Ramani ya Maandamano ya CDM; NI Njia ya mauti au Ulemavu M/kiti Kashawapa

Ramani ya Maandamano ya CDM; NI Njia ya mauti au Ulemavu M/kiti Kashawapa

Nina akili timamu za kwangu tumefika hapa tulipo kwasababu ya nyie mnao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kizalendo, a .k.a kujizima data, (unyumbu), unyumbu wa kisiasa ni tabia ya kundi fulani lililopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, do not compare yourself with my calibre
Karibu uandamane kuanzia Ilala, mbona ramani imetolewa!! Usiishie kuwa jemedari wa mtandaoni
 
Sio kwa akili kama zako,unaonekana "nungayembe"
Mkataze mumeo asije kwenye maandamano,wengine hawakuhusu.
Umemwekea limbwata mumeo na hasemi kitu kwako unataka kutucontrol wote.??
Kuwa na adabu na wanaume wa watu.
Akili zenyewe umeziweka kwennye ngono tu, sasa maandamano utayaweza? Au nyinnyi ndiyo kazi yenu kutiwa na akina Mboe baada ya maandamano??
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....200,000/=
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....100,000(kianzio)
3-Kupasuliwa bandama....200,000/=
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....150,000 halafu dialysis 150,000 kwa wiki
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...25000 kianzio
6-Kutobolewa jicho moja....50,000 kianzio
7-Kung'olewa jino....5000
8-Kupasuliwa yai za kende....50,000
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...5000 ya file
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...20,000
14-kutapishwa kisusio...5000
15-Kutoneshwa busha/mshipa...bure
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...150,000
17-kutoneshwa /kupasuliwa tezi dume bure
18-Kutobolewa kibofu au puru(rectum) 200,000 kianzio
19-Kuzikwa na manispaa...bure
20-Vipimo vya Xray,CT scan,Ultra sound,MRI, 250,000.

N.B BEI NILIZOWEKA SIO HALISI

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..
 
Hata wakati wa mkoloni, babu yako alihamasisha hivi hivi watu wasishiriki harakati za uhuru hadi wahakikishiwe maslahi binafsi.

Naona utamaduni huo.umejikita hadi kwa wajukuu na vitukuu vyakrle.

Shameless
Andamana dogo

Ututumie na picha…. Mnapenda sana kujaza watu mkenge halafu nyie mko online republic
 
Maandamano ni sehemu ya demokrasia Kwa Nchi zinazoongozwa na watu smart tofauti na Tanzania ambapo wajinga na hayawani ndiyo wamepewa madaraka na matokeo yake utekaji umetamalaki
Historia ya kufanya hiki unachodai hakiwezekani eti sababu unaowaita Police watakuwa wamekuhakikishia watamwaga vinyesi vya waandamanaji

Walifanya hivyo kwa Akwilina na bado maandamano yalifanyika

Kuna kazi zingine zibaki kuwa za wanaume na sio nyinyi kina mama, mbaki kulea watoto majumbani

Alokwambia twaenda kuweka ugomvi na police ni nani??


Maccm akili zenu ni za ki ccm ccm tupu
 
Wakati mwingine hivi vitu vinashangaza sana mtaani kwangu sioni hata kijana mmoja anayefahamu juu ya maandamano haya. People are busy with their businesses.
 
Una ushahidi wa mpinzani aliepigwa risasi na serikali?
Ulichukua hatua gani?
Unafikiri nani ana jukumu la kuyatokomeza hayo, eti ndugu Engineer.
Huyo Lissu alipigwa risasi na majambazi ama nani? Maana hadi leo hii hakuna ripoti ya tukio lake

Mwenye Jukumu ni Serikali kupitia Jeshi la Polisi ambao majukumu yao Kwa mujibu wa Katiba ni kulinda watu na mali zao

Ushauri wangu, tuvifute vyama vya Upinzani.....Nchi ibaki ya Chama chetu cha CCM
 
Kama unakubli report haijatoa.
Je nikisema uliyoyaandika hapa ni hisia zako tu sio fact utabisha?
Hakuna raia amewahi pigwa risasi na jambazi?
Pole sana Mkuu, maandiko yanatukumbusha kwamba mpende jirani yako kama unavyojipenda

Jitahidi ulitafakari hilo neno na uchukue hatua kabla hujafika miaka 60, kwamaana muda wa kufanya hayo ni sasa
 
Pole sana Mkuu, maandiko yanatukumbusha kwamba mpende jirani yako kama unavyojipenda

Jitahidi ulitafakari hilo neno na uchukue hatua kabla hujafika miaka 60, kwamaana muda wa kufanya hayo ni sasa
Nonsense.
 
Back
Top Bottom