The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ulisikia mgao wa maji kwa miaka Hyo 5.Itasemwa enzi za Mwendazake kulikuwa maji hayakauki Ruvu.
Your president is underperforming and not serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisikia mgao wa maji kwa miaka Hyo 5.Itasemwa enzi za Mwendazake kulikuwa maji hayakauki Ruvu.
... habari ya ukame na mvua kuwa chache ni suala la toka enzi za ujima hadi leo. Miaka 60 baada ya uhuru ni stori zile zile za toka enzi za Nyerere hakuna mabadiliko.Kuacha kuamini akili na kurely kwenye kupiga ramli na uganga wa kienyeji ndio huleta hizi shida.
Mvua iliponyesha mlifanya nini kuhakikisha isiponyesha hakuna tatizo la maji?.
Mwenyezi Mungu ametupa maarifa tuyatumie na kumfanya mwanadamu kuwa kiumbe bora kwa kumpa akili. Kutotumia akili kunusuru maisha ya watu na kuwafanya watu waishi maisha mazuri na kuwa viumbe bora kama kusudio la Mungu lilivyo inaweza kuwa dhambi kubwa pia.
Ukiwa na mikono iliyopooza kila unachoshika kunapooza.
Ukame tulikuwa tumesha usahau. Mgao wa maji na umeme vilitoweka.
Sasa ameingia mwenye mikono yake iliuojaa mapooza
... Dawasa utawaonea bure; hili ni la ngazi ya wizara husika (serikali).Dawasa lazima walaumiwe tu haiwezekani wasiwe na mechanism ya kuhifadhi maji yanayopatikana wakati wa mvua ili yatumike wakati wa upungufu wa mvua kama kipindi hiki, yaani mpk leo tunategemea mvua itujazie maji!!?
Hajasema haya pia??RC Makalla amesema wakazi wa Jiji la DSM watumie Maji kwa uangalifu mkubwa kwani uzalishaji umepungua huko Ruvu ambako wanazalisha 64% tu
Makalla amesema uhaba huo imesababishwa na mvua kuwa chache hivyo Dawasa wasilaumiwe kwa chochote
Source ITV habari
Kwa hiyo anataka kutuambia tumlaumu nani? Mungu au Mvua?Makalla amesema uhaba huo imesababishwa na mvua kuwa chache hivyo Dawasa wasilaumiwe kwa chochote
Inakula sana umeme na umeme wakati wa drought mabwawa ya umeme yanapungua kina.Hiyo njia ya kutakasa na kuyatoa chumvi maji ya Bahari ipo, ila ni gharama sana na inatumika zaidi huko Uarabuni.
Bwashee fafanua lini tulisahau?Ukiwa na mikono iliyopooza kila unachoshika kunapooza.
Ukame tulikuwa tumesha usahau. Mgao wa maji na umeme vilitoweka.
Sasa ameingia mwenye mikono yake iliuojaa mapooza
Ipo inaitwa "Reverse Osmosis" ila ni ghari ikilinganishwa na kutumia maji ya mvua.Hivi hamna mechanism yoyote kisayansi kutumia maji ya bahari na kuyageuza kuwa maji salama kwa matumizi ya mwanadamu,?
Miaka nenda rudi wanasayansi wamekwama wapi?
Enzi za mwendazake mabomba yaliwekwa hadi manzese, tandale, temeke na yakawa yanatoa maji ya dawasco.Itasemwa enzi za Mwendazake kulikuwa maji hayakauki Ruvu.