Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
- Thread starter
- #181
Hii kali [emoji23][emoji23] Tshirt moja miaka 5.Achana na kitu inaitwa addiction...Kuna mhindi mwaka wa tano huu anavaa t-shirt moja, kisa kubet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kali [emoji23][emoji23] Tshirt moja miaka 5.Achana na kitu inaitwa addiction...Kuna mhindi mwaka wa tano huu anavaa t-shirt moja, kisa kubet
Inawezekana hata zaidi coz mi nimeanza kumuona nayo 5yrs sasa sijajua huko nyuma[emoji848]Hii kali [emoji23][emoji23] Tshirt moja miaka 5.
Usimcheke Muombe Mungu akulinde na huu uharibofu was Dunia.Mtu anayeuza nyumba na vitu vya ndani vya muhimu ili abeti huyo ni mpumbavu.
Mzazi hadi basketball imekushinda? Ni bora ulivyoacha tu.Mimi basketball na football ndio nimewekeza muda mwingi, hizo cricket, kukimbiza farasi huwa sizifatilii
Kama una roho nyepesi nakushauri achana na betting, betting inaleta stress mno Baada ya vipigo utajikuta unagombana na kila mtu ata mtu atakayepita mbele yako unaweza mchapa makofi... betting ni kwa wenye roho ngumu na wenye mitaji ya uhakikaWakuu kutokana na mafanikio na hasara mlizopata kupitia hiyo Betting je would you recommend wengine ambao hawaijui kujaribu bahati zao ama tusiingie kabisa huko? Hizo wins zinatamanisha ila pia hivo vipigo mmh🤔
[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]Kama una roho nyepesi nakushauri achana na betting, betting inaleta stress mno Baada ya vipigo utajikuta unagombana na kila mtu ata mtu atakayepita mbele yako unaweza mchapa makofi... betting ni kwa wenye roho ngumu na wenye mitaji ya uhakika
Huyu mwamba kajilipua haswaaa.View attachment 1778697kweny kubet kila unapoongeza mechi moja ndivyo unavyoongeza risk ya kuliwa Kama unamtaji mkubwa au hata mdog unaweza ukawa unawekez kweny mechi moja moja tuuh asilimia za wewe kula zinakua nying kuliko kuliwa
Achana na kitu inaitwa addiction...Kuna mhindi mwaka wa tano huu anavaa t-shirt moja, kisa kubet
Upanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wa wapi huyo muhindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upanga
Mzee baba achana na betting,tuachie Sisi tunayo upepo nayo mpaka najutia shule nlienda kufanya nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi juzi nikaweka, goli la kwanza, halitokuwa la kujifunga. Ila nimezubaa nafatila live score sinikaona Own goal ikabidi nitupe simu
Kubet kama burudani maana yake nini? Unaona raha kupigwa? Unaona raha kupiga? Au unaona raha kubashiri matokeo sawa sawa?Tatizo ww unabeti kutoka kimaisha wengine tunabeti kama burudani
[emoji23]Wamepoteana kwenye ramani! Unakula dola 100 unaliwa 600!
Mwindi [emoji1]Ila mwindi anajua kuyumba aisee. Yaani hata ukiweka ashinde yoyote ngoma inaisha sare.
Ukiweka coner zifike 8, zinaishia 7. Ukiweka magoli yafike 2 hawafungani.
Ila mimi pamoja na vipigo navyopata simwachi, mpaka natembea na fimbo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwenye betting hakuna unafuu hata kama ni cricket.Mzazi hadi basketball imekushinda? Ni bora ulivyoacha tu.