Ramani ya Maandamano ya CDM; NI Njia ya mauti au Ulemavu M/kiti Kashawapa

Ukichaa unawapata hata watu usio weza kudhani wana vimelea vyovyote vya ugonjwa huo. Naona maslahi yanapo guswa kila mtu uwehu unampanda kichwani.
Je unaanzia wapi MAANDAMANO? Jukwaa la Siasa kupitia Habari Mchanganyiko na kuishia InternationalNews? Au Jamii Intelligence?
 
Je unaanzia wapi MAANDAMANO? Jukwaa la Siasa kupitia Habari Mchanganyiko na kuishia InternationalNews? Au Jamii Intelligence?
Mbona maandamano shafanyika na kukamilika mkuu 'Stuxnet'! Au bado hukuyaona?
 
Tahadhari hii imezingatiwa
 
Yale siyo maandamano bali kusanyiko la wasio na malengo wakimsindikiza Mbowe
Basi sawa.
Mimi naona kama maandamano yamefana sana na mama toka sasa kwenda mbele anajuwa hana njia ya kuyarudisha nyuma tena.
Haya yamefikia yalipo ishia, tugange yajayo.
 
Basi sawa.
Mimi naona kama maandamano yamefana sana na mama toka sasa kwenda mbele anajuwa hana njia ya kuyarudisha nyuma tena.
Haya yamefikia yalipo ishia, tugange yajayo.
Hakuna kilichofana kwenye maandamano kwa kuwa watu hawajawaunga mkono. Kwani ndugu unaandika tokea wapi? Minjingu au Nangurukulu?
 
Hii nchi qmmke imelaaniwa sio bure, taswira nzuri watu kutekwa na kuuawa?? Tena na Polisi??
Wallah tutawaliwe tena tu!
 
Hakuna kilichofana kwenye maandamano kwa kuwa watu hawajawaunga mkono. Kwani ndugu unaandika tokea wapi? Minjingu au Nangurukulu?
Sasa hili nalo unataka tupoteze muda humu kulijadili; kama watu wameunga mkono maandamano au hapana?
Mkuu 'Stuxnet', nakupa hadhi kuliko wengi humu kwa kujuwa unao ufahamu wa kutosha. Lakini unapokuja na kusema watu hawakuunga mkono maandamano, inanishangaza sana.
Kwako kuunga mkono ni lazima watu wakapambane na polisi siyo?

Kwa hiyo tuseme hapa kwamba kutojitokeza watu kuunga mkono maandamano maana yake ni watu hao kuunga mkono maovu yanayofanywa na uongozi dhidi ya watu hao hao? Hii ni akili ya wapi?
 
Ule ulikuwa usanii tu. Polisi na Mbowe wanajuwa walichofanya. Yaani mtuhumiwa wa Polisi kweli apande kiti cha mbele cha Difenda??
 
Ule ulikuwa usanii tu. Polisi na Mbowe wanajuwa walichofanya. Yaani mtuhumiwa wa Polisi kweli apande kiti cha mbele cha Difenda??
Unayo picha mkuu?

Lakini , pamoja na lawama nyingi wanazo elekezwa polisi, hasa hawa wa vyeo vya chini, kumbuka kuwa mbali ya upolisi wao na wao ni waTanzania, raia wa nchi hii wanaojua uovu unao fanyika. Hawa wengi hawana tatizo lolote na huo uhasama unao elekezwa kwa viongozi wa Chadema.
Kwa hiyo ninakushangaa wewe kutaka kuja hapa na ulaghai hafifu namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…