Rapa Sean 'Diddy' Combs anatuhumiwa kwa ubakaji katika kesi mpya
Akicheza fyongo tu anaenda kukaa nyuma ya Nondo yaan hapo inaswakwa Pesa, Madonna kakubari kulipa nje ya Mahakama baada ya kupewa kesi ya ukwepaji kodi tax evasion, sasa Diddy km anajua ushahidi upo wamalizane nje ya Mahakama yaishe kinyume na hapo akikaza debe linamsubiria
Hv ni madona au shakira spain huko.
 
USA wana mambo ya ajabu sana, bongo mpaka mtu afikie uzee atakuwa amekula wanawake wasiohesabika na wengine kusahaulika. Sasa ukute ulimla demu huko ujanani ukasahau, ukubwani anakuibukia kuwa ulimla vibaya anataka umlipe fidia kwa kumdhalilisha, wabongo wangekoma na ngono za kizembe zembe kwa kuhofia sheria hiyo endapo mwanamke uliyemsasambua ataamua kufungua mashitaka ya kudhalilishwa
Kuna wale jamaa kwenye ule Uzi wa "Kula tunda kimasihara", haloo Huwa nnawasomaga Kisha naishia kuwasikitikia tu, maana najua kabisa huko mbeleni tunakoelekea hakuna atakayesalimika yakija masuala ya me_too_movement kwa scenerios zilizopo pale unless labda wale wote waendelee kuwa choka mbaya maisha yao yote kiasi kwamba hata wanawake wenyewe waliopigwa mshine waone hakuna cha kunufaika nao.
 
Tangu nlivooona juzi kesi ya tupac imeibuka tena na Diddy kahusishwa nikajua tu huyu CIA watampoteza na hakuna kesi rahisi kukupoteza hapo marekani kwa sasa kama ubakaji na unyanyasaji wa jinsia....Kushirikiana na taasisi za siri za serikali unaeza piga ela mingi ila mwisho wake mara nyingi sio mzuri.
Baada ya kumalizana na Cassie wamemtafutia balaa lingine.
 
Zinaa haijwahi kumuacha mtu salama,can you imagine,mambo ya mwaka 1991 yani miaka 32 imepita lkn uovu wako unaendelea kukufuatilia...
 
Wahanga wa hizi kesi watakuwa wanasiasa wenye ukwasi na masupa staa wenye hela za kueleweka. Chukulia mfano diamond platnumz huyu baba hana pa kukwepa itabidi alipe fidia tu kwa wanawake aliwaburuza kisha akawaacha kiholela. Ndio tunakoelekea, wanaharakati wa mambo ya wanawake wakigundua tu kuna mpunga mwingi utapigwa wataanza kushinikiza itungwe sheria ya kulinda utu wao dhidi ya wanaume. Hawataona aibu kuwa waliburuzwa na majamaa zao huko faraghani na walipwe fidia kwa kudhalishwa. Ilitaka kuanza kudai matunzo kwa mtoto kwa lazima kutoka kwa baba aliyetelekeza mimba/mtoto zoezi lile liliyeyuka. Kama una hela usichezee wanawake kiholela watakuja kudai fidia sheria ikitungwa
 
Wahanga wa hizi kesi watakuwa wanasiasa wenye ukwasi na masupa staa wenye hela za kueleweka. Chukulia mfano diamond platnumz huyu baba hana pa kukwepa itabidi alipe fidia tu kwa wanawake aliwaburuza kisha akawaacha kiholela. Ndio tunakoelekea, wanaharakati wa mambo ya wanawake wakigundua tu kuna mpunga mwingi utapigwa wataanza kushinikiza itungwe sheria ya kulinda utu wao dhidi ya wanaume. Hawataona aibu kuwa waliburuzwa na majamaa zao huko faraghani na walipwe fidia kwa kudhalishwa. Ilitaka kuanza kudai matunzo kwa mtoto kwa lazima kutoka kwa baba aliyetelekeza mimba/mtoto zoezi lile liliyeyuka. Kama una hela usichezee wanawake kiholela watakuja kudai fidia sheria ikitungwa
Ndio maana Mimi nasema wengi wa wanaoibua hizi kesi wanakuwaga ni opportunists tu, mara nyingi huwa sio kwelii kwamba walibakwa/walinyanyaswa actually unakuta walifanya ngono ya makubaliano(consensual sex) miaka hiyo, ila unakuta mwanamke hakuna alichonufaika kutoka kwa mwanaume huyo zaidi tu ya Ile sifa kwamba alilala na superstar.

Sasa kutokana na hizi Sheria za kulinda huo utu wao zilizotungwa miaka hii kwa jinsi zinavyokuwa practiced kwamba mwanamke anaruhusiwa kushtaki hata kwa tukio alilofanyiwa miaka 40 iliyopita, basi wengine ndio wameona ni fursa ya kulipiza kisasi kwa me ex wao na wengine kuwa kamua pesa..... Ukitaka kuamini hizi kesi mara nyingi Huwa hazina ukweli wowote jaribu kuangalia asilimia kubwa ya watu wanaokumbwa na hizi tuhuma ni watu maarufu na wenye pesa na huwezi ukaskia ohee ahee amekumbwa na huu msala.

Chukulia mfano wa mtu kama Catherine Mayoroga mwanamke ambaye ni club banger na huwa anashiriki mpaka sex groups/orgy kwa mujibu wa watu wanamfahamu, lakini mwaka juzi etii akajitokeza adharani eti amebakwa na Cristiano Ronaldo😳 au yule Nanjila Trindale aliyemshtaki Neymar na wakati demu mwenyewe alikuwa ni mchepuko wa mume mtu na kabla ya kwenda alikuwa ametoka kuachana na jamaa aliyekuwa akimmega.....

Yaani ukiziangalia hizi kesi kwa mapana unaona kabisa Kuna motive behind kwa hao victims na sio kwamba eti wanatetea utu wao kama wanavyo iaminisha dunia.

Umemuongelea Diamond aisee huyu mtu hata Mimi namuonea huruma sana kwa hii reckless sexual life aliyonayo Kuna uwezakano mkubwa sana akaja kuwa target huko mbeleni.

Kuna binti majizi hapa alikuwa anazunguka kwenye vituo vya redio anaongea jinsi alivyonyanyaswa kingono na Alikiba.... Aisee kwa jinsi yule binti alivyokuwa ana lia sio tu marekani, yaani ingekuwa hata south afrika tu sasa hivi Alikiba angekuwa ana kesi nzito ya kujibu.
 
Wahanga wa hizi kesi watakuwa wanasiasa wenye ukwasi na masupa staa wenye hela za kueleweka. Chukulia mfano diamond platnumz huyu baba hana pa kukwepa itabidi alipe fidia tu kwa wanawake aliwaburuza kisha akawaacha kiholela. Ndio tunakoelekea, wanaharakati wa mambo ya wanawake wakigundua tu kuna mpunga mwingi utapigwa wataanza kushinikiza itungwe sheria ya kulinda utu wao dhidi ya wanaume. Hawataona aibu kuwa waliburuzwa na majamaa zao huko faraghani na walipwe fidia kwa kudhalishwa. Ilitaka kuanza kudai matunzo kwa mtoto kwa lazima kutoka kwa baba aliyetelekeza mimba/mtoto zoezi lile liliyeyuka. Kama una hela usichezee wanawake kiholela watakuja kudai fidia sheria ikitungwa
Kwani Sheria hufanya kazi Retrospectively?
 
Halafu mke wake hardcore kama yeye, utamkuta kapigilia gauni la mauamaua na raba nyeupe chni hana habar
Uncle snoop kuna kipindi miaka ya nyuma walitaka kutengana alivyosikia kugawana mali bangi zote zikaisha kichwani akaona isiwe tabu atang'ang'ana humohumo 😄
 
Back
Top Bottom