Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee,Rais Samia ampa Uraia Kibu Denis Prosper mchezaji machachari wa Taifa Stars na Simba | Hakika hii ndio Serikali rafiki wa michezo na wanamichezo wote
View attachment 1962626
Hawataweza kamwe,Kuna wajinga wachache wanajaribu kuihujumu Simba kwa nguvu zote lakini mwisho wao utakuwa ni aibu tupu.
Nifitna tu za YangaTaarifa zote hazisemi huyo Kibu alikuwa Raia wa Nchi gani?
Yanga wivu sana ,Kibu ndio hivyo tena,Hili nalo ni jambo kubwa kitaifa?? Au una matatizo ya akili?
Hii taarifa wala sio ya kimichezo pekee,MOD, peleka mawazo haya jukwaa la michezo.
Mjanja mzima unaongea upuuzi huu. Simba ni team mbovu mno.Kuna wajinga wachache wanajaribu kuihujumu Simba kwa nguvu zote lakini mwisho wao utakuwa ni aibu tupu.
Mtoa mada hajui hata tatizo kubwa la maisha yake ni nini. Ukimuuliza, leo kalala kwa raha ya mcheza mpira ingawa ameshinda na muhogo mkononi. Viumbe wa aina hii ktk kampeni wanapewa kofia tu!Hili nalo ni jambo kubwa kitaifa?? Au una matatizo ya akili?
Yanga wivu sana ,Kibu ndio h
ivyo tena,s
Poa mkuu,Mtoa mada hajui hata tatizo kubwa la maisha yake ni nini. Ukimuuliza, leo kalala kwa raha ya mcheza mpira ingawa ameshinda na muhogo mkononi. Viumbe wa aina hii ktk kampeni wanapewa kofia tu!
Sio fitina ni uzembe wa wizara ni kweli uraia wake ulikuwa na walakini wao wizara walishindwajeNifitna tu za Yanga
Hata mambo madogo ya afisa uhamiaji wa wilaya mpaka atajwe Rais ?!.Rais Samia ampa Uraia Kibu Denis Prosper mchezaji machachari wa Taifa Stars na Simba | Hakika hii ndio Serikali rafiki wa michezo na wanamichezo wote
View attachment 1962626
kibu ni Mtanzani kitambo kama ulivyo wewe,Sio fitina ni uzembe wa wizara ni kweli uraia wake ulikuwa na walakini wao wizara walishindwaje
kugundua hilo mapema na kulimaliza hadi
amekuwa mchezaji mkubwa , na sasa wanataka tuwaone ni mashujaa kwa kutatua uzembe wao
Mkuu kwani boss wa huyo uliyemtaja ni nani?Hata mambo madogo ya afisa uhamiaji wa wilaya mpaka atajwe Rais ?!.
Elimu yetu mbovu mno !!
Hili nalo ni jambo kubwa kitaifa?? Au una matatizo ya akili?
Mtoa mada hajui hata tatizo kubwa la maisha yake ni nini. Ukimuuliza, leo kalala kwa raha ya mcheza mpira ingawa ameshinda na muhogo mkononi. Viumbe wa aina hii ktk kampeni wanapewa kofia tu!
Hili ndo tatizo lako ktk maisha? Mbona wa-TZ tunakuwa na ufahamu mdogo kiasi hiki? Kwa hiyo Samia kawa rais bora kwa kutoa uraia kwa mcheza mpira? Akili kama hizo, CCM itatawala milele maana siku ya kura utapewa pilau tu!Hii taarifa wala sio ya kimichezo pekee,
Inaswitch kote kote