Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #81
Baada ya kufunga na kumwaga mkanda wa juu, pandisha kozi tatu badala ya mbili kama wengi wanavyofanya. Kumbuka ule mlalo wa bati (overhang) utaificha kozi moja (au na zaidi) na hivyo itabaki kozi moja inayoonekana ambapo nyumba itaonekana kama imemezwa na paa. Ukiweka kozi 3, nyumba itapendeza zaidi na pia itafanya hata taa za nje zikae vizuri bila shida