Habari ndugu zangu tunakumbushana ukiwa unafunga epuka kumsema mtu yeyote kwa jambo ambalo mwenyew akilisikia litamkera, epuka kusema uongo, kutazama wanawake wanaopita inamisha macho yako baada ya mtazamo wa kwanza, husivae nguo ambayo ulinunua kwa pesa haramu yan pesa hiyo kama ulidhulmu au uliiba au ulipata kwa njia ambayo sio halali utakuwa huna funga, husile vitu ambavyo vimepatikana kwa njia ya haramu yan futari yake isiwe imepatikana kwa njia ambayo sio halali, kama kwa pesa ya kuuza pombe,guest,hotel au hata kupatikana kwa kuuza nguo za kike za uchi kwa wenye maduka......
Ndugu waislam binadamu tunapaswa kuish kwa njia ya haki kila pumz yetu.
Tumia muda wako mwingi kusoma Quran ikiwa ujui waweza mtaja mwenyezi mungu kwa wingi utapata dhawabu pia.......
Tumia ramadan hii kufanya toba na kujutia uloyatenda.....