Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
yani dunia ni kijiji aseee, spea ndani ya wiki tu unaoata mafuta sio tatizo kabisaa😂😂😂Tatizo wabongo uoga tu spea sio shida sikuhizi af umeme mwingi so mafuta linanusa tu ~ aliskika dogo mmoja muuza mitumba kwenye kijiwe cha kahawa
Kijana wa hovyo hovyo usiache kupita humu
Ukiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Mikwara tu hii nyambafuUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Duuuuuuu hii sasa balaa[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
😂😂🤣gari inaweza kugeuza ikapatafuta kipawa JK INter irudi kwao usifanye mchezo bongo.Emergency braking ni kwa ulaya tu hapa bongo utachomekewa na bajaji wenye daladala na boda boda mpaka gari itachanganyikiwa😅
safi sana, Bila shaka pesa si ile ya mvuja jasho anayekamuliwa tozo ya kila aina, inayotoka kwa njia nyepesi ya Debit na CreditUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Rafiki yangu mmoja alikua pia anachukua ya shem wake anavimba mjini.[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
Private parts za dada yake zilipata tabu saaana aisee[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST
Ndogo sana hiyoUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956