Pre GE2025 Rasmi: CHADEMA imepevuka kustahili kupewa dola

Pre GE2025 Rasmi: CHADEMA imepevuka kustahili kupewa dola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.

Kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.

Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposemq bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Bado miaka 20
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndupo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Kuna watanzania na mtanzania ......hivyo wewe kama mtanzania unaweza ongozwa na chadema...sisi kama watanzania hatuwezi ongozwa na chadema sio uchaguzi wa mwenyekiti huu!
 
Bado tuna safar ndef san.

20250124_201540.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Hutuba ndio utekelezaji? Angie kwenye ground aonekane ubora wake
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Lissu ni namba nyingine.
 
Unaweza kuwa sawa au usiwe sawa. Hiki chama kimepevuka mno hivi sasa. Tusipokiweka madarakani kukamata dola sio tu hatukitendei haki. Hatujitendei haki hadi sisi kama Watanzania.
Mkuu ni kweli wacha kwanza waludishe wabunge walio poteza na diwan hao pia watahitaji kujijenga kuwa imara ukomavu wa kifikra, maono na kupembua viongoz ambao wataweza kuwa mawaziri viongozi wa taasisi kubwa za ulinz na usalama

Ndio tunaweza kuwa n RAIS lissu anatosha lkn wakufanya nao kaz kina nondo na wenje na wengineo kaliba hii nchi haiwez kwenda hata.

Hivyo kwanza tunahitaji kwenda kwennye bunge shindan lenye nguvu ya uwiano mfano SOUTH AFRICA MKUU
 
nimeshiba sana Sina kadi ya chadema ila najivunia uwepo wa LISu Land hii yaTZ
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Dunia inabadilika....
Trump ametufundisha kuwa hataki wajomba nje ya nchi yake....nasi Tanzania hatuna wajomba nje ya nchi yetu.....

Demokrasia ni zao la mitazamo ya siasa ya watu husika.... Tanzania tuna mitazamo yetu...

US wameshavurugwa na sera zao mpya....EU na Brussels marafiki wa Tundu Lissu nao "hamkani hali si shwari na 25% tarrifs"....

Chadema wakae kwa kutulia....huko nje wajomba wamebadilika.....
Tundu Lissu asimtegemee tena ROBERT AMSTERDAM....wafadhili wanapunguza mpunga kwake.....

Uchaguzi upo na hiyo "no reform no elections" haikisi MALENGO yetu kama taifa huru lenye sovereignty ya kujivunia......

#Uchaguzi upo!
#Watanzania kwa umoja wetu hatuyumbishwi na makuwadi wa mabeberu!
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Ngoja kina Lusungo Ngongo Retired Malaria 2 waone hii post.... jiandae kutupiwa mawe.
 
Back
Top Bottom