Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa na mimba changa wewe. Siyo bure.Wala sitak tufanane ila kuna vitu vinahitaj akili ndogo , ukikumbushwa usinune
Mkuu,Kinachoniacha hoi ni mtu hambaye nilimuona kuwa role model wangu,akiwemo Salary Slip pamoja na wengine waliokuwa wakiungana kwa pamoja kupinga mauji ya wasio na hatia, udhalimu,roho mbaya,ufedhuli ,kiburi na kila aina ya tabia mbaya alizokuwanazo jiwe..,eti Leo hii mtu huyohuyo anaungana na wengine kushangilia mauaji yanayofanywa na dikiteta Putin kwa watu hambao hawakuwai kumrushia hata punje ya Mchele kwenye mipaka yake..mtu huyohuyo anamshangilia kiongozi anayefanya kila njia kuwanyamazisha wakosoaji wake ikiwemo kuwapa sumu
Kweli ukijaribu kumsoma mwanadamu unaweza kupata stroke kwenye ubongo,ni vema mambo mengine ukarelax na kujifanya kama huyaoni!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hizo nchi ni makoloni ya Marekani hawana uhuru Tena wakujiamulia mambo Yao, na chumi ZAO zimeshkamanishwa na uchumi wa Marekani. Hufuata amri za MarekaniKwenye hili umepotoka sana ndugu yangu.
Jiulize, hivi nchi za Magharibi walipowaisaidia sana South Korea, hadi leo Korea kusini kufikia kuwa nchi tajiri kuizidi hata Urusi (achilia mbali North Korea ambayo wananchi wake wanaishi kwa kujikimu), South Korea wanalipa nini kwa mataifa ya magharibi? Je, wananchi wa South Korea wameuzwa kwa nchi za Magharibi? Jiulize pia, baada ya vita kuu ya Dunia, US iliisaidia sana Ujerumani Magharibi na Japan. Je, baada ya hapo hizo nchi zinailipa nini Marekani?
Na huko unakosema wananchi watauzwa, ebu fafanua, binadamu anauzwaje kutoka taifa lake kwa Taifa jingine? Maana binadamu siyo kitoweo au mchele.
Sioni namna ambayo Ukraine italazimishwa kumlipa yeyote. Urusi imepewa misaada mingi ya kifedha kutoka nchi za magharibi miaka ya 1900 mpaka 2000, imekuwa ikiyalipa nini hayo mataifa ya magharibi?
Sisi tuliwasaidia waganda, waSouth Afrika, Msumbiji, Komoro, Angola; je, wanatulipa nini?
Fahamu mpaka leo, wananchi wa North Korea wanauawa mpakani na South Korea, wakitorokea South Korea kutafuta unafuu wa maisha. Na kama kusingekuwa na sheria kali za kuwazuia wananchi wa North Korea kwenda South Korea, mamilioni ya wananchi wa North Korea wangehamia South Korea kuliko kubakia kwa yule Rais wao kichaa.
Unaandika kuufurahisha moyo wako, URUSI ni Taifa huru na ni Taifa kubwa Lina haki ya kujlinda zidi ya maadui wanataka kuwatumia majirani zake kuiangamiza.Marekani amefanya uharifu mwingi Sana,Leo waarabu wangapi wamekufa.Hebu angalia palestina wanvyoteseka mbona huuandiki Tena Kuna wakristo wenzetu wapalestina lakini wanateswa Marekani anawasaidia niniWewe inaonekana siyo mfuatiliaji.
Hayo mataifa ya Magharibi, hayawezi kukubali kushindwa. Ukraine itaathirika sana, hasa kwenye kupoteza uhai wa watu wake, lakini ni lazima Russia itashindwa hata kama itakuwa ni baadabya muda.
Hivi unajua kuwa hata uwepo wa hiyo nchi ya Ukraine ni matokeo ya Urusi kushindwa dhidi ya mataifa ya Magharibi? Hiyo Ukraine ilikuwa ni sehemu ya USSR. Unafahamu ni kwa nini USSR ilikufa? Unafahamu kuwa Russia baada ya wananchi wake kuishi kwa mateso makubwa kwa miaka mingi, huku wananchi wake wengi wakitorokea mataifa ya Magharibi, ikawa haina namna zaidi ya kuyapigia magoti mataifa ya Magharibi, nayo yakampa masharti, na baada ya kuyatekeleza ndipo akaondolewa vikwazo, akamwagiwa misaada ya pesa iliyomsaidia kuanza kuujenga uchumi wake uliokuwa umedorora sana?
Nchi za Magharibi zimepata mahali pa kuidhoofisha sana Urusi. Na haya mataifa ya Magharibi hayatatulia mpaka yahakikishe Urusi imetokomea. Kumbuka Urusi ndiyo inayowapa tekinolojia ya nuklia North Korea na Iran. Na mataifa ya Magharibi yanahofu kuwa huenda baadaye ikaipa tekinolojia hiyo Syria na mataifa mengine yenye tawala za kidikteta, zikiwemo za Afrika. Hivyo hawatamwacha ashinde, kwa sababu licha ya kuisaidia Ujraine, nyuma yake ni kutafuta uhakikisho kuwa Russia haiwi hatari kwa usalama wao kupitia tekinolojia ya nuklia inayoisambaza kwa tawala za kidikteta.
Kushindwa kwa Urusi hakutakuwa kwenye battlefield, bali itakuwa mchanganyiko wa mbinu. Hakuna uwekezaji, mapato yanashuka, skilled labor inakimbia, mapato yaliyobakia kidogo yanagharamia vita, watu wanaishi maisha magumu, etc. Kwa upande mwingine, haya mataifa mengine kwa umoja wao wana uwezo wa kuitegemeza Ukraine kwa kipindi kirefu kadiri watakavyo.
Mbona pale Syria walishindwa?Wewe inaonekana siyo mfuatiliaji.
Hayo mataifa ya Magharibi, hayawezi kukubali kushindwa. Ukraine itaathirika sana, hasa kwenye kupoteza uhai wa watu wake, lakini ni lazima Russia itashindwa hata kama itakuwa ni baadabya muda.
Hivi unajua kuwa hata uwepo wa hiyo nchi ya Ukraine ni matokeo ya Urusi kushindwa dhidi ya mataifa ya Magharibi? Hiyo Ukraine ilikuwa ni sehemu ya USSR. Unafahamu ni kwa nini USSR ilikufa? Unafahamu kuwa Russia baada ya wananchi wake kuishi kwa mateso makubwa kwa miaka mingi, huku wananchi wake wengi wakitorokea mataifa ya Magharibi, ikawa haina namna zaidi ya kuyapigia magoti mataifa ya Magharibi, nayo yakampa masharti, na baada ya kuyatekeleza ndipo akaondolewa vikwazo, akamwagiwa misaada ya pesa iliyomsaidia kuanza kuujenga uchumi wake uliokuwa umedorora sana?
Nchi za Magharibi zimepata mahali pa kuidhoofisha sana Urusi. Na haya mataifa ya Magharibi hayatatulia mpaka yahakikishe Urusi imetokomea. Kumbuka Urusi ndiyo inayowapa tekinolojia ya nuklia North Korea na Iran. Na mataifa ya Magharibi yanahofu kuwa huenda baadaye ikaipa tekinolojia hiyo Syria na mataifa mengine yenye tawala za kidikteta, zikiwemo za Afrika. Hivyo hawatamwacha ashinde, kwa sababu licha ya kuisaidia Ujraine, nyuma yake ni kutafuta uhakikisho kuwa Russia haiwi hatari kwa usalama wao kupitia tekinolojia ya nuklia inayoisambaza kwa tawala za kidikteta.
Kushindwa kwa Urusi hakutakuwa kwenye battlefield, bali itakuwa mchanganyiko wa mbinu. Hakuna uwekezaji, mapato yanashuka, skilled labor inakimbia, mapato yaliyobakia kidogo yanagharamia vita, watu wanaishi maisha magumu, etc. Kwa upande mwingine, haya mataifa mengine kwa umoja wao wana uwezo wa kuitegemeza Ukraine kwa kipindi kirefu kadiri watakavyo.
Hawa wachangiaji wana mahaba makubwa na Nato na pia wana chuki kubwa kwa RussiaMbona pale Syria walishindwa?
Mbona pale Venezuela walishindwa?
Mbona pale Afghanistan walishindwa?
Mbona maeneo mengi tu nato wanatimuliwa kama watoto wa mitaani?
Hao hawaoni maovu ya wamarekaniUnaandika kuufurahisha moyo wako, URUSI ni Taifa huru na ni Taifa kubwa Lina haki ya kujlinda zidi ya maadui wanataka kuwatumia majirani zake kuiangamiza.Marekani amefanya uharifu mwingi Sana,Leo waarabu wangapi wamekufa.Hebu angalia palestina wanvyoteseka mbona huuandiki Tena Kuna wakristo wenzetu wapalestina lakini wanateswa Marekani anawasaidia nini
Nduli alisha badilika kuwa mchanga kule burigiMkuu,
Ndo maana namshangaa sana huyu mtoa mada Mmawia
Huwa anajinasibu kama mtetezi wa haki kumbe ni team nduli🥱
Sijui walitaka yule muuaji, nduli Putin akabidhiwe nchi ya watu kikondoo?!!!
Zelensky asilaumiwe, anatenda sawa na mapenzi ya wananchi wake, vinginevyo angeshafurushwa kama mtangulizi wake.
Ukreni ndio mchokozi, amemkaribisha adui wa urusi uwanjani kwake na adui wa urusi akaanza kusogeza mawe ya kumpopoa Mrusi. Mrusi akamwambia jirani yake hicho unachofanya sio sahihi .na akamkumbusha kuhusu kibanda alichopewa na Babu yake na urusi yaani cremea,ukreni akaendelea kushupza shingo.Urusi akamuuliza mbona na ndugu zangu unawanyanyasa ukreni akaendelea kupewa kiburi na adui wa urusi. URUSI akaona isiwe shida ngoja ni yatoe hayo mawe kumbe Alisha Chelewa ukreni alshapewa mpaka mapanga na marungu ndio maana mpaka Leo ugomvi umekuwa mkubwa. UKWELI NI KWAMBA HUU UGOMVI UNACHOCHEWA NA USA, LENGO LA USA NI KUIZOOFISHA URUSI. NA ALIAMINI KUWA MRUSI HAWEZI SIMA A MUDA WOTE IMEKUSA KINYUME UCHUMI WA URUSI HAUPIMWI GDP YA KIMAGHARIBI MAANA HATA SPAIN NA ITALY WANA GDP KUBWA, SAWALI WANGE WEZA KUSIMAMA ZIDI YA MATAFA 30+Kumbuka Ukraine kavamiwa na Urusi anapambana kutetea uhuru wake na Urusi ananguvu kwa hiyo ulitaka asalimishe ardhi yake kwa Urusi
Nimeukubali mchango wako upo boraUkreni ndio mchokozi, amemkaribisha adui wa urusi uwanjani kwake na adui wa urusi akaanza kusogeza mawe ya kumpopoa Mrusi. Mrusi akamwambia jirani yake hicho unachofanya sio sahihi .na akamkumbusha kuhusu kibanda alichopewa na Babu yake na urusi yaani cremea,ukreni akaendelea kushupza shingo.Urusi akamuuliza mbona na ndugu zangu unawanyanyasa ukreni akaendelea kupewa kiburi na adui wa urusi. URUSI akaona isiwe shida ngoja ni yatoe hayo mawe kumbe Alisha Chelewa ukreni alshapewa mpaka mapanga na marungu ndio maana mpaka Leo ugomvi umekuwa mkubwa. UKWELI NI KWAMBA HUU UGOMVI UNACHOCHEWA NA USA, LENGO LA USA NI KUIZOOFISHA URUSI. NA ALIAMINI KUWA MRUSI HAWEZI SIMA A MUDA WOTE IMEKUSA KINYUME UCHUMI WA URUSI HAUPIMWI GDP YA KIMAGHARIBI MAANA HATA SPAIN NA ITALY WANA GDP KUBWA, SAWALI WANGE WEZA KUSIMAMA ZIDI YA MATAFA 30+
Hivi watu mnaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja hata humu kumbe pia mmoMbowe anawalipa nini CCM waliomtoa Jela?
Ameiuza Chadema????
Baltic States wote wako Karibu na Russia tena Karibu Kuke Moscow, Kwanini Russia wakaivamie Ukraine.
Nyie mungelikuwepo 1978 mungeniambia Nyerere a muachie Idd Amin Kagera yetu.
USA ni bingwa wa kujenga. Angalia walivyoijenga Ujerumani Magharibi baada ya vita kuu ya pili. Angalia walivyoijenga Japan. Angalia walivyoijenga South Korea, Angalia walivyo isaidie Poland etc.
Upo ushahidi wa hili hizo silaha mbona Urusi hajawahi kudhibitishia dunia wewe umezitolea wapi hizi taarifa acha uwongo na kuropoka ropokaKavamiwa baada ya kuegesha makombora mengi ya Kavita aliyotumiwa na NATO mpakani mwa Urusi.
south korea, japan na ujerumani ni makoloni ya US.....Kwenye hili umepotoka sana ndugu yangu.
Jiulize, hivi nchi za Magharibi walipowaisaidia sana South Korea, hadi leo Korea kusini kufikia kuwa nchi tajiri kuizidi hata Urusi (achilia mbali North Korea ambayo wananchi wake wanaishi kwa kujikimu), South Korea wanalipa nini kwa mataifa ya magharibi? Je, wananchi wa South Korea wameuzwa kwa nchi za Magharibi? Jiulize pia, baada ya vita kuu ya Dunia, US iliisaidia sana Ujerumani Magharibi na Japan. Je, baada ya hapo hizo nchi zinailipa nini Marekani?
Na huko unakosema wananchi watauzwa, ebu fafanua, binadamu anauzwaje kutoka taifa lake kwa Taifa jingine? Maana binadamu siyo kitoweo au mchele.
Sioni namna ambayo Ukraine italazimishwa kumlipa yeyote. Urusi imepewa misaada mingi ya kifedha kutoka nchi za magharibi miaka ya 1900 mpaka 2000, imekuwa ikiyalipa nini hayo mataifa ya magharibi?
Sisi tuliwasaidia waganda, waSouth Afrika, Msumbiji, Komoro, Angola; je, wanatulipa nini?
Fahamu mpaka leo, wananchi wa North Korea wanauawa mpakani na South Korea, wakitorokea South Korea kutafuta unafuu wa maisha. Na kama kusingekuwa na sheria kali za kuwazuia wananchi wa North Korea kwenda South Korea, mamilioni ya wananchi wa North Korea wangehamia South Korea kuliko kubakia kwa yule Rais wao kichaa.
Umemaliza kazi mkuuUnachotakiwa kujua ni kwamba mataifa yote yaliyosaidiwa na Marekani mwishowe Huwa makoloni yake.( Neo-colonialism) utakuwa soko lake, utafuata utamaduni wake Mfano mapenzi ya jinsia moja, utazalisha lakini wawekezaji ni USA raia wako watakuwa Patna tu,utalipia technology ya USA na brand zao Maisha yako yote.Mwisho sera ya nje nani awe rafiki inaamulwa Washington.
Mambo ya kuhusu North Korea ni propaganda maana hamna anayejua kwa uhakika ambacho huwa kinaendelea North Korea.Kwenye hili umepotoka sana ndugu yangu.
Jiulize, hivi nchi za Magharibi walipowaisaidia sana South Korea, hadi leo Korea kusini kufikia kuwa nchi tajiri kuizidi hata Urusi (achilia mbali North Korea ambayo wananchi wake wanaishi kwa kujikimu), South Korea wanalipa nini kwa mataifa ya magharibi? Je, wananchi wa South Korea wameuzwa kwa nchi za Magharibi? Jiulize pia, baada ya vita kuu ya Dunia, US iliisaidia sana Ujerumani Magharibi na Japan. Je, baada ya hapo hizo nchi zinailipa nini Marekani?
Na huko unakosema wananchi watauzwa, ebu fafanua, binadamu anauzwaje kutoka taifa lake kwa Taifa jingine? Maana binadamu siyo kitoweo au mchele.
Sioni namna ambayo Ukraine italazimishwa kumlipa yeyote. Urusi imepewa misaada mingi ya kifedha kutoka nchi za magharibi miaka ya 1900 mpaka 2000, imekuwa ikiyalipa nini hayo mataifa ya magharibi?
Sisi tuliwasaidia waganda, waSouth Afrika, Msumbiji, Komoro, Angola; je, wanatulipa nini?
Fahamu mpaka leo, wananchi wa North Korea wanauawa mpakani na South Korea, wakitorokea South Korea kutafuta unafuu wa maisha. Na kama kusingekuwa na sheria kali za kuwazuia wananchi wa North Korea kwenda South Korea, mamilioni ya wananchi wa North Korea wangehamia South Korea kuliko kubakia kwa yule Rais wao kichaa.