Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Nchi yake ilipovamiwa ulitaka afanyaje kama Rais na amiri jeshi mkuu?
Asimame yeye kama amiri jeshi mkuu na siyo kwenda kuwapigia magoti mabeberu
 
Zelensnkyy ni myahudi wayahudi matajiri duniani waliosambaa kila nchi duniani ndio wanagharimia hiyo vita

Binafsi nilionya toka siku ya kwanza vita ilipoanza kuwa Russia wamekosea kuvamia nchi ambayo Serikali yake inaongozwa na myahudi Zelensnkyy

Wayahudi huungana kama kitu kimoja mwenzao kama akiwa Raisi akivamiwa

Zelensnkyy hadaiwi chochote
Kwahiyo myahudi kazi yake kuu ni kuwa omba omba?
 
fact is a fact haijalishi unaupenda au kuuchukia. Utabaki kuwa ukweli.
Hiyo unatakiwa wewe ndiyo ujue kuwa huwezi kulazimisha mtu akubaliane na mawazo yako
 
Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.

Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.

Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.

Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.

Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.

Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.

Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.

View attachment 2628605
Inatakiwa uwe mjinga sana kuamini kwamba Kama Zelensky angekaa kimya Ukraine ingebaki huru.

Wakati vijana wa Kirusi wanakimbia nchi yao kukataa amri za Putin kuwataka kwenda vitani, vijana wa Ukraine wanaacha Kazi zao kwenda kuipigania nchi yao.

Ukraine wameungana Pamoja kuliko Warusi kwasababu nchi yao imevamiwa. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kuona ni sawa kwa nchi yake kuvamiwa.

Russia wameingia choo cha Kike. Walifikiri itakuwa Kama Crimea 2014. Mpaka vita hii iishe watakuwa hoi kiuchumi na kuwatesa watu wao Bila gains zozote.

Zelensky atabaki hero kwenye nchi ya Ukraine.
 
Inatakiwa uwe mjinga sana kuamini kwamba Kama Zelensky angekaa kimya Ukraine ingebaki huru.

Wakati vijana wa Kirusi wanakimbia nchi yao kukataa amri za Putin kuwataka kwenda vitani, vijana wa Ukraine wanaacha Kazi zao kwenda kuipigania nchi yao.

Ukraine wameungana Pamoja kuliko Warusi kwasababu nchi yao imevamiwa. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kuona ni sawa kwa nchi yake kuvamiwa.

Russia wameingia choo cha Kike. Walifikiri itakuwa Kama Crimea 2014. Mpaka vita hii iishe watakuwa hoi kiuchumi na kuwatesa watu wao Bila gains zozote.

Zelensky atabaki hero kwenye nchi ya Ukraine.
Hero wa kuomba omba! [emoji2] [emoji4] [emoji3]
 
Zelensky ni mkuda sana, ni jirani muovu.

NATO imemtumia silaha nyingi sana kumchokoza urusi kabla ya ule uvamizi.

Kifupi Ukrain alikuwa anajiandaa na vita huku anachokoza kwa kuweka makombora mengi sana mpakani na Russia, tena makombora ya kupewa na NATO
Baltic States wote wako Karibu na Russia tena Karibu Kuke Moscow, Kwanini Russia wakaivamie Ukraine.

Nyie mungelikuwepo 1978 mungeniambia Nyerere a muachie Idd Amin Kagera yetu.

USA ni bingwa wa kujenga. Angalia walivyoijenga Ujerumani Magharibi baada ya vita kuu ya pili. Angalia walivyoijenga Japan. Angalia walivyoijenga South Korea, Angalia walivyo isaidie Poland etc.
 
Baltic States wote wako Karibu na Russia tena Karibu Kuke Moscow, Kwanini Russia wakaivamie Ukraine.

Nyie mungelikuwepo 1978 mungeniambia Nyerere a muachie Idd Amin Kagera yetu.

USA ni bingwa wa kujenga. Angalia walivyoijenga Ujerumani Magharibi baada ya vita kuu ya pili. Angalia walivyoijenga Japan. Angalia walivyoijenga South Korea, Angalia walivyo isaidie Poland etc.
Inategemea na wakati huo hali ilikuwaje
 
Hero wa kuomba omba! [emoji2] [emoji4] [emoji3]
Mtu kuwa Hero ni uamuzi wa wananchi wake. Churchill ni hero wa Waingereza kwasababu alifanya hicho hicho unachomlaumu Zekensky Leo.

Wakati Putin yuko isolated, Zekensky anazunguka dunia nzima. Kati ya hao Nani kageuka panya?
 
Inategemea na wakati huo hali ilikuwaje
Ilikuwa hivyo hivyo. Idd Amin alituvamia kwasababu tulikuwa tunawasaidia waliokuwa wanampinga.

Mpaka AU kulikuwa na watu wenye akili Kama zako. Eti Tuache kumpiga Idd Amin. Lakini Watanzania wote tulisimama nyuma ya Nyerere na kumpiga.

Ukraine watafanikiwa tu dhidi ya nduli Putin.
 
Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.
Rasilimali za Urusi zilizokamatwa na kushikiliwa ndo zitatumika..
Mfano huu hapa:-
 
Inatakiwa uwe mjinga sana kuamini kwamba Kama Zelensky angekaa kimya Ukraine ingebaki huru.

Wakati vijana wa Kirusi wanakimbia nchi yao kukataa amri za Putin kuwataka kwenda vitani, vijana wa Ukraine wanaacha Kazi zao kwenda kuipigania nchi yao.

Ukraine wameungana Pamoja kuliko Warusi kwasababu nchi yao imevamiwa. Ni mtu wa ajabu sana anaweza kuona ni sawa kwa nchi yake kuvamiwa.

Russia wameingia choo cha Kike. Walifikiri itakuwa Kama Crimea 2014. Mpaka vita hii iishe watakuwa hoi kiuchumi na kuwatesa watu wao Bila gains zozote.

Zelensky atabaki hero kwenye nchi ya Ukraine.
Hero ni Putin maana kaongeza ardhi ya Urusi.
 
Baltic States wote wako Karibu na Russia tena Karibu Kuke Moscow, Kwanini Russia wakaivamie Ukraine.

Nyie mungelikuwepo 1978 mungeniambia Nyerere a muachie Idd Amin Kagera yetu.

USA ni bingwa wa kujenga. Angalia walivyoijenga Ujerumani Magharibi baada ya vita kuu ya pili. Angalia walivyoijenga Japan. Angalia walivyoijenga South Korea, Angalia walivyo isaidie Poland etc.
Mbona hujasema kama walivyoijenga Iraq, libya, afghanistan na syria?
 
Hivi wewe unaishi sayari ipi??Ambayo hujaona Ufirauni wa Warusi .Kuwa na huruma kwani anachofanya Mrusi kwa watu wa Ukrain hata Hitler hakufanya kwa hiyo kama umekwenda shule na unajua kusoma na kuandika na critical thinking please [emoji1545] don’t write this bull shit because it’s an insult to humanity
Amen
 
Mahaba yanakusumbua.

KIlichofanyika ni trade diversiom kutoka kufanya biashara na Ulaya/ USA na kugeukia Russia kufanya biashara na China/India na ncbi zingine za Asia Latin America nk. Hiyo sio kuwa koloni. Fuatilia volume ya biashara utaona.

Pili Fussia na Chima zinakubaliana kusaidiana kuifanya dunia iwe multi-polar iachane na unipolar world inayofuata matakwa ya Magharibi na hili ndio litakuwa faida kubwa ya vita hii kwa dunia.

Sasa asilimia kubwa ya biashara inafanyika kwa Yuan sio Dolla tena. Na baadhi ya nchi za kiarabu zimeanza kufanya biashara na China kwa Yuan.

Lengo la kuidhoofisha Russia limeshindwa na waliodhoofishwa ni Ulaya. Uchumi wao umeathiriwa , wananunua nishati kwa bei ghali zaidi stock ya baadhi ya aina za silaha imepungua mpaka below minimum level kiasi kwamba baada ya awamu hii ya msaada itakuwa viigumu kuendelea kutoa msaada kwa kiwango kklekile ndio maana wameweka matarajio makubwa sana kwenye hicho kinachoitwa counteroffensive ambayo dalili zinaonyesba imeishakuwa disrupted sana na mapigo ya sasa ya Rissia ambapo maghala ya hizo silaha na vifaa yameteketezwa.

RUssia kuwa na jamii zingine zaidi ya jamii kubwa ya kirusi sio ukoloni hata hiyo china haina jamii moja ya Han kuna watibet nk. Nchi nyingi zina mchanganyiko wa jamii japokuwa kunakuwa na jamii moja dominant .
Umeandika mengi ila nakujib kwa ufupi sasa hv soko la urusi limetawaliwa na Uchina .
 
Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.

Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.

Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.

Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.

Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.

Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.

Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.

View attachment 2628605
Zelensky ni jemedari la ukweli ambalo limemtoa kamasi Putin hadi anataka kujificha uvunguni.

Zelensky ni mwanachama mtarajiwa wa nato hana anachodaiwa.

Ushindi wa zelensky ndio ushindi wa nato na wa Ukraine kwa ujumla.

Putin kaitia Russia matarizoni na hajui atatokaje.
 
Zelensky ni jemedari la ukweli ambalo limemtoa kamasi Putin hadi anataka kujificha uvunguni.

Zelensky ni mwanachama mtarajiwa wa nato hana anachodaiwa.

Ushindi wa zelensky ndio ushindi wa nato na wa Ukraine kwa ujumla.

Putin kaitia Russia matarizoni na hajui atatokaje.
Sawa mkuu
 
Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.

Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.

Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.

Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.

Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.

Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.

Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.

View attachment 2628605

Kuna Katiba mpya kweli kwetu kama yako ni mawazo bora kabisa sasa ya mwana CDM kIndaki ndaki kwenye ubora wako mkuu?

Kwamba kumbe Ukraine hakutakiwa kuwa na uamuzi wala mipango yake yenyewe ila kufuata matakwa ya Putin?

Kumbe si tuyafuate matakwa ya ma CCM tu? Si ndiyo yaliyoko madarakani?

Kumbe mnataka katiba mpya ya nini basi?

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Hata za wa Ukraine ni haki pia ndugu.
 
Back
Top Bottom