EmanuelSTZ
Member
- Sep 4, 2024
- 77
- 111
Tukutane tarehe 23 Hapa jamiiforums kwenye maandamano ya nyuma ya keybord
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanikisha hilo, tuliandaliwa kutoka kuhoji. Swali fikirishi, kwanini wasiojulikana wamedumu kwa muda mrefu, kwakutumia akili ya kuvukia barabara inamaana hatuna intelejensia ya kuwatambua watu wasiojulikanaHao wazee walikuwa sahihi kabisa.
Wapigania uhuru walifanya makosa makubwa sana kupigania na kudai uhuru.
Hao wapigania uhuru walipigania uhuru uchwara wenye kuwanufaisha wachache, Huku kundi kubwa la Raia wakibaki maskini.
Ndio maana hao kina Nyerere wameacha katiba za hovyo zenye maslahi binafsi kwa viongozi na zinazo wapa mamlaka makubwa.
Afadhali mkoloni angebaki, Huduma za kijamii zingetolewa kwa uhakika bila ufisadi na uhujumu uchumi kama ilivyo sasa.
Samia must go kwa kushindwa kutulinda. Ni kipi huelewi hapo?Sio samiamustgo? Hii mmeghairi?
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.Kufanikisha hilo, tuliandaliwa kutoka kuhoji. Swali fikirishi kwanini wasiojulikana wamedumu kwa muda mrefu je ntelejensia haifanyi kazi kwa watu wasiojulikana?
Sahihi kabisa.Hao wazee walikuwa sahihi kabisa.
Wapigania uhuru walifanya makosa makubwa sana kupigania na kudai uhuru.
Hao wapigania uhuru walipigania uhuru uchwara wenye kuwanufaisha wachache, Huku kundi kubwa la Raia wakibaki maskini.
Ndio maana hao kina Nyerere wameacha katiba za hovyo zenye maslahi binafsi kwa viongozi na zinazo wapa mamlaka makubwa.
Afadhali mkoloni angebaki, Huduma za kijamii zingetolewa kwa uhakika bila ufisadi na uhujumu uchumi kama ilivyo sasa.
Ndo maana nasema kuna maslahi yamejificha. Unachokisema hapa haya maandamano ni ya kumtoa raisi madarakani si ndio?Samia must go kwa kushindwa kutulinda. Ni kipi huelewi hapo?
Unauliza au unapigia jibu mstari?State appatatus zipi, hizi zinazopewa maagizo ya kisiasa kuteka na kuua wapinzani?Ulikuwa naye kwenye kikao cha kutoa maagizo? Acheni state apparatus zifanye kazi yake. Unadhani pakinuka hapa utaandika hapa JF?
Wataandamana wanaume,nyie mtupikie matembele nyumbani.MSIJEUzuri ruti hii tutatembelea humu humu JamiiForums, sidhani kama kuna kiroboto mwenye ujasiri wa kuingia barabarani kwenda kuharibiwa viungo vyake na Polisi.
Atolewe kwa kipi, yeye ni dhahiri yuko madarakani kwa wizi wa kura wa 2020, na kibaya zaidi hadi sasa anaendeleza tabia za mtangulizi wake za kuwaumiza wapinzami ili waogope apore uchaguzi vizuri.Ndo maana nasema kuna maslahi yamejificha. Unachokisema hapa haya maandamano ni ya kumtoa raisi madarakani si ndio?
😂😂😂Uzuri ruti hii tutatembelea humu humu JamiiForums, sidhani kama kuna kiroboto mwenye ujasiri wa kuingia barabarani kwenda kuharibiwa viungo vyake na Polisi.
Where stupidity is heartfelt. In Tanzania human herding in politics is well practice, human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering working towards group objectives and hypocrite, well defined as kujizima data, (kuahirisha kufikiri kizalendo)Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
In a country where stupidity is considered patriotism it's unsafe to be intelligent.
Tutaandamana Wenye shida,we na mkeo mkae nyumbani mtiane mimbaAskari ukiwatazama saikolojia yao, silaha walizobeba hawaonyeshi kama wanaenda kujadiliana na waandamanaji warudi majumbani, wanaonyesha wanaenda vitani na adui ni mwandamanaji. Wao wana posho zao tayari pengine na mishahara iliwekwa na bonus.
OK, sasa hii samiamustgo hailengi kumuondoa?Atolewe kwa kipi, yeye ni dhahiri yuko madarakani kwa wizi wa kura wa 2020, na kibaya zaidi hadi sasa anaendeleza tabia za mtangulizi wake za kuwaumiza wapinzami ili waogope apore uchaguzi vizuri.
Kila la heri ngalelefijo. Mkishamtoa madarakani sijajua kama utakuwa kwenye kamati ya kupanga safu mpya ya uongozi au hospitali au kaburini, hilo sijui ila Kila la heri.Tutaandamana Wenye shida,we na mkeo mkae nyumbani mtiane mimba
Aondoke tu, kwani ana faida gani zaidi ya kuhonga raslimali za Tanganyika?OK, sasa hii samiamustgo hailengi kumuondoa?
Kwahiyo kesho kila anayeingia barabarani ajue kwamba ameingia kumuondoa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania katika nafasi yake, hilo liwe wazi ili wajue wanachofanya.Aondoke tu, kwani ana faida gani zaidi ya kuhonga raslimali za Tanganyika?
Usiseme uongoNdugu Mbowe, ambaye anahamasisha maandamano haya, ana watoto lakini hajawahi hata siku moja kuwaweka mbele kwenye harakati hizi.
Kwa nini nyinyi mufanye hivyo? Vijana, kumbukeni kuwa Tanzania yetu ni nchi moja tu, na hatuna nyingine. Maandamano haya hayatatufaidisha, bali yataharibu taswira nzuri ya nchi yetu.
Tuchukue jukumu la kuyapinga kwa nguvu zetu zote, na tuachane na wanasiasa wachache wanaotaka kutuweka bize na maandamano ili wafurahishe mabosi wao huko nje, kama vile Ujerumani, kwa malengo yao binafsi.
Hilo utajua ww.Kwahiyo kesho kila anayeingia barabarani ajue kwamba ameingia kumuondoa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania katika nafasi yake, hilo liwe wazi ili wajue wanachofanya.
Mi nimechagua kuandamana ile ruti ya Ilala, naanzia jukwaa hili la siasa, naenda jukwaa la historia kisha sports namalizia jukwaa la mapenzi baadae najipongeza na Grand Malt kwa kuandamana kupitia keyboard!!Uzuri ruti hii tutatembelea humu humu JamiiForums, sidhani kama kuna kiroboto mwenye ujasiri wa kuingia barabarani kwenda kuharibiwa viungo vyake na Polisi.