Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #81
Ni mpya ikiota sugu nitarudi ila sijui kama nitakuja tena mie huku ni mwanawakukosa kule afadhali ngoja nikapumue nimechoka kujitesa huku mwaya . Nimeonanikubaliane na huyu niwe mama kijachoSasa ndoa na JF kuna mahusiano gani mrembo?Kwamba ukiolewa husalimii kaka zako na mashemeji..huyo mmeo mnashinda mnaangaliana machoni na kushikana mikono??
Kila la kheri na hongera
Ana bonge la wenge yani mpaka nimeshangaaMtaachana tuu... Hizo ni nyege.. Sasa Jf na ndoa zinamuingiliano gani... Punguza wenge binti...
Huku mie ni mwana wakukosa humu jf sijawahi fanikisha mwaya nimefeliHongera sana msalimie shem, ila hujasema km wa JF au nje ya JF 😂😂
Eh !Ana bonge la wenge yani mpaka nimeshangaa
Sijawahi olewa mwaya siku zote nadanganywa napendwa mwaya humu hadi nimeona nikubali tuDa Mau kwa mwaka unaolewa mara ngapi?? 😂😂😂
Nikuambie ukweli best humu jf nimedanganywa sana ndoa ndoa ndoa najitutumua hadi kerooo. Nimechoka sasa kuna huyu muislamu alinitaka na mimi sitaki basi nikaona nije jf kila siku wa jf wanadai ndoa ndoa na maisha ni mtu anazeeka basi imebidi nimkubalie ma harusi soon itafungwa .Mara ya ngapi hii unaaaga? Huna lolote
Wewe ndo huwataki mbona wanasumbua sana huwajibu pm zao wana wa Israel 😜Huku mie ni mwana wakukosa humu jf sijawahi fanikisha mwaya nimefeli
Kama ukiona kuanzia ijumatano humu niite malaya sipo tenaWanawake wa humu wanatumia nguvu nyingi sana ili tujue genders zao😁😁😁.
Tuseme haya imeishaWewe ndo huwataki mbona wanasumbua sana huwajibu pm zao wana wa Israel 😜
Asantee mwaya good nightKwahiyo umeamua kuniacha Unique flower? Basi sikiliza hata nyimbo ya Nyota yako by T.I.D
Pesa siooo mapenziiii🎶
Pesa sio mapenziiiiii🎶
Kwa utenzi huuuuu🎶🎶
Nieleweee baaaaby🎶
Nakuhitaji mpeeenzi🎶
Wewe ndooo faraja yangu🎶
Wewe nd'o faraja yangu🎶
Faraja yangu🎶
You are my baaaaby🎶.
Hawagi maana hawana washakaji mie ninaoWanaoondoka kimoja JF huwa hawaagi...
Kakupa nini huyo jamaa?Asantee mwaya good night
Unafungaje bro? Nataka nizifunge zangu mkuu.Funga na acc kabisa.
Weh! Nani alikuwa anakudanganya huyo da mau wangu tumchambeSijawahi olewa mwaya siku zote nadanganywa napendwa mwaya humu hadi nimeona nikubali tu