Vita ni vita Urusi anasema atawaonesha hao ambao wana silaha kama zake na nyuklia wanazo pia hvo sion atakachowaonesha zaid ya kujipima uwezo nao namaanisha kila mmoja lazma aathirike na unajua putin ashazeeka ana miaka michache kuishi hvo kwake liwalo na liwe nyie chekeleen kama hzo π£ hazijafika hadi huku AfricaJawabu la Urusi ni moja tu!
Wanasema tunawasubiri!
Kipindi hicho na wao watakuwa hawana hyo Nuclear ama??Na wacha na Urusi nae ampe Nuclear Iran ili walifute taifa la manabii na wachungaji
Kwa akili zako unaona watamtoa Putin iyo miezi miwili?kwa miezi hii miwili aliyobakuwa nayo Bidden labda wanataka kutimiza lengo lao lakumuondoa Putin sababu, wameona ikiwa Trump akiapishwa alafu akafanya negotiation na Putin ili kusitisha vita na ukrein thats means NATO imeshindwa vita na Russia, na ni tusi kwa viongozi wote NATO
Sisi vidagaa ndio tutakaoumia njanja zote so usiombee.Wacha ww111 ianze watu tushudie vita.. Sasa tufanyaje hata Africa ikisema acheni ujinga hakuna atakayesikiliza........
Hii ni roadmap to the new world order.... Na ni carefully orchestred kiasi kwamba wengi sana hawajui kuwa hii inaenda kuanzisha mfumo MPYA wa utawala duniani...
Mimi siombi Wala sitaki vita ila haviepukikiSisi vidagaa ndio tutakaoumia njanja zote so usiombee.
Sorry kukwambia imeshakuwa signed, lilikuwa ni suala la rais kukubali tu. Na wamefanya hivyo.Wanaongea tu hawawezi ku sign hiyo agreement kwasbb wanajua madhara yake. Ni hatari kuliko hiyo vita ya Ukurain.
Waliofundishwa woote watauliwa na vifaa vyoooote vitachakazwa kabla ya kutumika.Raha sana kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA πππ
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika huu ushaur Biden kaupata kutoka kwa trump.., trump anaona akina Biden wanademadema sana kiasi ya kuifanya USA kuwa dhaifu mbele ya mataifa korofi kama urusi,..thus why he wants to make America great again
Naona baiden kaamua kumsukumia trump fupa ajekupambana na lo where...Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine ifanye ionacho ni sawa
Hakuna chochote kitakacho badilika kwenye uwanja wa vita.
Biden kijana sio?Vita ni vita Urusi anasema atawaonesha hao ambao wana silaha kama zake na nyuklia wanazo pia hvo sion atakachowaonesha zaid ya kujipima uwezo nao namaanisha kila mmoja lazma aathirike na unajua putin ashazeeka ana miaka michache kuishi hvo kwake liwalo na liwe nyie chekeleen kama hzo π£ hazijafika hadi huku Africa
Sisi walimu wa Kiswahili tunasema: ulichokiandika ni "Kivumishi hisia"Raha sana kuona Moscow ikichakazwa kwa makombora ya USA πππ
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika huu ushaur Biden kaupata kutoka kwa trump.., trump anaona akina Biden wanademadema sana kiasi ya kuifanya USA kuwa dhaifu mbele ya mataifa korofi kama urusi,..thus why he wants to make America great again
Vita vingeisha mapema au pengine athari yake ingekuwa kubwa zaidi kwa dunia, lakini pia hii vita ikiwa na mwezi mmoja au miwili, NATO walitoa tangazo kwamba wataisaidia Ukraine ili kuipunguza nguvu Russia na kuifanya vita ichukue muda mrefu zaidi.Duh basi shambulizi lilikuwa kubwa sana. ila mi tangu mwanzo sikuelewa dhana nzima ya US na washirika kukataza silaha zao kutumika ndani ya Urusi
Watu wanajitia uchizi Ukrain kupewa makombora yanayofika kilomita 300 itamsaidia kwa kiasi kidogo sana..Hakuna chochote kitakacho badilika kwenye uwanja wa vita.
Kwani ndege za F 15 ambazo Zere alikuwa anaziomba kila siku zilipo pelekwa zimebadilisha nn?
Hakuna lolote, wanachomuruhusu ni kupiga majimbo aliyoyatangaza kuwa nisehemu ya urusi na.sisehemu inayotambulika kimataifa kuwa ni sehemu halali ya Russia. Mbona wakifanya hivyo mbona moto utaibukia marekani, hatakuwa tayari kuona miji yake ikigeuka kuwa Gaza!!!!!!!!.Wacha zipigwe, Biden ameshaona hana cha kupoteza tena