Rasmi: Marekani yaruhusu Silaha zake kutumika ndani ya Urusi popote pale

Sasa mkuu unafikiria kabisa kuwa Ukraine akiishambulia Russia ...then Russia itaishambulia miji ya Marekani?
Hapo Kursk kuna silaha na vyombo vingine kama magari ya Marekani yanatumika au utambui kuwa Kursk ni sehemu ndani ya Russia?
Penda sana kuongea vitu logic ondoa ushabiki.
 
Nafuu umemjibu. Mtu analazimisha mitazamo yake hafifu na upeo mwembamba Kwa watu wenye akili kubwa
 
Iseeeee!!!!!! ungejuwa ukisemacho kama wanavyokijuwa unaowasemea wala usingesema. Trump ananini cha kutisha au Trump Kawa kombora? Ise, basi bwana tumekuelewa nakikosa alichonacho USA halafu RUSSIA asiwe nacho watakacho matisha nacho, vita ni sehemu ya maisha ya Warusi.
 
Sorry kukwambia imeshakuwa signed, lilikuwa ni suala la rais kukubali tu. Na wamefanya hivyo.
Sijui which is which hapa, it okay russia ku attack deep into ukraine, but its not okay for ukraine kufanya the same
Ukraine akifanya hivyo athari itakayotokea haitapimika.
It was for her own good for not striking deep into Kremlin.
Ila kama akifanya tutarajie vilio vingi Ukraine.
Pia hii itachochea zaidi vurugu za Middle east.
 
Yote yanawezekana.
Russia inaweza ikaamua kuishambulia USA directly au indirectly kwa namna tofauti.
 
Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine ifanye ionacho ni sawa
Wakijaribu tu. Kiev inakuwa kama Allepo au gaza... kiev maisha yanaendelea kama kawaida.
 
Kunatatizo gani Russia kuipiga miji ya Marekani, pale kusk ukusemako ulikuwa uamuzi wa waukraine. Kwani Baiden wewe unajuwa ni rais wa waukraine? kwanini ahimize kuharibu miji huku akijuwa nchi yake haihusiki na vita, anayekulekeza moto lazima naye umuelekezee.
 
Kikubwa wakitumia long range, na mrusi nae atazitumia dhidi yao marekani
 
Hii vita Russia anapigana kistaarabu sana,kama angeamua apigane in savage way kama Israel basi leo hii lisingesalia jiwe juu ya jiwe pale Kiev.
Si kweli Russia alitamani Sana kuingia Kiev tangu siku ya kwanza
Ila kilichompata hatorudia Tena kuitamani Kiev ya Ukraine
Akaishia kukamata mamiji ya mipakani huko mwa Ukraine
 
Si kweli Russia alitamani Sana kuingia Kiev tangu siku ya kwanza
Ila kilichompata hatorudia Tena kuitamani Kiev ya Ukraine
Akaishia kukamata mamiji ya mipakani huko mwa Ukraine
Hehehe pole yako.
Russia akiamua kuingia Kiev hashindwi.
Japo ni kweli kuwa alifeli jaribio la kuikamata Kiev ila haimaanishi kuwa hana uwezo wa kuikamata.
Russia akiamua kutumia Full millitary force hiyo Kiev inasalia mikononi mwake.
Zingatia neno Full force.
 
Si kweli Russia alitamani Sana kuingia Kiev tangu siku ya kwanza
Ila kilichompata hatorudia Tena kuitamani Kiev ya Ukraine
Akaishia kukamata mamiji ya mipakani huko mwa Ukraine
umewahi walau kusoma makubaliano yaliyofikiwa uturuki april 2022 kuhusu hii vita?
kayatafute kisha urudi tena!
 
Ajabu ni kwamba hiyo full force ameshindwa kuitumia kuteka Donbass,achilia mbali Kyiv πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Ajabu ni kwamba hiyo full force ameshindwa kuitumia kuteka Donbass,achilia mbali Kyiv πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
Donbass zaidi ya 40% imemegwa.
Na hadi Sasa Russia haijatumia nguvu kamili huko mipakani.
 
Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine ifanye ionacho ni
Biden anatafuta pakufia
 
Atumie full force mara ngapi wewe firauni?, Mtu mpaka kaenda kuomba msaada wa wanajeshi korea ya kaskazini. Uwe unabakisha akili hata ya kufikiria vitu vidogo bana!!
 
Atumie full force mara ngapi wewe firauni?, Mtu mpaka kaenda kuomba msaada wa wanajeshi korea ya kaskazini. Uwe unabakisha akili hata ya kufikiria vitu vidogo bana!!
Jadili kiustaarabu kenge wa nchi kavu wewe.
Urusi ana silaha kibao hajazitumia,je ni wapi Urusi aliipiga Ukraine kwa hypersonic missile!??
Na mobilization ya jeshi aliyofanya ni limited.

Kuja kwa wanajeshi wa North Korea Urusi haimaanishi Urusi imeomba msaada.
Wale ni kama wamekuja kujifunza modern warfare pale Urusi,na hili lilizungumzwa na mamlaka za pande zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…