Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walao itaonyesha hesha kidogo.Labda ndio sababu Shujaa Magufuli alisusia kwenda Ulaya na Marekani
Ruto amejiapiza Serikal yake haitakopa tena Uchina wala wapi bali itaimarisha Uchumi wa ndani Ili ikope kwenye Taasisi zake za Ndani
Kila nchi ya Africa ina kanuni zake lakini
Yeye na Magufuli hawakupaswa kuwa watu wa mamlaka, walitakiwa tawaliwa tuKujimbafy wakati huna kitu,ni ujinga.
Ameona nchi haikopesheki, na ana mpango wa kusimamisha ulipaji madeni ili wafanyakazi walipwe mishahara, halafu anadanganya kuwa ameamua kutokopa!
Ni sawa mtu uwe huna hela ya kula halafu unawaambia watu kuwa umefunga.
Chini ya Ruto, Kenya itashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi.
Hahahaha! Kwahiyo taifa la Kenya linafunga (linaacha kukopa) baada ya kuona halina chakula (halikopesheki)??Kujimbafy wakati huna kitu,ni ujinga.
Ameona nchi haikopesheki, na ana mpango wa kusimamisha ulipaji madeni ili wafanyakazi walipwe mishahara, halafu anadanganya kuwa ameamua kutokopa!
Ni sawa mtu uwe huna hela ya kula halafu unawaambia watu kuwa umefunga.
Chini ya Ruto, Kenya itashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi.
Na mimi nakazia go Ruto gooooo !Si wanadai anafanana kimsimamo na kaka mkubwa??
Go ruto goooooo!!!
Wewe ni zuzu marais wa africa asilimia karibu yote tulionao sasa ni wapuuzi tu machoni pa wazungu ....mtu kama nyerere au jpm angepewa heshima kubwa kama angekwenda kwenye hizo nchiFikra za watu wajinga ndo hizo analalamika kupanda bus Safi zuri lenye AC au wanafikiri labda angepanda Gari ya malkia ndo ageonekana amepewa heshima it all about fucking mind
Wewe ni zuzu marais wa africa asilimia karibu yote tulionao sasa ni wapuuzi tu machoni pa wazungu ....mtu kama nyerere au jpm angepewa heshima kubwa kama angekwenda kwenye hizo nchi
The problem with African Leaders can't say NO before the Europeans,they are always YESIST.Hawa watu tukiwa nao huku Africa wanajidai kuishi kama miungu watu.
Kumbe huko ulaya na usa hawana muda nao
---
President William Ruto has expressed his dissatisfaction over the treatment African leaders receive when they travel abroad.
- President William Ruto has complained over hospitality to African leaders in global summits
- Ruto said African leaders are in some instances mistreated when they travel abroad to attend global meetings
- He explained that all 54 African leaders will not be travelling for the meetings but will be sending representatives
Speaking at the Mo Ibrahim Governance Conversation, KICC, Nairobi, Ruto complained that sometimes they are mistreated when they travel to developed countries for seminars or meetings with world leaders.
"It is not intelligent for 54 (African Presidents) of us to go and sit before another gentleman from another place. Sometimes we are mistreated, we are loaded into buses like school kids. It is not right," Ruto highlighted.
The President said the decision was arrived at by the members of the African Union saying a select few will represent them at the global talks.
He explained that African states respect the sovereignty of other nations and therefore asking for reciprocation should not be a problem.
Miguna Miguna: Lesson against obscene opulence
Exiled Canada-based Kenyan lawyer Miguna Miguna has said that there is nothing bad with African leaders being transported by buses to Queen Elizabeth II's burial.
Miguna stated that was the right thing to do since it prevents the waste of taxpayers' money, asking African leaders to emulate that.
The lawyer's sentiments came after Kenyans on social media elicited mixed reactions after a photo of African leaders being ferried on buses to Queen Elizabeth II's funeral went viral.
Among the leaders was President William Ruto; seated next to him was his wife Rachel Ruto, who was gazing outside the window and, directly in front of the First Lady, was Tanzanian President Samia Suluhu.
Source: Tuko
Wakenya wanavyopenda uzungu analalamika nini?Fikra za watu wajinga ndo hizo analalamika kupanda bus Safi zuri lenye AC au wanafikiri labda angepanda Gari ya malkia ndo ageonekana amepewa heshima it all about fucking mind