwa Tanzania hapa Ukiwa una deliver watu wanahalalisha upigaji.

Pili mtoa mada ametaja hata jina Moja au uthibitisho wa upigaji?

Na wewe nioneshe huo upigaji ulipo.

Mwisho kama Kuna upigaji miradi ingekwama,Ajira zingekwama na Nchi ingeparaganyika kama huko Kenya wanakotapatapa.
 
Back
Top Bottom