Rasmi: Marekani yaruhusu Silaha zake kutumika ndani ya Urusi popote pale

Rasmi: Marekani yaruhusu Silaha zake kutumika ndani ya Urusi popote pale

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine ifanye ionacho ni sawa
 
Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine ifanye ionacho ni sawa
Wanaongea tu hawawezi ku sign hiyo agreement kwasbb wanajua madhara yake. Ni hatari kuliko hiyo vita ya Ukurain.
 
kwa miezi hii miwili aliyobakuwa nayo Bidden labda wanataka kutimiza lengo lao lakumuondoa Putin sababu, wameona ikiwa Trump akiapishwa alafu akafanya negotiation na Putin ili kusitisha vita na ukrein thats means NATO imeshindwa vita na Russia, na ni tusi kwa viongozi wote NATO
 
kwa miezi hii miwili aliyobakuwa nayo Bidden labda wanataka kutimiza lengo lao lakumuondoa Putin sababu, wameona ikiwa Trump akiapishwa alafu akafanya negotiation na Putin ili kusitisha vita na ukrein thats means NATO imeshindwa vita na Russia, na ni tusi kwa viongozi wote NATO
Kwanini?
Hakuna jambo sahihi na lisilohusisha kushindwa zaidi ya makubaliano. Mkikubaliana kusitisha vita, wote ni washindi. Ardhi haina mipaka, mipaka tumeiweka binadamu ili tuuane tukiigombania.
 
Nakazia!
IMG_20241118_101224_413.jpg
 
Raha sana kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA 😇😇😇
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika huu ushaur Biden kaupata kutoka kwa trump.., trump anaona akina Biden wanademadema sana kiasi ya kuifanya USA kuwa dhaifu mbele ya mataifa korofi kama urusi,..thus why he wants to make America great again
 
Raha sana kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA 😇😇😇
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika huu ushaur Biden kaupata kutoka kwa trump.., trump anaona akina Biden wanademadema sana kiasi ya kuifanya USA kuwa dhaifu mbele ya mataifa korofi kama urusi,..thus why he wants to make America great again
Trump kweli anaweza shauri hili ni mtu jasori
 
Raha sana kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA 😇😇😇
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika huu ushaur Biden kaupata kutoka kwa trump.., trump anaona akina Biden wanademadema sana kiasi ya kuifanya USA kuwa dhaifu mbele ya mataifa korofi kama urusi,..thus why he wants to make America great again
hii ume fabricate mwenyewe!

JESUS LOVES YOU!
 
Biden amezeeka vibaya!
Kumbe ndiyo maana Chancellor wa Ujeruman (baada ya serikali yake kusambaratika) alimpigia simu Putin kumwambia atoe majeshi yake Ukraine.
Hapo wamegusa mboni ya jicho la Russia!
 
Wanasema mashambulizi ya jana ni makubwa tangu vita hiyo ianze.

Kumbuka pia Putin anasaidiwa makombora na wanajeshi kutoka kwa kiduku.
Hivi tunavyoongea wanajeshi wa kiduku wako Urusi tayari kupambana na Ukrain.

Putin ameota mapembe
Duh basi shambulizi lilikuwa kubwa sana. ila mi tangu mwanzo sikuelewa dhana nzima ya US na washirika kukataza silaha zao kutumika ndani ya Urusi
 
Back
Top Bottom