Rasmi: Kisinda ruksa kuichezea Yanga

Rasmi: Kisinda ruksa kuichezea Yanga

Kwahiyo utaratibu wakuingiza mchezaji acheze NBC ni muda wowote hata dirisha linapofungwa?. Kama kisinda anaonesha hajasajiliwa ndani ya muda hiyo nguvu yakupokea uhamisho wa kambole na ku-mreplace na kisinda wameitoa wapi?

Mkuu Uwe unaelewa na Hili ndio Litawa cost kwenyw Taratibu za CAF kuhisi kila Kitu mnaonewa
 
Hivi timu haiwezi kumuacha mchezaji na kumsajili mwingine paka mchezaji aliyeachwa apate timu nyingine??? Hii imekaaje wataalamu

Kumbuka Yanga Walikuwa wana Ipa Pressure TFF ya Kutaka Kumruhusu Kisinda Acheze wakati kambole Tayari alikuwa na ICT ya Kucheza Tanzania na TFF ndio Ilikuwa Msimamizi wake, Kama TFF ingekubali Pressure ya YANGA bila Kumzingatia Kambole, Basi Kambole Angeweza Kushtaki Fifa Kwa Kufanyiwa Hujuma
 
Mkuu Uwe unaelewa na Hili ndio Litawa cost kwenyw Taratibu za CAF kuhisi kila Kitu mnaonewa
Ni ujinga wa Tff Wala hamna la maana. Sasa kama kisinda hakusajiliwa km mchezaji wa ndani ni kanuni ipi imewapa nguvu ya kumruhusu? Hata kama yanga wameachana na kambole kwani dirisha lipo wazi ?
 
Kambole Alikuwa Hajapata Timu, Kitu kilicho Fanya Yanga Kuendelea Kusomeka Kuwa na Wachezaji 12 wa Kigeni. Na Mwanzo Yanga Hawakuwa katika Mpango wa Kuachana Na Kambole. Mpango wa Kuachana na Kambole Umekuja Baada Ya TFF kuwashauri kuwa Waachane na Mchezaji Mmoja Ndio Yanga Wakaona Wamtoe Kafala Kambole. TFF isingeweza Kubariki Uhamisho wa Kisinda wakati KAMBOLE HAJAPATA timu.
Tff hawakuishauri yanga bali waliwatisha na kuonesha swala hilo haliwezekani tofaut na hivyo wasingeiposti ile barua yao ya kupuuzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tifuatifua mwisho wameamua kusalim amri!!!.

Karia na Tff yake ni wapumbavu na wasio na maono ya mpira!!. Aibu yaoooooo
Huna akili hata ya kadadafua mambo, ndo maana tunajikuta tunajibu tofauti sababu ya kushindwa kuelewa kilichoandikwa au kukurupuka kuchangia mada au kutomaliza kusoma andiko au habari flani,soma tena halafu rudi uandike upya
 
Ni ujinga wa Tff Wala hamna la maana. Sasa kama kisinda hakusajiliwa km mchezaji wa ndani ni kanuni ipi imewapa nguvu ya kumruhusu? Hata kama yanga wameachana na kambole kwani dirisha lipo wazi ?

Unaweza kufanya Makubaliano Binafsi na Mchezaji na Mkafikia Terms zote za mikataba, Linapo Kuja Suala La Kuanza Kumtafutia Vibari huwa ni Jambo Jingine.

Wachezaji Wengi Hutangazwa Kusajiriwa kabla hata ya Vibari toka TFF havijatoka na Baada ya Hapo Huanza Kuwaombea Vibari ndio Maana Mchezajo anaweza kutangazwa public lakini Asicheze.

Yanga Ilimtangaza Kisinda Kabla hata Vibari Toka TFF havijatoka wakiwa na wazo La Kuja Kuachana na Mchezaji Mmoja. Baada ya Kuanza Kuomba Vibari ndio Changamoto hiyo ikatokea.
 
Haya wale wachambuzi uchwara njooni hapa tuchambue
Kuna lile jinga lenye upara sijui Binti Jem ebu kama kuna mtu mwenye CV yake atuwekee hapa.

Nadhani hata darasa la 12 hajafika!
 
Tff hawakuishauri yanga bali waliwatisha na kuonesha swala hilo haliwezekani tofaut na hivyo wasingeiposti ile barua yao ya kupuuzi

Simba Ilimsajiri Phiri Muda Mrefu Lakini kwa Kuheshimu Taratibu za TFF walisubiri na Leo PHIRI anacheza Simba
 
mois
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitisha usajili wa Twisila Kisinda kuichezea Yanga baada ya klabu hiyo kumuhamisha mchezaji wake wa kigeni Lazarous Kambole.

Awali Kamati hiyo ilizuia usajili wa Kisinda licha ya kuwa ulifanyika ndani ya dirisha la usajili kwa vile tayari Yanga ilikuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Licha ya changamoto hiyo, pia Kisinda aliombewa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ambayo tayari imepatikana.

Hivyo kwa kumuhamisha Kambole imepata nafasi ya kumsajili Kisinda kama ilivyokuwa imeshauriwa huko nyuma. Kwa mujibu wa Kanuni ya 62(1) ya Ligi Kuu Toleo la 2022, klabu inaruhusiwa kusajili wachezaji wa kigeni wasiozidi 12.

Kambole amejiunga na timu ya Wakiso Giants inayocheza Ligi Kuu ya Uganda, na tayari TFF imetoa ITC.
View attachment 2358005
Moisemusajiografii Bwana Utam mzabzab Utingo brazaj mkwepu jr bagamoyo mjingamimi Mzee Wa Kazi Chafu Mshana Jr The unpaid Seller
 
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitisha usajili wa Twisila Kisinda kuichezea Yanga baada ya klabu hiyo kumuhamisha mchezaji wake wa kigeni Lazarous Kambole.

Awali Kamati hiyo ilizuia usajili wa Kisinda licha ya kuwa ulifanyika ndani ya dirisha la usajili kwa vile tayari Yanga ilikuwa na wachezaji 12 wa kigeni.

Licha ya changamoto hiyo, pia Kisinda aliombewa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ambayo tayari imepatikana.

Hivyo kwa kumuhamisha Kambole imepata nafasi ya kumsajili Kisinda kama ilivyokuwa imeshauriwa huko nyuma. Kwa mujibu wa Kanuni ya 62(1) ya Ligi Kuu Toleo la 2022, klabu inaruhusiwa kusajili wachezaji wa kigeni wasiozidi 12.

Kambole amejiunga na timu ya Wakiso Giants inayocheza Ligi Kuu ya Uganda, na tayari TFF imetoa ITC.
View attachment 2358005
MamaSamia2025 Soma Tena Nzie ya Mana
 
Unaweza kufanya Makubaliano Binafsi na Mchezaji na Mkafikia Terms zote za mikataba, Linapo Kuja Suala La Kuanza Kumtafutia Vibari huwa ni Jambo Jingine.

Wachezaji Wengi Hutangazwa Kusajiriwa kabla hata ya Vibari toka TFF havijatoka na Baada ya Hapo Huanza Kuwaombea Vibari ndio Maana Mchezajo anaweza kutangazwa public lakini Asicheze.

Yanga Ilimtangaza Kisinda Kabla hata Vibari Toka TFF havijatoka wakiwa na wazo La Kuja Kuachana na Mchezaji Mmoja. Baada ya Kuanza Kuomba Vibari ndio Changamoto hiyo ikatokea.
Mkuu acha uongo Itc ya kisinda ilifika kabla ya kutangazwa na TFF ndo waoshiriki kuomba Itc sasa unataka kutuambia TFF waliomba Itc wakiwa hawajui nini kinaendelea?
 
KICHEFUCHEFU ni genge la WAHUNI waliojificha kwenye kuongoza Soka la Bongo!
 
IMG_0123.jpg

Mpima Umri [emoji1493][emoji100] [emoji23]
 
Back
Top Bottom