Umeandika nilichotaka kuandika. Yani ni jambo ambalo linatokea kila mwaka lakini hawana solution. TZ ndio maana mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi kwa sababu haleti solution atakwambia tu hii shida sababu yake ni hii jambo ambalo kila mtu anaweza kusemaKuacha kuamini akili na kurely kwenye kupiga ramli na uganga wa kienyeji ndio huleta hizi shida.
Mvua iliponyesha mlifanya nini kuhakikisha isiponyesha hakuna tatizo la maji?.
Mwenyezi Mungu ametupa maarifa tuyatumie na kumfanya mwanadamu kuwa kiumbe bora kwa kumpa akili. Kutotumia akili kunusuru maisha ya watu na kuwafanya watu waishi maisha mazuri na kuwa viumbe bora kama kusudio la Mungu lilivyo inaweza kuwa dhambi kubwa pia.
Hizi ni sera za CCM ndio maana hakuna maji ya kutosha, akili mbovu za CCM hawajawahi kuweka investment yeyote ya maana kwenye maji, wanatumia sytem iliyojengwa na mkoloni ambayo ilikuwa una hudumia watu laki moja na sasa jiji lina watu milioni zaidi ya nne, jiji limekuwa mara zaidi ya 40, wanajua mitambo ya Ruvu haina uwezo hata wa kuhudumia watu milioni 1, Rufiji kuna maji kuliko Ruvu na inaweza kuhudumia jiji lote bila matatizo lakini akili fupi za kimaskini za watawala wa CCM haziwezi kuona hilo, nchi tajiri ina kila kitu lakini tumeponzwa na vilaza wa CCM.
Umeandika nilichotaka kuandika. Yani ni jambo ambalo kinatokea kila mwaka lakini hawana solution. TZ ndio maana mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi kwa sababu haleti solution atakwambia tu hii shida sababu yake ni hii jambo ambalo kila mtu anaweza kusema
Huna akili wewe na ccm wenzako, hivi unajua Kama Misri na nchi za Arabuni amabazo ni jangwa wanatumia maji ya bahati kwa kunywa baada ya kuyatibu?Hakuna cha ajabu hapo,maji ni tatizo kila sehemu Kwa sasa kutokana na Ukame.
Arabuni ndio wanachofanya, hawa ndezi ccm madawati na matundu ya choo yamewashinda ndio wataweza Mambo Kama hayo?Hivi hamna mechanism yoyote kisayansi kutumia maji ya bahari na kuyageuza kuwa maji salama kwa matumizi ya mwanadamu,?
Miaka nenda rudi wanasayansi wamekwama wapi?
Yani kila ukiandika huu upuzi naona namna tatizo lako la akili sio la kuchukulia poa.Hakuna cha ajabu hapo,maji ni tatizo kila sehemu Kwa sasa kutokana na Ukame.
Ulisikia mgao wa maji kwa miaka Hyo 5.
Your president is underperforming and not serious
Acha uongo jamaa, mwendazake alikuwa anakataza kutangazaItasemwa enzi za Mwendazake kulikuwa maji hayakauki Ruvu.
Good idea mkuu... kwa jiji kuu la kibiashara kama Dar es Salaam Serikali ilitakiwa iwe na reservoir ya uhakika ya maji bila kutegemea mvua. Wanashindwa nini kuchimba ziwa/bwawa kubwa likajazwa na Ruvu hiyo hiyo kipindi cha neema na kutumika wakati wa shida even for 3 consecutive years of 0 rainfall? Hatujielewi; kazi kutafuta visingizio sijui hakuna mvua sijui nini!
Jpm babaKwa hiyo kaishia hapo.
Hawajali kwa sababu wanajua Rais hawezi kufanya kitu.
Maisha yangu yote sitakuja kumsahau JPM .....kwa hakika Makala angeshatumbuliwa asubuhi tu..hayuko serious...
Reverse OsmosisHivi hamna mechanism yoyote kisayansi kutumia maji ya bahari na kuyageuza kuwa maji salama kwa matumizi ya mwanadamu,?
Miaka nenda rudi wanasayansi wamekwama wapi?