joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Raja wamecheza bila mashabiki mtu kala tano sijui ingekuwaje kama mashabiki wangekuwepo.
Wale jamaa wanaspeed na Kanoute ana kadi mbili, siku hiyo combo inakuwa kati ya Sawadogo na Mzamiru.
Wale jamaa wanaspeed na Kanoute ana kadi mbili, siku hiyo combo inakuwa kati ya Sawadogo na Mzamiru.