Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Una uhakika huyo mchezaji amezuiliwa na Yanga, au uhamiaji, tena baada ya kugundua siyo raia wa halali wa Tanzania?Hao yanga walikuwa wapi siku zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika huyo mchezaji amezuiliwa na Yanga, au uhamiaji, tena baada ya kugundua siyo raia wa halali wa Tanzania?Hao yanga walikuwa wapi siku zote
Kwani ilikuwa lazima achezee Yanga? Kisa kakataa kusajiliwa Utopoloni mkataka kumkomoa.Utopolo acheni roho mbaya.Unaleta ushabiki maandazi kwenye mambo ya msingi. Pole sana.
Kwa hiyo waliomzuia kucheza ni Yanga, au uhamiaji? Je, ukweli ni upi, amesingiziwa au ni kweli alikua ni mhamiaji haram?Kwani ilikuwa lazima achezee Yanga? Kisa kakataa kusajiliwa Utopoloni mkataka kumkomoa.Utopolo acheni roho mbaya.
Uhamiaji walikuwa wanafanyia kazi malalamiko ya Yanga yaliyoletwa kwao kupitia TFFKwa hiyo waliomzuia kucheza ni Yanga, au uhamiaji? Je, ukweli ni upi, amesingiziwa au ni kweli alikua ni mhamiaji haram?
Je, hayo malalamiko yalikua yana ukweli, au yalikua ni ya uongo?Uhamiaji walikuwa wanafanyia kazi malalamiko ya Yanga yaliyoletwa kwao kupitia TFF
Ndo maana Hadi Leo shule ya mwaka 1974 wanafunzi wanasomea chini ya mti viongozi ndo hao wanakaza shingo kwenye mambo ya Simba SC hawajui walifanyalo kufuatilia mambo ya msingi na yenye mashiko KB siyo mtanzania kisa kaja SimbaTunajitia Aibu Sana Hili Taifa. Ni bora wasinge Tangaza Chochote na Wangemuonya Kibu Denis kutokusema Chochote. Wangempa Uraia Kimyakimya Kumpa Uraia kwa Matangazo hivi wanaiabisha sanaaa hii nchi Yetu...
Hii nchi hatari taarifa zenyewe hazina majibu toshelezTaarifa aliyoitoa Waziri Anazidi Kujichanganya Tuuu.
Anasema Kibu Denisi Wazazi Wake Walikuwa ni Wacongo waliingia nchini kwa kukimbia Mapigano CONGO wakati Kibu Denis Akiwa na Umri Wa Miaka 6...
Hata wewe mbona umefanana na raia wa Sudan ya Kusini?Hata sisi ni rahisi tu..nina wasiwasi na uraia wa fei toto anafanana na raia wa visiwa ya comoro.
Yani wewe hata ueleweki,, wewe ndo umesema ya kuwa tunatakiwa kuwashukuru yanga na tff kwa kumbaini muhamiaji haramu so ndo maana mimi nikakujibu.Una uhakika huyo mchezaji amezuiliwa na Yanga, au uhamiaji, tena baada ya kugundua siyo raia wa halali wa Tanzania?
Je, hayo malalamiko yalikua yana ukweli, au yalikua ni ya uongo?
Tuachane na ile sababu isiyo na mashiko ya kwamba eti wamekalamika baada ya huyo mchezaji kukataa kusajiliwa na Yanga.
Basi sawa. Wasalimie sana Moo na Barbra.Yani wewe hata ueleweki,, wewe ndo umesema ya kuwa tunatakiwa kuwashukuru yanga na tff kwa kumbaini muhamiaji haramu so ndo maana mimi nikakujibu...
Yanga walilalamima wapi? Weka reference hapa tuone.Uhamiaji walikuwa wanafanyia kazi malalamiko ya Yanga yaliyoletwa kwao kupitia TFF
Hizi ndo comment za GREAT THINKERS Msomi wa JF[emoji106]Tunajitia Aibu Sana Hili Taifa. Ni bora wasinge Tangaza Chochote na Wangemuonya Kibu Denis kutokusema Chochote. Wangempa Uraia Kimyakimya Kumpa Uraia kwa Matangazo hivi wanaiabisha sanaaa hii nchi Yetu...