Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna mandate ya kunichagulia kipi cha kuandika au upande gani niuunge mkono.Hivi wewe unaishi sayari ipi??Ambayo hujaona Ufirauni wa Warusi .Kuwa na huruma kwani anachofanya Mrusi kwa watu wa Ukrain hata Hitler hakufanya kwa hiyo kama umekwenda shule na unajua kusoma na kuandika na critical thinking please [emoji1545] don’t write this bull shit because it’s an insult to humanity
Kavamiwa baada ya kuegesha makombora mengi ya Kavita aliyotumiwa na NATO mpakani mwa Urusi.vita isiyo nasababu zamsingi kivipi wakati kavamiwa
Zelensky ni mkuda sana, ni jirani muovu.Kwan sijaelewa Ukraine imeivamia Urusi au Urusi kaivamia Ukraine , je uhusika wa Zele ni upi ? Kumkabili Putin au ulitaka aache nchi iwe kolon la urusi kama alivyofanya kwa majimbo ya donetsk na luhansk alisema anayasaidia kuwa huru ila akaja yaingiza Urusi , kwako hii ni sawa ?
Huu uzi kila mtu ana uhuru wa kuchangia kile anachokipenda. Hivyo nisingependa unipangie cha kuandika. Na pia siyo lazima mawazo yangu/mtazamo wangu ufanane na wa kwako.Unqeza kuta ww ni mjinga kwa kumlaumu aliyevamiwa tena sio mara ya kwanza hata kabla hajawa rais , kosa sio la zele kosa i rais wa kwanza baada ya kujitoa kwenye USSR wenzie akina Latvia na Estonia walijiunga na NATO mapema sana ila hawa walijifanya wanaipenda sana Urusi akina Ukraine , Moldova , Georgia , Finland na Belarus ndo walibakia neutral ila mdg mdg wanalipwa kwa ujinga wao waliemtendea wema leo anawalipa kwa ubaya , Finland kajiunga NATO , Moldova katuma maombi kujiunga na umoja wa ulaya pia Georgia wanapambana kujinga na NATO , Ukraine vita ikiisha anaijunga na NATO na hapo Urusi atahamia huko North Korea , Turkijistan , Mongolia , South Korea , China na Japan ambao hawana alliance yoyote , warus wanaamin kwenye kupora ardhi za majiran kwa ubabe , mataifa ya east yajipange kbs , Urusi le hii anawaogopa Estonia na Latvia kama kaa la moto
tayariMbowe anawalipa nini CCM waliomtoa Jela?
Ameiuza Chadema????
Huu ni msimamo wako mkuu na utaheshimika na kila mmoja
Mbane kahaba aliokuzaa akuoneshe baba Yako !!! Umepungukiwa maadali dada!! Una.ombwe la maleziMbowe anawalipa nini CCM waliomtoa Jela?
Ameiuza Chadema????
Nchi yake ilipovamiwa ulitaka afanyaje kama Rais na amiri jeshi mkuu?Moja ya vijitu vijinga kabisa duniani ni hako ka Zelensky. Kangeifahamu kwa kina Marekani na washirika wake, kasingekubali kuingia kwenye huu mtego.
Mkuu haiwezekani kumlazimisha mtu awe upande wako ili akubali unachokipenda wewe.pamoja na kuwa ni pro west ila hapo huyo jamaa kaongea fact na sio msimamo. Tujifunze kukubali ukweli hata kama ni kinyume na ushabiki wetu.
Mkuu haiwezekani kumlazimisha mtu awe upande wako ili akubali unachokipenda wewe.
Kumbuka kuwa hapa ni jukwaa huru hivyo kila member ana uhuru wa kuamini anacho kiamini.
Hana cha kuwalipa NATO zaidi kuwapelekea kiboga wakichakate na mafuta ya naziUkiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.
Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.
Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.
Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.
Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.
Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.
Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.
View attachment 2628605
Wewe ni mpumbavu! Hivi ulitegemea nchi yake imevamiwa akimbie? Una mawazo ya kitotoSiyo kila azungumzae mambo ya kimaifa basi ni Yerico