Ramani ya Maandamano ya CDM; NI Njia ya mauti au Ulemavu M/kiti Kashawapa

Ramani ya Maandamano ya CDM; NI Njia ya mauti au Ulemavu M/kiti Kashawapa

Ndugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.

Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Napenda amani na naombea amani ya nchi hii hata leo nimeombea jambo hili lisilete maumivu kwa watu..ila wito kwa serikali nawenyewe wajitahidi kutatua mitafuruku wasifanye kuwa ni kawaida, kweli daily people die , sabab ni nyingi pia ila hazipaswi kuhusisha na ukiukaji wa makusudi wa haki za mtu kuishi. Kama kweli kuna watekaji au wauaji hii isionekane ni kawaida, tukemee na pia vyombo vya dola visiache question marks juu ya matukio hayo..mana watu kawaida kama mm naweza nisielewe kwanini matukio hayo na yanatishia amani hata kwa wengine. Mhimu vyama pinzani na raia kawaida kama tunajua wenzetu wenye mamlaka hawawezi kutatua mitafuruku hio basi tusifanye njia ambazo wao hawataki kwasababu bado majibu hayatapatikana zaidi ya wao kuwaumiza watu. Please vyomho vya dola msiwazie kuwaumiza wanaoandamana mpaka muone wanaleta fujo kweli..muwe karibu yao kama mnavyokuwa karibu ktk ulinzi wa mali nk.
 
Ndio umetumwa na mama yako uje uongee huu ujinga kwa kutetea ugali wako siku vijana wote wa tanzania wakiamka sijui kama mtaweza kuwapiga risasi wote
Vijana wajjnga Watanzania wakuandamana kwa ugali wa Mbowe wako wachache.
 
Kumbe mtu akienda kuandamana automatically anaenda kuvunjwa miguu? Na mbona mmehaha sana hili suala? Mnatufanya tujiulize maswali mengi sana, au tukubaliane kuwa ni kweli “meli” i karibu kuzama!!!
Maandamano siyo maonyesho ya u-Miss Temeke au maonyesho ya kwaya. Nenda kaandamane wakakuvunje
 
Yaani unauliza anayezuia maandamano yanayohatarisha uungwaji mkono wake akiyazuia anazuia kwa maslahi ya nani? Boss, Serious? Huna jibu la hilo swali?

Binti, hujakatazwa kupigania maslahi yako. Unapigania lile linalokufaa, lenye maslahi kwako na familia yako, Wewe kama upande wako ni wa kuandamana na ndio wenye maslahi kwako kapiganie maslahi yako.

Ndio, hukusukia kuwa ukiambiwa usiandamane, wewe ukaandamana basi udhibitiwe tu maana hakuna namna. Sasa hapo kwenye kudhibitiwa ndo kuna kuvunjika miguu wakati mwingine.

Elewa nafasi yako kwenye hizi fursa za kisiasa kisha pigania unaloona linakufaa, matokeo yatakuwa ni kwako na uzao wako.
Kwahiyo wewe ndio umejipa jukumu la kutukumbusha kuhusu maslahi as if sisi ni naive hatujui kinachoendelea.

Viongozi wa CDM wamesema hadharani zaidi ya mara 10 kuwa wanaitisha maandamano ya amani kuweka pressure ya kushughulikia yanayoendelea? Na wameomba polisi kuwalinda? Yaani mtu atake kufanya fujo na bado aombe polisi kumlinda? Uelewa wenu ni finyu kiasi hiko?

It’s about doing the right things, mtu yeyote mwenye sane mind asingekuwa hapa anahubiria wananchi maslahi, angesupport wale wanaotaka “uwajibikaji “ Kwanini mnaruka ruka kama maharage wakati mnajua fika haya mambo yalikoanzia? Ilikuwa kuhusu uwajibika, hayo maslahi mmeyatoa wapi?

Ni mbowe huyo huyo aliyewazuia wananchi (mliowapa jina la wanaChadema) kumfanyia fujo Mh. Masauni msibani, Akiwa ana hope kuwa serikali itachukua hatua stahiki, basi walau Kuwafariji walioumizwa na matukio haya, Allover the sudden wana CCM wakawa kila mahali kuwamock CDM na kupush wapewe kesi/sijui washughulikiwe… Washughulikiwe kwa kipi walichofanya? (which ni kweli wameanza kushughulikiwa). Viongozi waupinzani wanaona enough is enough, ngoja tupush watu wafanye kazi yao, Cause they make the matter worse badala ya kucool situation, Wewe bado uko hapa unahubiri maslahi blah blah! Oneni aibu!

Eti vidrama, watu wanajiteka, oh CDM wanatekana, kifo ni kifo!
Fanyeni analysis tumefikaje hapa! Na nini kingefanyika tusingekuwa na mjadala huu!
 
Ndugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.

Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Nyerere aliwahi kuwaweka watoto wake mbele wakati wa harakati za kudai Uhuru?
 
Kwahiyo wewe ndio umejipa jukumu la kutukumbusha kuhusu maslahi as if sisi ni naive hatujui kinachoendelea.
Hakuna sisi, kuna wewe na ndugu zako na familia yako. Kama wewe unajua maslahi yako ni yapi na upo tayari kuyapigania tatizo liko wapi?
Viongozi wa CDM wamesema hadharani zaidi ya mara 10 kuwa wanaitisha maandamano ya amani kuweka pressure ya kushughulikia yanayoendelea? Na wameomba polisi kuwalinda? Yaani mtu atake kufanya fujo na bado aombe polisi kumlinda? Uelewa wenu ni finyu kiasi hiko?
Samiamustgo ni nini? Ipo haipo? Nimeona Mbowe kaachana nayo, hii ndo ilisababisha marufuku ya maandamano.
It’s about doing the right things, mtu yeyote mwenye sane mind asingekuwa hapa anahubiria wananchi maslahi, angesupport wale wanaotaka “uwajibikaji “ Kwanini mnaruka ruka kama maharage wakati mnajua fika haya mambo yalikoanzia? Ilikuwa kuhusu uwajibika, hayo maslahi mmeyatoa wapi?
Polisi wamesema samiamustgo ni haramu hivyo usiandamane, ukiandamana wakaamua kukudhibiti unadhani atakayeruka ruka kama maarage ni nani?
Ni mbowe huyo huyo aliyewazuia wananchi (mliowapa jina la wanaChadema) kumfanyia fujo Mh. Masauni msibani, Akiwa ana hope kuwa serikali itachukua hatua stahiki, basi walau Kuwafariji walioumizwa na matukio haya, Allover the sudden wana CCM wakawa kila mahali kuwamock CDM na kupush wapewe kesi/sijui washughulikiwe… Washughulikiwe kwa kipi walichofanya? (which ni kweli wameanza kushughulikiwa). Viongozi waupinzani wanaona enough is enough, ngoja tupush watu wafanye kazi yao, Cause they make the matter worse badala ya kucool situation, Wewe bado uko hapa unahubiri maslahi blah blah! Oneni aibu!
Hahaha, unadhani mbowe anafanya siasa bure bila maslahi?
Eti vidrama, watu wanajiteka, oh CDM wanatekana, kifo ni kifo!
Fanyeni analysis tumefikaje hapa! Na nini kingefanyika tusingekuwa na mjadala huu!
Hapa umetoa pendekezo sahihi.
 
Kwahiyo watu wataacha Kusafiri na kusafirisha bidhaa bishara na Huduma Siku nzima kwasababu ya maandamano ya chadema?Most likely mnaumwa si bure... Hivyo Watu waache kazi zao wakavunjwe viuno ili kutengeneza Mkate wa Mbowe na familia yake sio? Pesa za Ruzuku bilion 2.7 ziko wapi?
Ukitaka kumtawala mtu mpe maisha magumu,. Nahapo ndipo wanapo cheza Napo ccm

Huwezi kuandamana Kama ndani huna gunia la mahindi

Huwezi kuandamana Kama huna uhakika wa bajeti ya chakula angalau wiki moja

Njaa ndiyo inayo tutesa tz
 
Kwani jamii ina shida gani? Ogopa kutumiwa na akina Mbowe, mkishavunjwa magoti wao wataenda Ikulu kwenye maridhiano nyinyi mkiwa mnaugulia maumivu
Nina akili timamu za kwangu tumefika hapa tulipo kwasababu ya nyie mnao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kizalendo, a .k.a kujizima data, (unyumbu), unyumbu wa kisiasa ni tabia ya kundi fulani lililopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, do not compare yourself with my calibre
 
Back
Top Bottom