Rasmi Dar yakumbwa na uhaba wa Maji, RC Makalla athibitisha uwepo wa Mgao

Rasmi Dar yakumbwa na uhaba wa Maji, RC Makalla athibitisha uwepo wa Mgao

Kigamboni hata sielewi,mwaka 1970 wakati tiper inajengwa walipitisha maji safi na yakafika hadi kota za pikori.
Mwaka 2019 kabla ya marehemu walianza kuuleta mitaani,leo umesimama eti DAWASA ina dai hakuna wateja wa maji,yaani walio pata wamepata,walio kosa ndio wamekosa.
Lakini ni zaidi ya miaka 40 toka mfumo huo wa maji safi uwekwe.
 
Kuacha kuamini akili na kurely kwenye kupiga ramli na uganga wa kienyeji ndio huleta hizi shida.

Mvua iliponyesha mlifanya nini kuhakikisha isiponyesha hakuna tatizo la maji?.

Mwenyezi Mungu ametupa maarifa tuyatumie na kumfanya mwanadamu kuwa kiumbe bora kwa kumpa akili. Kutotumia akili kunusuru maisha ya watu na kuwafanya watu waishi maisha mazuri na kuwa viumbe bora kama kusudio la Mungu lilivyo inaweza kuwa dhambi kubwa pia.
Umeandika nilichotaka kuandika. Yani ni jambo ambalo linatokea kila mwaka lakini hawana solution. TZ ndio maana mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi kwa sababu haleti solution atakwambia tu hii shida sababu yake ni hii jambo ambalo kila mtu anaweza kusema
 
Hizi ni sera za CCM ndio maana hakuna maji ya kutosha, akili mbovu za CCM hawajawahi kuweka investment yeyote ya maana kwenye maji, wanatumia sytem iliyojengwa na mkoloni ambayo ilikuwa una hudumia watu laki moja na sasa jiji lina watu milioni zaidi ya nne, jiji limekuwa mara zaidi ya 40, wanajua mitambo ya Ruvu haina uwezo hata wa kuhudumia watu milioni 1, Rufiji kuna maji kuliko Ruvu na inaweza kuhudumia jiji lote bila matatizo lakini akili fupi za kimaskini za watawala wa CCM haziwezi kuona hilo, nchi tajiri ina kila kitu lakini tumeponzwa na vilaza wa CCM.
Na inasikitisha zaidi kuona viongozi wanalizungumzia hilo la maji kuwa shida utadhani ni jambo la kawaida sana. Yani ni jambo lisilowapa shida kabisa.
 
Umeandika nilichotaka kuandika. Yani ni jambo ambalo kinatokea kila mwaka lakini hawana solution. TZ ndio maana mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi kwa sababu haleti solution atakwambia tu hii shida sababu yake ni hii jambo ambalo kila mtu anaweza kusema
Tumekuwa na viongozi wenye umaridadi mkubwa sana wa kuziainisha changamoto, ukija kwenye kutoa njia ya kuzitatua hizo changamoto ni sifuri.

Miaka nenda rudi wamekuwa wakiainisha changamoto hii hii, waulize sasa ni nini wamefanya kuimaliza.

Kazi ni kuainisha changamoto na kuingia kwenye magari ya kifahari na kuondoka.
 
Rufiji maji hayakauki wayatoe huko wayalete mbona gesi wameitoa Mtwara kuja Dar!
 
Kwenye ishu kama hizi za kukosoa sera mbovu za cc huwezi kuwaona wale umbwa tahilso uvcc ama vile vyama vibaraka vya kijani.

Maji yana mwagika kila siku kwenda baharini huko rufiji..wameshindwa kujenga bwawa la kuhifadhi maji ya mto ruvu 60 yrs mnakaa kutegemea mvua.

Matatizo ya nchii hii ni sera mbovu za ccm hilo halina ubishi.

Hata ukame huu ni laana kutokana na uongozi mbovu wa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
 
... kwa jiji kuu la kibiashara kama Dar es Salaam Serikali ilitakiwa iwe na reservoir ya uhakika ya maji bila kutegemea mvua. Wanashindwa nini kuchimba ziwa/bwawa kubwa likajazwa na Ruvu hiyo hiyo kipindi cha neema na kutumika wakati wa shida even for 3 consecutive years of 0 rainfall? Hatujielewi; kazi kutafuta visingizio sijui hakuna mvua sijui nini!
Good idea mkuu
 
Kwa hiyo kaishia hapo.
Hawajali kwa sababu wanajua Rais hawezi kufanya kitu.
Maisha yangu yote sitakuja kumsahau JPM .....kwa hakika Makala angeshatumbuliwa asubuhi tu..hayuko serious...
Jpm baba
 
Tumeshindwa kabisa kuwekeza kwenye water treatment recycling center, hiyo ndio solution

Ina save maji sababu ni renewable
Maji taka tote ya mvua yote yanasombwa yanasafishwa yanarudi kwa matumizi
yakawaida

Nchi zote zilizoendelea zian hizo system, hayo mambo ya mvua sijui ukame mambo ni aibu tuu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom