- Thread starter
- #21
Lakini hii imekula kwao Zanzibar sio Arusha kwa sababu Serikali ya Zanzibar ina wabunge 51 Bunge la Jamhuri na wengine 51 Baraza la Wawakilishi. Bado mawaziri na Manaibu.Ahsante Mkandala hebu fikiria mkoa wa Arusha ulikussanya kodi TRA bilioni 450 bilioni na bila kujumuisha utalii na 2022 na Zanzibar bilioni 250 yet Zanzibar wana wabumge 80 bungeni NA MKOA WA arusha una wabunge 10 !! Dodoma ni mtu gani wa Arusha atakubali hali hii? KAMA WANA CHA KUCHANGIA MUUNGANO HUU BASI NI WAJIBU SII KUGAWIWA TU WEMGI WA BARA HAWATAKI HALI HII
Kwa kutumia akili ndogo, utaona Arusha yenye mapato makubwa inagharimia Wabunge 10 wakati Zanzibar nchi ndogo kabisa ina wabunge 100 pengine kila Mbunge kwa watu chini ya laki moja!
Kwa nini unaitaka Bara nayo iingie katika shimo hilo?