Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Mkuu mkandara kwanza niunge mkono hoja yako kuwa sio wananchi wote walio toa maoni juu ya katiba mpya kupitia tume ya Jaji Warioba.Hapo.mkuu umeweka.maneno mdomoni kwangu, aijasema.hivyo isipokuwa najaribu kuwa tofauti na maoni yako ama ya rasimu kwa.kuzingatia wapo watu.mawazo yao hayakukusanywa na wengine yaliachwa. Istoshe kila sarufi una pande mbili. Nahoji na kuweka sababu wa upande usokubaliana..
Nimesemaa - Rasimu ya Katiba ni Maoni sio Katiba yenyewe, mimi nina yangu na wewe changia yako nje ya rasimuama owneekezwa pale unapoona palihitaji mjadala zaidi maana kumbuka mchakato unaanza karibuni kwa kodi yako.
Sasa usije shangaa na matokeo wakati hujapata wasaa kuchangia mawazo yako wewe bali yamechukuliwa ya wateule.
Lakini sioni haja ya kuzunguka Tanzania nzima kuchukua maoni upya na wakati mchakato tayali usha fanywa tukifanya tena hii itakuwa matumizi mabaya ya rasilimali fedha za umma na muda.
Wewe unadhani maoni yakianza kukusanywa upya kila mwananchi atapata fursa ya kuchagia maoni yake ? Kama jibu ni ndio toa ufafanuzi inawezekanaje wananchi wote kushiriki ?
Nitarudi