Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Ndugu hayo mataifa yote uliyoyataja unadhani yanapumua kwa U.S.A? Yanatii maelekezo ya U.S.A, huko pia ni kuuzwa, hayana utashi wowote nje ya matakwa ya USA, ndiyo maana kote huko ulikotaja USA kasimika kambi kubwa za Jeshi lake, Kwa kifupi mataifa yote uliyoyataja yanaiabudu U.S.A
 
Hero ni Putin maana kaongeza ardhi ya Urusi.
Ila kuna watu huwa siwaelew mmoja ni ww , hv huwa unatumia matacle kufikiri ? Kwa ardh yake kashindwa kuboresha maisha ya warusi 140M ndo awe shujaa wa kuiba ardhi ambayo pia haitabili lolote kwa warusi zaid ya kuwajazia mikodi. Ya ajabu ili kufidia gharama za vita
 
Ukute na ww eti una bachelor kabisaaaa.
 
Mkuu Habari,

Kwakuwa wewe una information za kutosha, unaweza niambia media unazotazama kuhusu huo mgogoro na mimi nikwambie kitu.
Taja zote tafadhali
Swala sio media swala ni ukwel wa habari yako , usipende ubishi na mahaba ya kitoto , humu kuna watu wana matatizo ya pschology yaan wakipenda kitu wapo radhi kudanganya ili wanachokipenda kizungumziwe kwa uzuri , nahisi ww unaeza kuwa miongon , hv nchi gan yenye akili ndogo kufikia hatua kuisaidia ukraine iivamie urusi ? Hv hz akili zenu ndogo ndo mmahisi kila mtu anazo ? Ingekuwa nyepes ivyo kwann waitumie ukraine kuivamia nchi yenye nyuklia ? Kwamb hawajui kuwa urusi angerusha nyuklia ndan ya ukraine km majibu
 
Unajua kitu kimoja siwaelewi watu na hata huko mbeleni tutadaiwa. Mchokozi ni aliyeanza kurusha risasi au anayejibu? Ukipigwa kofi hutarudisha? Aisee kwa hiyo ungekua raisi wa Tanzania Kagame akija akikwambia Kagera ni mali yangu utampa tu? Ndicho mnataka Ukraine afanye?. Churchill alisema nitapigana mpaka tobe langu la mwisho. Aliongea maneno hayo wakati Ubelgiji imeshaanguka, Ufaransa ipo njiani kuanguka na jeshi la Waingereza wapatao 400,000 na vifaa vyote vya jeshi vikiwa Ufaransa. Hakukata tamaa. Alisimama kiume akawakomboa wanajeshi wake japo alipoteza vifaa vyake vyote. Miaka mitano mbeleni aliingia Berlin kwa ushindi. Aliyerusha risasi ya kwanza sio Ukraine. Na kama Russia inataka kupigana na NATO kwa nini isiwarushie makombora? Kwani wapo mbali nae? Mbona ni majirani wakubwa? Kule Siberia ni karibu mno na Alaska. Si ampige Mmarekani? Acheni kuwa na mawazo ya kiuonevu. Simama kwenye mstari wa haki uamue.
 
Kavamiwa baada ya kuegesha makombora mengi ya Kavita aliyotumiwa na NATO mpakani mwa Urusi.
Ingekua unachosema ni ukweli asingehangaika kutafuta vifaa vya kijeshi kila sehemu. Acheni kufungwa macho. Ushabiki wa upofu ni mbaya mno.
 
Ingekua unachosema ni ukweli asingehangaika kutafuta vifaa vya kijeshi kila sehemu. Acheni kufungwa macho. Ushabiki wa upofu ni mbaya mno.
Pia ushabiki huo huo ni haki ya mtu huwezi kumpokonya hiyo haki
 
Kwa hili mimi nipo na Rusia siwezi kuwa na mawazo mgando kisa msimamo wangu wa Tanzania

Kusimama na haki si kuwa na mawazo mgando bali ni kuwa na msimamo unaoeleweka.

Hakuna mpigania haki anayeweza kujinasibu Kwa kusimama na Russia kwenye hili.

Ndiyo maana si kupigania haki tu kulikopo bali hata u Simba na yanga nao ni sehemu ya maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…