Rais wetu Samia, turudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi. Kwa sasa ni mateso, kiburi na rushwa iliyokithiri

Rais wetu Samia, turudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi. Kwa sasa ni mateso, kiburi na rushwa iliyokithiri

Rais wetu mpendwa Mama Samia ikikupendeza tunakuomba sisi wananchi wako wanyonge uturudishie mnyonge mwenzetu Mh. Lukuvi, alipamudu alipanyoosha nidhamu ilikuwepo haki ilikiwepo heshima ilikiwepo uwajibikaji ulikuwepo usikivu ulikuwepo.

Aidha kama hili litakushinda tuwekee dawati hapohapo wizarani Dodoma na Dar es Salaam, maalum ambalo wananchi wataweza kutoa vinagaubaga vyao kwa dawati hilo ambalo litakuwa linamfikishia waziri aliyepo kipi kinafanyika hapo hivyo naye kusaidia kutoa maamuzi ya haraka.

WASALAAM.
Umekwama wapi ndg yangu? ndiyo kuna changamoto wizara ya ardhi za hapa na pale ila watu wanapata huduma kama kawida mie nikiwa mmoja wapo, mambo ya ardhi lazima uwe na subira na vilelezo vyote ili kupta huduma kwa wakati. WAZIRI NA NAIBU WAKE WANATOSHA!!!!
 
Wenye Akili tunajua Waziri hapo ni Ridhiwani Kikwete na huyo Mabula ni Ceremonial Minister TU hapo.

Dogo (RK) kawekwa hapo Kimkakati ili kuhakikisha Miradi yote ya Baba (hasa ya Ardhi) ikamilike na ule mkubwa wa Bandari ya Bagamoyo ukamilike.

Ilikuwa ni lazima Waziri Lukuvi aliyefanya vyema katika Wizara hiyo aondolewe kwani alikuwa hataki Upuuzi ( hasa wa Wakubwa) katika Kujinyakulia Ardhi (Maeneo) na Kujitajirisha huku Watanzania Masikini wakiporwa hayo Maeneo na Kunyanyasika nao.
Daa! Inasikitisha sana.
 
Wenye Akili tunajua Waziri hapo ni Ridhiwani Kikwete na huyo Mabula ni Ceremonial Minister TU hapo.

Dogo (RK) kawekwa hapo Kimkakati ili kuhakikisha Miradi yote ya Baba (hasa ya Ardhi) ikamilike na ule mkubwa wa Bandari ya Bagamoyo ukamilike.

Ilikuwa ni lazima Waziri Lukuvi aliyefanya vyema katika Wizara hiyo aondolewe kwani alikuwa hataki Upuuzi ( hasa wa Wakubwa) katika Kujinyakulia Ardhi (Maeneo) na Kujitajirisha huku Watanzania Masikini wakiporwa hayo Maeneo na Kunyanyasika nao.
Mradi wa bagamoyo ni EPZ, unahusiana vipi na Ardhi, wakati EPZ walishatenga Ardhi yao. Tusiwape watu lawama
 
MAY I CONGRATULATE HON. DR A MABULA, KUNA JAMBO JEMA LIMEFANYIKA, IT'S TOO EARLY TO JUDGE, TUNAKUSHUKURU SANA UMEMSAIDIA MAMA #SSH VYEMA UMEMUONGEZEA KURA ZAKE ZA KISHINDO 2025,
lakini ngoja tuwapime hawa wapya tutakuletea mrejesho hapa hapa, kuhusiana na utendaji wao.
Mungu ibariki CCM, mungu ibariki tanzania, mungu wabariki viongozi wetu.
 
Tanzania hatuhitaji mtu,

Tunahitaji mifumo imara ya kiutendaji .

Watu wanakuja na kupita , Mifumo imara itasimama hata kizazi cha saba.
 
MAY I CONGRATULATE HON. DR A MABULA, KUNA JAMBO JEMA LIMEFANYIKA, IT'S TOO EARLY TO JUDGE, TUNAKUSHUKURU SANA UMEMSAIDIA MAMA #SSH VYEMA UMEMUONGEZEA KURA ZAKE ZA KISHINDO 2025,
lakini ngoja tuwapime hawa wapya tutakuletea mrejesho hapa hapa, kuhusiana na utendaji wao.
Mungu ibariki CCM, mungu ibariki tanzania, mungu wabariki viongozi wetu.
Sijajua kwa upande wako mkuu mheshimiwa.ila sisi tulienda pale kwa kweli mh alitupokea vizur na akatusikiliza kutaka tupeleke docs.dada yule kahamishwa pale ofis ya register sijajua why ila nae alikua vizur tu.pale kaunta suma jkt hasa yule ka dadaa mweupe msumbufu sana
 
MAMA ,MAMA DR. SAMIA SULUHU HASSANI ,

Kwa heshima na taadhima Kwa kweli namimi naunga mkono Hoja Kwa miguu yote na mikono yangu yotee.

Naomba utapatie William Lukuvi Kwenye Wizara ya Ardhi huyo Ndiye mbadala WA Enzi ya Magufuri Kwenye Wizara ile.Mama tusaidie Kwa hilo.
 
MAMA ,MAMA DR. SAMIA SULUHU HASSANI ,

Kwa heshima na taadhima Kwa kweli namimi naunga mkono Hoja Kwa miguu yote na mikono yangu yotee.

Naomba utapatie William Lukuvi Kwenye Wizara ya Ardhi huyo Ndiye mbadala WA Enzi ya Magufuri Kwenye Wizara ile.Mama tusaidie Kwa hilo.
Reshuffle iliyofanyika naona kama inatosha kabisa, NGOJA TUVUTE SUBRA TUONE UTENDAJI,
Nadhani kwa sasa nitakuwa nawaanika hapa lives kwa majina /
 
Rais wetu mpendwa Mama Samia ikikupendeza tunakuomba sisi wananchi wako wanyonge uturudishie mnyonge mwenzetu Mh. Lukuvi, alipamudu alipanyoosha nidhamu ilikuwepo haki ilikiwepo heshima ilikiwepo uwajibikaji ulikuwepo usikivu ulikuwepo.

Aidha kama hili litakushinda tuwekee dawati hapohapo wizarani Dodoma na Dar es Salaam, maalum ambalo wananchi wataweza kutoa vinagaubaga vyao kwa dawati hilo ambalo litakuwa linamfikishia waziri aliyepo kipi kinafanyika hapo hivyo naye kusaidia kutoa maamuzi ya haraka.

WASALAAM.
N. B, NAPENDA KUTOA SHUKRANI KWA DR. ANGELINA MABULA HIS DOCTORATE HAS DONE SOMETHING EXCEPTIONAL, THANKS YOU MADAM.
KUMBE UNATUSIKIA, UBARIKIWE.
huyu jamaa ahatakiwi kabisa na mfumo kwa sasa, ndio maana hata wajumbe wameelekezwa kabisa NEC Kura zisimtoshe. kapigwa vibaya. anyway kuimba kupokezana
 
Tanzania hatuhitaji mtu,

Tunahitaji mifumo imara ya kiutendaji .

Watu wanakuja na kupita , Mifumo imara itasimama hata kizazi cha saba.
Kwahiyo tukae tusubiri hiyo mifumo hadi ije?
 
Unfortunately majambazi yamerudishwa tena, sijui wameroga au wamefanyaje? Wizara ngumu sana hii, Sasa wapigaji wamerudishwaje tena, POLE SANA DR. MABULA.
 
Back
Top Bottom