Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Thanks for your timeSema tu huna facts yaishe
Sijaona ulipothibitisha it's all blind faith.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks for your timeSema tu huna facts yaishe
Sijaona ulipothibitisha it's all blind faith.
Rest in peace mfia diniThanks for your time
God bless you with the worries you face.Another neck supporting an empty head.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Endelea na MOYO wako mgumuAnd that's the reality.
Kumbe Sasa nimejua kwamba wewe hata dhima kuu ya biblia huijui na ndio sababu unakuwa mbishi. Hujasoma biblia vizuri.Watoto wanaozaliwa walemavu na njiti, Ni nani kawaumba hivyo?
Watoto wanaozaliwa walemavu na njiti, Wamefanya dhambi gani hadi wazaliwe hivyo?
Ingekuwa ni watu wakubwa, Sawa. Kwa sababu watu wakubwa wana ufahamu na wana uwezo wa kutenda dhambi.
Sasa hawa watoto wachanga kabisa na wadogo, Kwa nini wanateseka wakati hawana hata ufahamu wa kutenda dhambi?
Kwa nini Mungu aumbe watu wanaomjua na wasiomjua?
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba watu wote wawe wanamjua siku zote na wakati wote?
Huwezi muona Mungu ukiwa na dhambi, ondoa dhambi utamuona tu. Sababu ya kufanya baadhi wamjue na wengine wasimjue anaijua yeye mwenyewe usimpangie. Wewe ukiamua kumjua mlango upo wazi lkn Kama hutaki hatokulazimisha.Huyo Mungu kama yupo, Anacho jifichia huko alipo ni nini?
Si ajitokeze hadharani ajulikane yupo bila utata na utofauti wa kiimani?
Let's end here for todayRest in peace mfia dini
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Dhambi itakuja kuwepo duniani aidhibiti na kuizuia mapema isiwepo?Kumbe Sasa nimejua kwamba wewe hata dhima kuu ya biblia huijui na ndio sababu unakuwa mbishi. Hujasoma biblia vizuri.
Tunapozungumzia dhambi haijawaathiri watu wazima pekee au watoto pekee. Dhambi imeathiri viumbe wote hai Hadi ardhi na wanyama. Dhambi athari zake Ni mfano wa Kama tuchukulie bom nyuklia lililopigwa heroshima. So ardhi haijalishi eneo lingine lilibaki na bonde na lingine mwinuko na hiyo ndiyo inabaki taswira kwa wanaoona. Au mwingine kilema wa mguu mwingine azaliwe chongo. Hiyo ndiyo athari ya bom lile.
So baada ya dhambi athari zake ndiyo hizo mwingine mtoto kiwete, mwingine Kama unavyoona ktk picha yako ulioniwekea. Wengine Ni watu wazima Kama mimi na wewe ambao bado tunaona athari ya kifo na kuumiza akili why tunakufa na kuathiri psychology zetu, yote Ni matokeo ya dhambi. Roho mbaya, chuki nk.
Binadamu wote ambao wanazaliwa baada ya dhambi hakuna aliekamilika kutokana na athari ya dhambi. Sasa usiniulize why mwingine anakufa akiwa mdogo na mwingine anakufa mzee, yote Ni dhambi hiyo.
Uwe unajaribu kuweka kauelewa kidogo Sasa sio kubisha tu Kama Kuna sehemu hujaridhika unauliza Mr.
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na dhambi?Huwezi muona Mungu ukiwa na dhambi, ondoa dhambi utamuona tu. Sababu ya kufanya baadhi wamjue na wengine wasimjue anaijua yeye mwenyewe usimpangie. Wewe ukiamua kumjua mlango upo wazi lkn Kama hutaki hatokulazimisha.
Endelea kuponda Raha zako mpendwa. Maana mkate unaoliwa kwa Siri Ni mtamu.
Acha uelewa finyu, unataka amdhibiti shetani ili iweje kwani wewe toka umefanya dhambi amewahi kukudhibiti?Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Dhambi itakuja kuwepo duniani aidhibiti na kuizuia mapema isiwepo?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema asiwepo?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyokuwa na dhambi?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyokuwa na Shetani?
Mungu huyo huyo akampa shetani akili ya kuwaza waza uasi ili aasi kisha amtupe duniani aje kutesa watu na yeye abakie mbinguni kwenye amani kwa raha anacheki movie.Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Dhambi itakuja kuwepo duniani aidhibiti na kuizuia mapema isiwepo?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema asiwepo?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyokuwa na dhambi?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyokuwa na Shetani?
Kwa hiyo huyo Mungu alijua toka mwanzoni kwamba Shetani atakuja kuwepo pia dhambi itakuja kuwepo, Ila akaamua atulie tu?Acha uelewa finyu, unataka amdhibiti shetani ili iweje kwani wewe toka umefanya dhambi amewahi kukudhibiti?
Shetani anaishi Kama wewe unavyoishi vilevile anapenda nafsi yake Kama wewe uipendavyo. Unaonaje aanze kukuondoa wewe kabla ya shetani?
Na aliwezaje wezaje kuumba dunia yenye dhambi?Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na dhambi?
Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
Je , wewe unamuelewa Mungu katika upana wake wote?Ndo akili yako ilipoishia hatukushangai, na wew unajiona mjanjaaa kwamba umeingiza watu mkenge 😂😂😂. Sema wengi hawamwelewi Mungu, wana picha za uongo tofauti na Mungu alivyo. Ameelezewa kwa ufahamu wa binadamu wenye upeo mdogo. Na hiyo ndo sababu wengi watakwambia hakuna Mungu.
Ushauri wangu kwako. Ukiona Uelewa wako umekuwa sio wa Kueleweshwa Mungu alivyo in small mind, jitahidi ujifunze In big mind. That's all
Nakuuliza wewe unaye mtetea huyo Mungu wako mdhaifu, Halafu tena na wewe unaniuliza swali hilo hilo..!!!Na aliwezaje wezaje kuumba dunia yenye dhambi?
Hili swali ukilijibu Basi hata Hilo lako litajibika kirahisi tu
Umeshindwa kujibu swali unaanza kutukana.Mjinga Ni mjinga tu hata umweleweshe vp Ni bure. Huwezi niuliza eti kwa Nini Mungu alimuumba shetani, kwa hiyo ulitaka asimuumbe ili upate Nini kwa mfano?
Nonsense.Alimuumba ili iwe hivyo ilivyo.
Majibu yanaeleweka vizuri, Sasa utaelewaje na akili imeshapotoka?Umeshindwa kujibu swali unaanza kutukana.
Mjinga ni wewe unaye mtetea huyo Mungu, Halafu ukihojiwa maswali huna majibu ya kueleweka.
You are a gullible defending a fictional character.
Nonsense.