Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Naona unachochea kuni kwenye tanulu moto uwake zaidi.
Mkuu hilo li Mng'ato ni lijinga limemchokoza huyo dada mpaka maana ya uzi imeharibika,
Nmeona tangu mwanzo wa mazungumzo yao,

Alafu kisa chenyewe eti sababu huyo Rebecca kamsifia Hamonize kwa uamuzi wake wa kugombea ubunge!.

Sijawahi ona mwanmke mwenye wivu kama hiyo Mng'ato
 
Mkuu hilo li Mng'ato ni lijinga limemchokoza huyo dada mpaka maana ya uzi imeharibika,
Nmeona tangu mwanzo wa mazungumzo yao,

Alafu kisa chenyewe eti sababu huyo Rebecca kamsifia Hamonize kwa uamuzi wake wa kugombea ubunge!.

Sijawahi ona mwanmke mwenye wivu kama hiyo Mng'ato
Na atakuwa na mng'ato kweli, ww uliwahi kuona wapi wanawake wakapwndana kama interest zao haziendani mkuu,
 
View attachment 1479085
Mwanamuziki Rajab Abdul, maarufu Harmonize ameweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika Jimbo la Tandahimba mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli kupendekeza afanye hivyo.

Akizungumza na TBC1, mwanamuziki huyo anayetamba na nyimbo kadhaa ikiwamo Bed Room, amesema kuwa alijisikia furaha sana kuambia hivyo na Rais Magufuli, hadi machozi yalimtoka kwa sababu sio kitu cha kawaida kiongozi wa nchi kumpendekeza raia kugombea jimbo fulani.

“Kama mkuu wa nchi anakuamini, anakuona kabisa you can do this [unaweza kufanya hili], mimi ni nani?” amesesema Harmonize alipoulizwa kama ana ndoto za kugombe ubunge.

Licha ya kuweka wazi kuhusu mpango huo, amesema mambo mengine yanabaki kuwa chini ya kapeti, hivyo hakusema kama atagombea katika uchaguzi wa mwaka 2020 ama la.

Oktoba 2019 baada ya kutumbuiza katika mkutano wa hadhara mkoani Lindi, Rais Magufuli alisema kuwa anatamani kumuona Harmonize akigombea ubunge Tandahimba.

Jimbo la Tandahimba kwa sasa linaongozwa na Mbunge Katani Ahmadi Katani wa Chama cha Wananchi (CUF).

Endapo akagombea na kushinda, ataingia kwenye orodha ya wasanii ambao ni/ wamewahi kuwa wabunge nchini ambao ni pamoja na Joseph Haule (Profesa Jay), Joseph Mbilinyi (Sugu).

Source: Swahili times
Anafikiria ubunge ni kumkatia mauno yesu wao[emoji3]
 
View attachment 1479085
Mwanamuziki Rajab Abdul, maarufu Harmonize ameweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika Jimbo la Tandahimba mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli kupendekeza afanye hivyo.

Akizungumza na TBC1, mwanamuziki huyo anayetamba na nyimbo kadhaa ikiwamo Bed Room, amesema kuwa alijisikia furaha sana kuambia hivyo na Rais Magufuli, hadi machozi yalimtoka kwa sababu sio kitu cha kawaida kiongozi wa nchi kumpendekeza raia kugombea jimbo fulani.

“Kama mkuu wa nchi anakuamini, anakuona kabisa you can do this [unaweza kufanya hili], mimi ni nani?” amesesema Harmonize alipoulizwa kama ana ndoto za kugombe ubunge.

Licha ya kuweka wazi kuhusu mpango huo, amesema mambo mengine yanabaki kuwa chini ya kapeti, hivyo hakusema kama atagombea katika uchaguzi wa mwaka 2020 ama la.

Oktoba 2019 baada ya kutumbuiza katika mkutano wa hadhara mkoani Lindi, Rais Magufuli alisema kuwa anatamani kumuona Harmonize akigombea ubunge Tandahimba.

Jimbo la Tandahimba kwa sasa linaongozwa na Mbunge Katani Ahmadi Katani wa Chama cha Wananchi (CUF).

Endapo akagombea na kushinda, ataingia kwenye orodha ya wasanii ambao ni/ wamewahi kuwa wabunge nchini ambao ni pamoja na Joseph Haule (Profesa Jay), Joseph Mbilinyi (Sugu).

Source: Swahili times
Duh! eti "machozi yalinitoka"[emoji2][emoji2]

Alimuuliza ni nini ameona kwake hadi kumshauri kua mbunge?
Isije ikawa ni kwa sababu ya populality na ni influence kwa jamii tu ndio magu anataka.

Zaidi anapaswa kujitathmini uwezo wake binafsi wa kujenga hoja na kutoa mawazo yakinfu yatakayo leta maendeleo kwa jamii yake.
Asije kutuongezea utoplo bungeni!
Uongozi ni zaidi ya influence!

All the best Harmonize.
 
Kabla hujafa hujaumbika. Harmonize anaweza kuja kuwa Kiongozi Bora. Vipi Dj mbowe? Vipi Mr 2 proud sugu vipi Prof j wa mitulinga.
Tusidharau binadamu aliye hai. Anacho kitu alichopewa na Mungu.
Rais wa Madagascar alikuwa dj.
Anashangaza sana huyo muungwana. Kuna mabilionea hawakumaliza elimu ya vyuo vikuu na michango yao katika maisha ya kila siku ya watu ni mikubwa mno.
 
Bungeni ni kisima kama sio chem chem za fikra kwa taifa

Mijadala mipana na maazimio mbali mbali yanayopitishwa bungeni yana athari za moja kwa moja kwenye taifa
Ili kupata athari chanya kwenye matokeo ya maazimio na mijadala hiyo tunahitaji watu wenye weledi mkubwa kujadili mambo hayo!
Majadiliano ya kijinga hushirikisha watu wajinga na matokeo yatakuwa ya kijinga

Majadiliano na maazimio ya aina hiyo ndio yaliyolifikisha taifa hapa
Nilikuelewa na nimekuelewa ila nilichokitoa kwako ni tatizo linapoanzia. Kama standards zipo chini bhasi tumekubali kupata viongozi wa standard hiyo.
Kwa Harmonize hatanikubali au nikatae ila vigezo vinamruhusu
 
Nchi za Kiafrika sheria mnatungiwa na Form 4 leaver inakuja kutafsiriwa na Mahakama huku mhudumu wa mortuary inabidi awe angalau form four plus certificate ya uhudumu wa mortuary.

Sometimes watunga sheria wengine ni la saba tu
Kwa sasa CCM inawategemea Bungeni darasa la saba Msukuma na kibajaji
 
Nilikuelewa na nimekuelewa ila nilichokitoa kwako ni tatizo linapoanzia. Kama standards zipo chini bhasi tumekubali kupata viongozi wa standard hiyo.
Kwa Harmonize hatanikubali au nikatae ila vigezo vinamruhusu
tunatakiwa tujitathmini kama taifa
 
Maajabu ya Tanzania mbunge ajue kusoma na kuandika ila dereva wa serikali lazima awe na cheti cha darasa la 12
 
Kabla hujafa hujaumbika. Harmonize anaweza kuja kuwa Kiongozi Bora. Vipi Dj mbowe? Vipi Mr 2 proud sugu vipi Prof j wa mitulinga.
Tusidharau binadamu aliye hai. Anacho kitu alichopewa na Mungu.
Rais wa Madagascar alikuwa dj.
Acha kumlinganisha Prof J na Mr 2 na vitu vya kijinga , utakuwa umewajua hao watu baada ya kuja mjini...
 
Kama Wabunge wenyewe wa CCM wanaongea pumba kila siku, kila mtu anaweza kuwa mbunge bora kuliko wote walioko bungeni leo [emoji23]
 
View attachment 1479085
Mwanamuziki Rajab Abdul, maarufu Harmonize ameweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika Jimbo la Tandahimba mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli kupendekeza afanye hivyo.

Akizungumza na TBC1, mwanamuziki huyo anayetamba na nyimbo kadhaa ikiwamo Bed Room, amesema kuwa alijisikia furaha sana kuambia hivyo na Rais Magufuli, hadi machozi yalimtoka kwa sababu sio kitu cha kawaida kiongozi wa nchi kumpendekeza raia kugombea jimbo fulani.

“Kama mkuu wa nchi anakuamini, anakuona kabisa you can do this [unaweza kufanya hili], mimi ni nani?” amesesema Harmonize alipoulizwa kama ana ndoto za kugombe ubunge.

Licha ya kuweka wazi kuhusu mpango huo, amesema mambo mengine yanabaki kuwa chini ya kapeti, hivyo hakusema kama atagombea katika uchaguzi wa mwaka 2020 ama la.

Oktoba 2019 baada ya kutumbuiza katika mkutano wa hadhara mkoani Lindi, Rais Magufuli alisema kuwa anatamani kumuona Harmonize akigombea ubunge Tandahimba.

Jimbo la Tandahimba kwa sasa linaongozwa na Mbunge Katani Ahmadi Katani wa Chama cha Wananchi (CUF).

Endapo akagombea na kushinda, ataingia kwenye orodha ya wasanii ambao ni/ wamewahi kuwa wabunge nchini ambao ni pamoja na Joseph Haule (Profesa Jay), Joseph Mbilinyi (Sugu).

Source: Swahili times
Wale wale kina Kibajaj na Jah people na Kasheku yaani mtu kutokea kwenye kuokota makopo na chupa chakavu leo hii anakuwa mtunga sheria!
 
Hao ndio tunawahitaji tuwajaze bungeni na wakina Musukuma, Kibajaji etc

Hao tukipeleka muswada bungeni wanagonga meza tu kuunga mkono hoja maana hata kilichoandikwa ndani hawakielewi.

Bunge la kisayansi 2020-2025 linawezekana, tuwaunge mkono wagombea wa dizaini hii kwa wingi.
Ni kupoteza rasilimali za taifa na mambo yenyewe kama ndiyo haya basi hakuna haja ya kuwa na bunge kabisa
 
Back
Top Bottom