Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

offset mbna alijitoa tangu mwezi wa 4 mwaka huu wakabakia quavo na takeoff ambao ni mtu na binamu yake chanzo cha kujitoa offset hawakuweka wazi ila za ndani zinasema offset alipita na demu wa quavo ndio ugomvi ulianzia hapo
Wao mdo walimtoa mkuu coz ao ni ndugu af jamaa akapita na saweetie ambae n Dem wa wenzie
 
Juzi kwenye BET hip-hop awards rapper Joey bad ass aliperform kwenye jukwaa kupay tribute Kwa rappers waliofariki kutokana na gang violence lkn pia akipinga vitendo hvyo vilivyopelekea vifo vyao...mwezi mmoja baadae hii leo tunapata taarifa ya takeoff kupigwa Shaba
 
Masikini weeh ninavowapenda Migos😭😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…