Rais William Ruto alalamika namna viongozi kutoka mataifa ya Afrika wanavyotendewa wakiwa Ulaya na USA

Rais William Ruto alalamika namna viongozi kutoka mataifa ya Afrika wanavyotendewa wakiwa Ulaya na USA

Kujimbafy wakati huna kitu,ni ujinga.

Ameona nchi haikopesheki, na ana mpango wa kusimamisha ulipaji madeni ili wafanyakazi walipwe mishahara, halafu anadanganya kuwa ameamua kutokopa!

Ni sawa mtu uwe huna hela ya kula halafu unawaambia watu kuwa umefunga.

Chini ya Ruto, Kenya itashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi.
 
Kujimbafy wakati huna kitu,ni ujinga.

Ameona nchi haikopesheki, na ana mpango wa kusimamisha ulipaji madeni ili wafanyakazi walipwe mishahara, halafu anadanganya kuwa ameamua kutokopa!

Ni sawa mtu uwe huna hela ya kula halafu unawaambia watu kuwa umefunga.

Chini ya Ruto, Kenya itashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi.
Yeye na Magufuli hawakupaswa kuwa watu wa mamlaka, walitakiwa tawaliwa tu
 
Kujimbafy wakati huna kitu,ni ujinga.

Ameona nchi haikopesheki, na ana mpango wa kusimamisha ulipaji madeni ili wafanyakazi walipwe mishahara, halafu anadanganya kuwa ameamua kutokopa!

Ni sawa mtu uwe huna hela ya kula halafu unawaambia watu kuwa umefunga.

Chini ya Ruto, Kenya itashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi.
Hahahaha! Kwahiyo taifa la Kenya linafunga (linaacha kukopa) baada ya kuona halina chakula (halikopesheki)??
 
Si wanadai anafanana kimsimamo na kaka mkubwa??
Go ruto goooooo!!!
Na mimi nakazia go Ruto gooooo !
Kaka mkubwa alikosea kidogo tu kuzichanga karata zake !! Nadhani hata yeye analijua hilo !! 😅🙏
 
Hivi huyu si ni yule aliyelakamika kwamba viongozi wa Afrika hawathaminiwi wakienda huko kwa wazungu?
 
Fikra za watu wajinga ndo hizo analalamika kupanda bus Safi zuri lenye AC au wanafikiri labda angepanda Gari ya malkia ndo ageonekana amepewa heshima it all about fucking mind
Wewe ni zuzu marais wa africa asilimia karibu yote tulionao sasa ni wapuuzi tu machoni pa wazungu ....mtu kama nyerere au jpm angepewa heshima kubwa kama angekwenda kwenye hizo nchi
 
We mjinga unataka heshima gani in this world ? Hizo fikra mfu ndo zimefanya Africa kutoendelea miaka kwa miaka .
Wewe ni zuzu marais wa africa asilimia karibu yote tulionao sasa ni wapuuzi tu machoni pa wazungu ....mtu kama nyerere au jpm angepewa heshima kubwa kama angekwenda kwenye hizo nchi
 
Hawa watu tukiwa nao huku Africa wanajidai kuishi kama miungu watu.
Kumbe huko ulaya na usa hawana muda nao

---

  • President William Ruto has complained over hospitality to African leaders in global summits
  • Ruto said African leaders are in some instances mistreated when they travel abroad to attend global meetings
  • He explained that all 54 African leaders will not be travelling for the meetings but will be sending representatives
President William Ruto has expressed his dissatisfaction over the treatment African leaders receive when they travel abroad.

Speaking at the Mo Ibrahim Governance Conversation, KICC, Nairobi, Ruto complained that sometimes they are mistreated when they travel to developed countries for seminars or meetings with world leaders.

"It is not intelligent for 54 (African Presidents) of us to go and sit before another gentleman from another place. Sometimes we are mistreated, we are loaded into buses like school kids. It is not right," Ruto highlighted.


The President said the decision was arrived at by the members of the African Union saying a select few will represent them at the global talks.


He explained that African states respect the sovereignty of other nations and therefore asking for reciprocation should not be a problem.

Miguna Miguna: Lesson against obscene opulence​

Exiled Canada-based Kenyan lawyer Miguna Miguna has said that there is nothing bad with African leaders being transported by buses to Queen Elizabeth II's burial.

Miguna stated that was the right thing to do since it prevents the waste of taxpayers' money, asking African leaders to emulate that.


The lawyer's sentiments came after Kenyans on social media elicited mixed reactions after a photo of African leaders being ferried on buses to Queen Elizabeth II's funeral went viral.

Among the leaders was President William Ruto; seated next to him was his wife Rachel Ruto, who was gazing outside the window and, directly in front of the First Lady, was Tanzanian President Samia Suluhu.

Source: Tuko
The problem with African Leaders can't say NO before the Europeans,they are always YESIST.
 
Back
Top Bottom