Asili yangu ni wazazi wangu.
Baba na Mama yangu.
Nimetoka tumboni kwa mama yangu.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeanzia mahali fulani, Hata huko mahali kunako anzia vitu, lazima kuwe kumeanzia mahali pengine fulani.
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kimeanzia mahali fulani, Hata Ulimwengu hauja anzia mahali fulani.
Ulimwengu ndio chanzo chenyewe.
Hakuna ulazima wa kwamba ulimwengu ulianzishwa na fulani.
Kama ulazima huo upo, Hata huyo Mungu lazima awe ameanzishwa na fulani.
Na huyo fulani awe ameanzishwa na fulani mwingine.
Hivyo hivyo pasipo kukoma.
Endless to infinity...
Na kama hakuna ulazima huo, Hata Ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things, Havija anzishwa na yeyote yule.