Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kwani wanakula?Kwani hakusema wale kwa urefu wa kamba zao? Nayo inahitaji ushahidi?
Dah..Pesa inapigwa mkuu huwezi amini
milo mi 3 kwa sikuSawa kwani wanakula?
Yaa ni kweli kabisa nduguNyimbo za kusifu na kutukuza wanazo imba, sio kwa ajili yake.
wanaimba kwa sbb ya udhaifu,utawala dhaifu huinua matajiri wengi.
Kwa sasa watumishi ni matajiri kuliko mwajiri wao!
Kwamba hata kukopa bado haisaidii.
Athari zake zitakuja kuonekana miaka 10-15 ijayo.
Pesa wanazomiliki mawaziri ni mara 100 ya raisNyimbo za kusifu na kutukuza wanazo imba, sio kwa ajili yake.
wanaimba kwa sbb ya udhaifu,utawala dhaifu huinua matajiri wengi.
Kwa sasa watumishi ni matajiri kuliko mwajiri wao!
Kwamba hata kukopa bado haisaidii.
Athari zake zitakuja kuonekana miaka 10-15 ijayo.
Upi huoTz lazima tuige mfano wa Kenya