Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tunavyojua mishahara y kina mess inatusaidiag nini hii ni position tu kufahamu vitu ni motivations acha Uswahili wa Mbagala.I see. Mkuu ukiujua mshahara wake itaongeza nini kwenye life lako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Motivation in what sense? For you it's too late to get motivated for someone's else salary. Be motivated for him to play EPL, that's more than enough chingaKwan tunavyojua mishahara y kina mess inatusaidiag nn hii n position tu kufaham vitu n motivations acha uswahili w mbagara
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ndio mpambanaji namba 1 akifuatiwa na Domo... Tz tujivunie kuwa na watu kama hawa..
Ukiisikiliza interview yake kaitaja TZ mara nyingi sana .... anamzidi hadi waziri wa mambo ya nje na waziri wa utalii kwa kuotangaza nchi..
MTz pekee ambaye kila mtu anamsupport awe ccm au chadema... jamaa anatuunganisha watz🔥
Najiombea mema pia namuombea na yeye atuwakilishe kwa kupiga magoli nyumbu za epl
Mambo ya huyo kamanda uchwara yameingia kinyemela.Mambo ya Lissu yameingiaje apa?
Hakika! Kwanza kwa trend ya hashtag hii watu wanafuatilia kujua inahusu nini, ndio hapo wanaona Kiswahili+Tanzania.Habari nzuri hii kwa Tanzania hususan watu duniani Watanabe kuchungulia ligi ya Tanzania VPL . Kubwa kituo cha television cha Azam TV waboreshe uonekanaji wa nchi za ligi kuu zionekane vizuri youtube na wachezaji wengine waonekane dunia labda watasainiwa kupitia mgongo wa nyota ya Mbwana Samatta. Kazi kwao wadau wote kuchangamkia fursa.
Mkuu wa mkoa anatuambia tunaendekeza umbea mpaka tunachelewa NIDAAmkeni amkeniiiiSio mambo ya NIDA !sasa ni wakati wa Samatta!!!View attachment 1329008
Sent using Jamii Forums mobile app