Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Ww Fala Mungu hajifichi wewe😆😆😆
Mwenyezi Mungu anapatikana Kwa urahisi na Kwa ukaribu kuliko wazazi wako waokuzaa.
. . . . Sijui Upuuzi wa Elimu uliyonayo Ulijifunzia Kwa waalimu Gani🤔
Njoo Ufundishwe Kweli yenye Matokeo.
 
Kama huyo Mungu wako ndio yupo namna hii, Basi ni Mungu mjinga na mpumbavu sana.

Ni Mungu mkatili, muuaji, muovu, bandidu, sadist, nunda, dikteta na hana hata chembe ya huruma.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.
Kichwa chako kigumu sana kuelewa.
Ungekuwa Karibu Yangu ningekupiga na tofari la Kichwa Kwanza ndipo Nianze kukujaza na Madini ya Nguvu.
Sijui Nikutakie Nini kikupate ndio uelewe Uwepo wa Mungu ninae kufafanulia🤔🤔🤔
 
Na kama huyo Mungu alitupa freedom yakuchagua right and evil path, Basi hapaswi kuingilia freedom ya watu watakaochagua evil path.
Mungu haingilii freedom yako,.. na ndiyo maana kakuacha uchague njia unayotaka na ameweka wazi matokeo ya njia hiyo utakayoichagua.

Sasa hapo sidhani kama kuna kuingiliwa freedom kwa namna yoyote,.. Yaani uwekewe glass ya maziwa na glass ya sumu kisha uambiwe matokeo ya glass zote mbili iwapo utakunywa,... Ukinywa Glass yenye sumu na kupata matokeo ya sumu hiyo,. utasema umeingiliwa freedom yako hapo?


Just be good,..do good & treat others the way you want to be treated.......
 
Ww Fala Mungu
Fala ni baba na mama yako waliozaa punguani kama wewe.

Jibu kwa hoja si matusi.

Kama unataka matusi sema tuanze.
hajifichi wewe😆😆😆
Mwenyezi Mungu anapatikana Kwa urahisi na Kwa ukaribu kuliko wazazi wako waokuzaa.
. . . . Sijui Upuuzi wa Elimu uliyonayo Ulijifunzia Kwa waalimu Gani🤔
Njoo Ufundishwe Kweli yenye Matokeo.
Nakuuliza hivi 👇

Huyo Mungu kama alitaka aaminiwe yupo, kwa nini anajificha badala ya kujitokeza hadharani akajulikana yupo pasipo utata na utofauti wa kiimani?
 
Hujielewi
Asiyeamini uwepo wa Mungu ndiye hajielewi.....

Una kende, una kalio, una nyege nk halafu unakuja kuropoka hapa eti hakuna aliyekupa hivyo vyote....

Hebu niambie ulinunua wapi makede kisha ukajipachika mwenyewe?
 
Asiyeamini uwepo wa Mungu ndiye hajiekewi.....

Una kende, una kalio, una nyege nk halafu unakuja kuropoka hapa eti hakuna aliykupa hivyo vyote....

Hebu niambie ulinunua wapi makede kisha ukajipachika mwenyewe?
Hujielewi
 
Kichwa chako kigumu sana kuelewa.
Ungekuwa Karibu Yangu ningekupiga na tofari la Kichwa Kwanza ndipo Nianze kukujaza na Madini ya Nguvu.
Sijui Nikutakie Nini kikupate ndio uelewe Uwepo wa Mungu ninae kufafanulia🤔🤔🤔
Kwa nini unahangaika kumwelezea na kumtetea huyo Mungu, Kwani yeye hawezi kujitetea mwenyewe?
 
Mungu haingilii freedom yako,.. na ndiyo maana kakuacha uchague njia unayotaka na ameweka wazi matokeo ya njia hiyo utakayoichagua.
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kusema alitupa freedom.
 
Imani Yako ni ndogo umeshindwa kutambua anafanya hayo yote ili watu wamgeukie
Huyo Mungu ni mjinga na mpumbavu sana.

Kwa hiyo anatesa watu, ili watu wengine waweze kumgeukia?

Je wewe ungependa uteswe au familia yako iteswe kisawasawa, ili watu wengine waweze kumgeukia huyo Mungu kupitia mateso yako na familia yako?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote na wakati wote?
 
Huyo Mungu ni mjinga na mpumbavu sana.

Kwa hiyo anatesa watu, ili watu wengine waweze kumgeukia?

Je wewe ungependa uteswe au familia yako iteswe kisawasawa, ili watu wengine waweze kumgeukia huyo Mungu kupitia mateso yako na familia yako?
Aliteswa kwa dhambi zangu kwanini nikatae mateso ...
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote na wakati wote?
Angewaumba wemA wote angekuwa ameingilia uhuru wa binadamu
 
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kusema alitupa freedom.
Una kende, una kalio, una nyege, una anus nk halafu unakuja kuropoka hapa eti unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu!?

Ni nani aliyekupa hivyo vyote....

Hebu niambie ulinunua wapi makede kisha ukajipachika mwenyewe?

Hizo kende ulizonazo ni uthibitisho tosha wa uwepo wa aliyezipachika kwako bure bila malipo
 
Fala ni neg kivumishi punguwani ww na waliokuzaa nakukurithisha upunguwani wa hutotambua hata uhai ulionao ulitoka Wapi
 
Una kende, una kalio, una nyege, una anus nk halafu unakuja kuropoka hapa eti unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu!?

Ni nani aliyekupa hivyo vyote....
Kwa nini unadhani kuna "nani" alitoa au anatoa hivi vitu?

Kwa nini Hudhani vitu hivi havijatolewa?

Kwa nini Unadhani viti hivi vilitolewa?

Wakati mtoto anazaliwa ulishamuona huyo "nani" akitoa hivi vitu?

Au unataka kufosi kwamba kende, kalio, nyege na anus vimetolewa na hutolewa na huyo Mungu?
Hebu niambie ulinunua wapi makede kisha ukajipachika mwenyewe?
Nilizaliwa na makende.

Makende hayatolewi wala kununuliwa.

Una elewa?
Hizo kende ulizonazo ni uthibitisho tosha wa uwepo wa aliyezipachika kwako bure bila malipo
Kwa nini unalazimisha kende ziwe zimepachikwa?

Mbona hujiulizi huyo aliyepachika kende, Na yeye alipachikwa na nani?

Kwa nini unafosi kende ziwe zimepachikwa?

Huyo aliyepachika kende, Na yeye alipachikwa na nani?
 
Like for real 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…