Be straight boss. Jambo kama hili si la kufanya janja janja. Kesho ni samiamustgo campaign inaanza, kila anayetoka barabarani kesho nia yake ni kumtoa madarakani raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na ndio nia ya maandamano, ndivyo au sivyo?Hilo utajua ww.
Swali fikirishi je maandamano ya chadema yanaweza kumtoa Rais madarakani kwa kutumia akili mgando jibu ni ndiyo. Jibu sahihi ni jamii ndiyo inaweza kufanya hivyo. Tanzania kwasasa chama cha siasa hakiwezi kuiondoa CCM madarakaniNdo maana nasema kuna maslahi yamejificha. Unachokisema hapa haya maandamano ni ya kumtoa raisi madarakani si ndio?
Narudia tena, hilo utajua ww, sisi tunataka tupate wenzetu waliotekwa na vyombo vya dola kwa maagizo ya huyo rais.Be straight boss. Jambo kama hili si la kufanya janja janja. Kesho ni samiamustgo campaign inaanza, kila anayetoka barabarani kesho nia yake ni kumtoa madarakani raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na ndio nia ya maandamano, ndivyo au sivyo?
Asante, huyu anaonekana uoga na ujinga alionao ni wa kurithi kutoka kwenye vizazi vya babu zake. HOPELESS!Hata wakati wa mkoloni, babu yako alihamasisha hivi hivi watu wasishiriki harakati za uhuru hadi wahakikishiwe maslahi binafsi.
Naona utamaduni huo.umejikita hadi kwa wajukuu na vitukuu vyakrle.
Shameless
Hawana mpango wa kutoa ulinzi, wana mpango wa kuwapoga na kiwajeruhi raia watakaoandamana!! Yaan walipa kodi! na na mishahara ya wao polisi ndio walengwa kimsingi!!Kwani wataumizwa na hao makamanda? Polisi wao wanatakiwa watoe ulinzi kwa waandamanaji ili wafikishe ujumbe kuwa wanawataka wafuasi wao waliotekwa na vyombo vya dola.
Wanasiasa si wajinga linapokuja suala la madaraka. Wapo very smart. Wananchi lazima wajue wanachokifanya iwapo wanakifanya kwa maelekezo ya mwanasiasa.Swali fikirishi je maandamano ya chadema yanaweza kumtoa Rais madarakani kwa kutumia akili mgando jibu ni ndiyo. Jibu sahihi ni jamii, (wananchi). Kwa Tanzania chama cha siasa hakiwezi kuiondoa CCM madarakani kwa sasa
Ukweli gani we mjinga ? Nilicho uliza umejibu au umeleta ngonjera za kijinga kijinga ?.Ukweli huleta hasira, nakuelewa.
Za kuambiwa usipochanganya na zako wakati wenzako wanakunywa kahawa na korosho wakiwa kwenye meza ya majadiliano baada ya machafuko utakuwa ukiuliza bei za kupachikwa vyuma za pingili za uti wa mgongo.
Kwanini hoja ya watoto mnaipa sana kipaumbele kuliko kumuangalia yeye muhamasishaji kama anatekeleza hilo azimio?Ndugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.
Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Nyerere na wapigania uhuru wengine wangekuwa falla kama wewe leo hii tusingejivunia uhuru huu bandiaRamani hii hapa:
View attachment 3102731
Binadamu anaangalia maslahi yake, ukiitwa kupambana hakikisha una mgao wako unaolingana na viungo utakavyopoteza au kifo. Tsh
Nimekujibu vizuri tu na nikakuuliza kama umemchangia Lisu gari. Hii michango, posho ni nini kama si malsahi? Kwenye kampeni dhidi ya JPM zile drones zote za kumlinda fedha za nani zilikuwa zinatumika? Yeye hakunufaika nazo? Wewe niite mpumbavu ila ukweli ni kwamba, Hata ikifichwa, MASLAHI YAPO, SHUBAMIT. Na ukiyafuta siasa hailipi, ila kwasababu inalipa ndo maana kuna kutwangana hadi risasi.Ukweli gani we mjinga ? Nilicho uliza umejibu au umeleta ngonjera za kijinga kijinga ?.
Mkuu kuandamana kutaharibu taswira ya nchi kivipi??? Kuna mtu kakulazimisha uende kuandamana??Ndugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.
Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Mkuu kwani shida nini, mbona wewe hapo unapigania maslahi ya Samia, kuna mtu kakusema. Pilipili usiyoila yakuwashia nini???Uonaongelea wakati wa mkoloni tulipopata uhuru. Ila sasa hivi unatumika kupigania masilahi ya Freeman Mbowe. Endelea kuwa pimbi
Bora yanikute ya Jacob kuliko kutekwa na kupotezwa na vyombo vya dola kwa maagizo ya rais kwa faida ya kisiasa.Shindana na Polisi yakupate yaliyompata Boniface Jacob
Ila we jamaa jinga sana ni bora hata ukae kimya kuficha upumbavu wako sasa nini umeandika hapa ?Nimekujibu vizuri tu na nikakuuliza kama umemchangia Lisu gari. Hii michango, posho ni nini kama si malsahi? Kwenye kampeni dhidi ya JPM zile drones zote za kumlinda fedha za nani zilikuwa zinatumika? Yeye hakunufaika nazo? Wewe niite mpumbavu ila ukweli ni kwamba, Hata ikifichwa, MASLAHI YAPO, SHUBAMIT.
Mkuu wasipo andandama wewe uliye na familia yako hapa nchini utawasaidia nini??Vijana hamupaswi kupoteza muda wenu kwenye maandamano yasiyokuwa na maana. Wakati nyinyi munaathirika, familia zao zipo nje ya nchi zikiishi kwa utulivu