covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Kupanga ni kuchaguaMchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupanga ni kuchaguaMchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Hapo ipo hadi ya 2024 mzee ..eti ndio walivyosema.Mirange yote ya kizamani
😅😅Wew unamiliki nn? Au ndo wale kipochi manyoya tu utajiri utanipeleka wap eeh😅😅Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Labda nimezeeka mkuu,mnisaidie kuzoomHapo ipo hadi ya 2024 mzee ..eti ndio walivyosema.
Huu ni mwaka wako 😂😂😂 wakristo ni watu ajab sana wanatoa pesa kanisan halaf wanaomba iyo iyo hela kudadek wachugaz hawaachi kuwalaKabisa hiyo ndio tofauti ya mashehe na wachungaji
Tulia Tu haina haja ya paniki za hovyo hovyo ambazo hazijengi Fikra,,Maono,,na mitazamo yako binafsi na kwenye jamii kiujumlaAmejaza mitakataka yote hiyo hata 1b haifiki
Ndio hivyo tu sio kila jambo la kusema, lakini siku mkijua yaliyo nyuma ya kifo cha jamaa mtabaki midomo wazi.
Apumzike kwa amani.
Christine ndio nani ?Ndie anaaempa jeuri Christine
ukienda sehemu ukasikia mchungaji anasema uombe kwa madhabahu yake, au mungu wake, kwanza jiulize, ni mungu yupi huyo asiye na jina, madhabahu ipi hiyo, manake kuna madhabahu nyingi, za shetani na ipo ya Mungu pia. msiende kichwakichwa.Yaan pale anaongelea mafanikio na jinsi wenye mafanikio wanavyoishi kwa maisha ya kumpendeza mungu,atawashauri waumin wajitahid kusali na kumwamin mungu wa madhabau yake ili wafanikiwe zaidi,pia atawashauri watoe zaidi sadaka watafanikiwa zaidi au kama hujafanikiwa,inabid usubir kidogo utomboe maana ukifika kwenye madhabau kwake na ukamwamin mungu wake kutoboa ni rahis
hapo ume comment huku umeweka vidole juu😅😅Wew unamiliki nn? Au ndo wale kipochi manyoya tu utajiri utanipeleka wap eeh😅😅
Je kama majini ndiyo yamempa hizo range nani zaidi?Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
aliye na kitu kinachoonekana ndie zaidiJe kama majini ndiyo yamempa hizo range nani zaidi?
Kuwaza hivi ni kuendekeza ujinga tu na ufinyu wa kufikiri.Huyo Mtoto kufariki ni sawa na Mtu yeyote anavyofariki,kupata pesa Hata wewe ukichangisha Watu wengi utapata pesa nyingi.Nom
Noma sana kaka. Nasikia hata yule mtoto wa Nisher aliyefariki,ni mzee alimtanguliza. Akatembea na mke wa Nisher Tena . Jamaa akawa mtu wa tungi.
ila mwisho wa siku wote wataishia mavumbini.Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Ni kweli ila wale wa marenji rover watafufuliwaila mwisho wa siku wote wataishia mavumbini.
Marenji umeyaona vipi majini nayo ushayaona?Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta
Spill the tea girl....Ndio hivyo tu sio kila jambo la kusema, lakini siku mkijua yaliyo nyuma ya kifo cha jamaa mtabaki midomo wazi.
Apumzike kwa amani.
Mchungaji anamiliki marenji ya kutosha..
shehe anamiliki majini ya kushanta