Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Acha uzoba, ile ingekuwa ajali wangezuia ndani ya masaa 2 tu.

USA sio bongo we zoba
Fala sana wewe, akili zako hazijitambui umefungwa na nira ya kuamini dini za kijinga zilizoletwa na wazungu na waarabu walioteka babu na bibi zako na wakawauza kwa mafungu kama nyanya, na wengine wakafanyia unyama mkubwa ikiwemo ulawiti na utumwa wa Kingono hadi kwa vibinti vidogo, Leo unaamini mavitabu yao yaliyoletwa kwenye majahazi kuliko unavyomwamini baba na mama yako na babu zako!! Shwaini wee!!
 
Fala sana wewe, akili zako hazijitambui umefungwa na nira ya kuamini dini za kijinga zilizoletwa na wazungu na waarabu walioteka babu na bibi zako na wakawauza kwa mafungu kama nyanya
Fala mwenyewe...

Bibi Titi anapotembeza kibakuli huko ughaibuni huwa anaomba msaada kwa mbwa au hao hao waliowalawiti mababu zake?

Kwa nini wakaombe msaada kwa watu waovu?

Bibi Titi alipouza bandari kwa waarabu hakujua kuwa hao ndio waliowauza wazee wake kama nyanya na kuwalawiti?

Wewe ni fala wa mafala nguchiro wahed weye.
 
Fala mwenyewe...

Bibi Titi anapotembeza kibakuli huko ughaibuni huwa anaomba msaada kwa mbwa au hao hao waliowalawiti mababu zake?

Kwa nini wakaombe msaada kwa watu waovu?

Bibi Titi alipouza bandari kwa waarabu hakujua kuwa hao ndio waliowauza wazee wake kama nyanya na kuwalawiti?

Wewe ni fala wa mafala nguchiro wahed weye.
Hilo lina uhusiano gani upumbavu wako wa kuabudu Miungu ya wakoloni!!? Unakanyagwa wewe na kizazi chako.
 
Mwanadamu anapozaliwa anakuwa hana imani wala dini ya aina yeyote ile. Mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukuaminisha kwenye imani zao.

Ndipo na wewe unaanza kuamini kwenye imani ulizo aminishwa na wazazi au walezi wako.

Wahadzabe wanaishi vile kwa sababu ndio utamaduni wao na ndio asili yao.

Hata kabla ya ujio wa wazungu na waarabu hapa Afrika. Tuliishi kwa tamaduni zetu na asili zetu.

Hizi imani za kidini tumeletewa tu.
Wewe je asili Yako ni nini umetoka wapi na ulipo tokea palianzia wapi,huu ulimwengu ulianza wapi na icho chanzo Cha ulimwengu kilianzishwa na nani?
 
Wewe je asili Yako ni nini
Asili yangu ni wazazi wangu.

Baba na Mama yangu.
umetoka wapi
Nimetoka tumboni kwa mama yangu.
na ulipo tokea palianzia wapi
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeanzia mahali fulani, Hata huko mahali kunako anzia vitu, lazima kuwe kumeanzia mahali pengine fulani.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kimeanzia mahali fulani, Hata Ulimwengu hauja anzia mahali fulani.

Ulimwengu ndio chanzo chenyewe.
,huu ulimwengu ulianza wapi na icho chanzo Cha ulimwengu kilianzishwa na nani?
Hakuna ulazima wa kwamba ulimwengu ulianzishwa na fulani.

Kama ulazima huo upo, Hata huyo Mungu lazima awe ameanzishwa na fulani.

Na huyo fulani awe ameanzishwa na fulani mwingine.

Hivyo hivyo pasipo kukoma.

Endless to infinity...

Na kama hakuna ulazima huo, Hata Ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things, Havija anzishwa na yeyote yule.
 
Asili yangu ni wazazi wangu.

Baba na Mama yangu.

Nimetoka tumboni kwa mama yangu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeanzia mahali fulani, Hata huko mahali kunako anzia vitu, lazima kuwe kumeanzia mahali pengine fulani.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kimeanzia mahali fulani, Hata Ulimwengu hauja anzia mahali fulani.

Ulimwengu ndio chanzo chenyewe.

Hakuna ulazima wa kwamba ulimwengu ulianzishwa na fulani.

Kama ulazima huo upo, Hata huyo Mungu lazima awe ameanzishwa na fulani.

Na huyo fulani awe ameanzishwa na fulani mwingine.

Hivyo hivyo pasipo kukoma.

Endless to infinity...

Na kama hakuna ulazima huo, Hata Ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things, Havija anzishwa na yeyote yule.
Surah Al-Baqarat: Ayah 41

وَءَامِنُواْ بِمَآ أَنزَلۡتُ مُصَدِّقٗا لِّمَا مَعَكُمۡ وَلَا تَكُونُوٓاْ أَوَّلَ كَافِرِۢ بِهِۦۖ وَلَا تَشۡتَرُواْ بِ‍َٔايَٰتِي ثَمَنٗا قَلِيلٗا وَإِيَّٰيَ فَٱتَّقُونِ
Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.*

Surah Al-Hadid: Ayah 3

هُوَ ٱلۡأَوَّلُ وَٱلۡأٓخِرُ وَٱلظَّٰهِرُ وَٱلۡبَاطِنُۖ وَهُوَ بِكُلِّ شَيۡءٍ عَلِيمٌ
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.
 
Surah Al-Baqarat: Ayah 255

ٱللَّهُ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلۡحَيُّ ٱلۡقَيُّومُۚ لَا تَأۡخُذُهُۥ سِنَةٞ وَلَا نَوۡمٞۚ لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۗ مَن ذَا ٱلَّذِي يَشۡفَعُ عِندَهُۥٓ إِلَّا بِإِذۡنِهِۦۚ يَعۡلَمُ مَا بَيۡنَ أَيۡدِيهِمۡ وَمَا خَلۡفَهُمۡۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيۡءٖ مِّنۡ عِلۡمِهِۦٓ إِلَّا بِمَا شَآءَۚ وَسِعَ كُرۡسِيُّهُ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَۖ وَلَا يَ‍ُٔودُهُۥ حِفۡظُهُمَاۚ وَهُوَ ٱلۡعَلِيُّ ٱلۡعَظِيمُ
Mwenyezi Mungu – hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
 
Surah Al-An'am: Ayah 32

وَمَا ٱلۡحَيَوٰةُ ٱلدُّنۡيَآ إِلَّا لَعِبٞ وَلَهۡوٞۖ وَلَلدَّارُ ٱلۡأٓخِرَةُ خَيۡرٞ لِّلَّذِينَ يَتَّقُونَۚ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ
Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa wanao mcha Mungu. Basi, je, hamtii akilini?
 
Hilo lina uhusiano gani upumbavu wako wa kuabudu Miungu ya wakoloni!!? Unakanyagwa wewe na kizazi chako.


Surah Al-Hujurati: Ayah 11

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا يَسۡخَرۡ قَوۡمٞ مِّن قَوۡمٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُونُواْ خَيۡرٗا مِّنۡهُمۡ وَلَا نِسَآءٞ مِّن نِّسَآءٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُنَّ خَيۡرٗا مِّنۡهُنَّۖ وَلَا تَلۡمِزُوٓاْ أَنفُسَكُمۡ وَلَا تَنَابَزُواْ بِٱلۡأَلۡقَٰبِۖ بِئۡسَ ٱلِٱسۡمُ ٱلۡفُسُوقُ بَعۡدَ ٱلۡإِيمَٰنِۚ وَمَن لَّمۡ يَتُبۡ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلظَّٰلِمُونَ
Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wakawa bora kuliko wao. Wala msivunjiane hishima, wala msiitane kwa majina ya kejeli. Ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini. Na wasio tubu, hao ndio wenye kudhulumu.
 
Unakanyagwa mwenyewe nguchiro wahed weye


Surah Al-Hujurati: Ayah 11

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا يَسۡخَرۡ قَوۡمٞ مِّن قَوۡمٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُونُواْ خَيۡرٗا مِّنۡهُمۡ وَلَا نِسَآءٞ مِّن نِّسَآءٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُنَّ خَيۡرٗا مِّنۡهُنَّۖ وَلَا تَلۡمِزُوٓاْ أَنفُسَكُمۡ وَلَا تَنَابَزُواْ بِٱلۡأَلۡقَٰبِۖ بِئۡسَ ٱلِٱسۡمُ ٱلۡفُسُوقُ بَعۡدَ ٱلۡإِيمَٰنِۚ وَمَن لَّمۡ يَتُبۡ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلظَّٰلِمُونَ
Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wakawa bora kuliko wao. Wala msivunjiane hishima, wala msiitane kwa majina ya kejeli. Ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini. Na wasio tubu, hao ndio wenye kudhulumu.
 
Fala sana wewe, akili zako hazijitambui umefungwa na nira ya kuamini dini za kijinga zilizoletwa na wazungu na waarabu walioteka babu na bibi zako na wakawauza kwa mafungu kama nyanya, na wengine wakafanyia unyama mkubwa ikiwemo ulawiti na utumwa wa Kingono hadi kwa vibinti vidogo, Leo unaamini mavitabu yao yaliyoletwa kwenye majahazi kuliko unavyomwamini baba na mama yako na babu zako!! Shwaini wee!!

Surah Al-Hujurati: Ayah 11



يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا يَسۡخَرۡ قَوۡمٞ مِّن قَوۡمٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُونُواْ خَيۡرٗا مِّنۡهُمۡ وَلَا نِسَآءٞ مِّن نِّسَآءٍ عَسَىٰٓ أَن يَكُنَّ خَيۡرٗا مِّنۡهُنَّۖ وَلَا تَلۡمِزُوٓاْ أَنفُسَكُمۡ وَلَا تَنَابَزُواْ بِٱلۡأَلۡقَٰبِۖ بِئۡسَ ٱلِٱسۡمُ ٱلۡفُسُوقُ بَعۡدَ ٱلۡإِيمَٰنِۚ وَمَن لَّمۡ يَتُبۡ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلظَّٰلِمُونَ

*Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wakawa bora kuliko wao. Wala msivunjiane hishima, wala msiitane kwa majina ya kejeli. Ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini. Na wasio tubu, hao ndio wenye kudhulumu.
 
Surah Al-Baqarat: Ayah 41

وَءَامِنُواْ بِمَآ أَنزَلۡتُ مُصَدِّقٗا لِّمَا مَعَكُمۡ وَلَا تَكُونُوٓاْ أَوَّلَ كَافِرِۢ بِهِۦۖ وَلَا تَشۡتَرُواْ بِ‍َٔايَٰتِي ثَمَنٗا قَلِيلٗا وَإِيَّٰيَ فَٱتَّقُونِ
Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.*

Surah Al-Hadid: Ayah 3

هُوَ ٱلۡأَوَّلُ وَٱلۡأٓخِرُ وَٱلظَّٰهِرُ وَٱلۡبَاطِنُۖ وَهُوَ بِكُلِّ شَيۡءٍ عَلِيمٌ
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.
Unaniletea hizi hadithi za kusadikika za Quran hekaya zenu hizo.
 
Unaniletea hizi hadithi za kusadikika za Quran hekaya zenu hizo.
*

Surah Al-Baqarat: Ayah 41

وَءَامِنُواْ بِمَآ أَنزَلۡتُ مُصَدِّقٗا لِّمَا مَعَكُمۡ وَلَا تَكُونُوٓاْ أَوَّلَ كَافِرِۢ بِهِۦۖ وَلَا تَشۡتَرُواْ بِ‍َٔايَٰتِي ثَمَنٗا قَلِيلٗا وَإِيَّٰيَ فَٱتَّقُونِ
Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.
 
*

Surah Yunus: Ayah 37

وَمَا كَانَ هَٰذَا ٱلۡقُرۡءَانُ أَن يُفۡتَرَىٰ مِن دُونِ ٱللَّهِ وَلَٰكِن تَصۡدِيقَ ٱلَّذِي بَيۡنَ يَدَيۡهِ وَتَفۡصِيلَ ٱلۡكِتَٰبِ لَا رَيۡبَ فِيهِ مِن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Na haiwezekani Qur’ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inasadikisha yaliyo tangulia, na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutokana na Mola Mlezi wa viumbe vyote.
 
Surah Qaaf: Ayah 19

وَجَآءَتۡ سَكۡرَةُ ٱلۡمَوۡتِ بِٱلۡحَقِّۖ ذَٰلِكَ مَا كُنتَ مِنۡهُ تَحِيدُ
Na uchungu wa kutoka roho utamjia kwa haki. Hayo ndiyo uliyo kuwa ukiyakimbia.
 
Unaniletea hizi hadithi za kusadikika za Quran hekaya zenu hizo.


Surah Al-Isr'a-u: Ayah 85

وَيَسۡ‍َٔلُونَكَ عَنِ ٱلرُّوحِۖ قُلِ ٱلرُّوحُ مِنۡ أَمۡرِ رَبِّي وَمَآ أُوتِيتُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِ إِلَّا قَلِيلٗا
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
 
Kama kuna Uchawi. MUNGU YUPO na SHETANI PIA YUPO.
 
Surah Al-Isr'a-u: Ayah 85

وَيَسۡ‍َٔلُونَكَ عَنِ ٱلرُّوحِۖ قُلِ ٱلرُّوحُ مِنۡ أَمۡرِ رَبِّي وَمَآ أُوتِيتُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِ إِلَّا قَلِيلٗا
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
Kutumia Quran kama uthibitisho wa uwepo wa Mungu ni sawa na kutumia Comic book kusema ndio uthibitisho wa uwepo wa Harry Potter.
 
Back
Top Bottom